Athari za kubeti

Athari za kubeti

yaa
True!, kuna ugumu mno kuacha ni kama kuacha masturbation![emoji23]
Sijafuta chochote nimeacha kama ukumbusho wa machungu na kila nizionapo apps hizo nazichukia zaidi!

Pia nikipata temptation ya kubeti nasoma vitabu au kufanya kitu kingine muhimu
yaah musturbation mtu akisema ameacha huyu inabidi tumtoe kwenye chama..maana anadanganya kabisa..watu wapo wameoa tena wake wazuri lakini kujilipua kupo pale pale😀
 
Nikimuona mwanangu ana bet atakula bakora nyingi sana labda aka bet akiwa kwake..mfanyakzi mwenzetu kdgo ajinyonge sababu ya betting walikula mshahata woooote *****...mbavu sana ukisikia mwezio kala M30 mshipa unakusimama unadhan wanatoa tu hela shenzy kamari hovyo sana
 
Mkuu kubet ni kamari, kuna madhara mengi ya kijamii katika kucheza kamari---- kifupi kamari ni mchezo ambamo mtu mmoja anapata na mwingine anakosa yaani kupata kwa mmoja ni huzuni kwa mwingine na kukosa kwa mmoja n furaha kwa mwingine, sasa jamii ikifikia hali hiyo hapo roho za hiyo jamii "hukomaa" yaani polepole jamii inakosa roho ya utu katika mambo mengi sana kwa sababu ya hiyo kamari kwasababu ni hulka mbaya sana mtu kunufaika kutokana na shida na taabu za wengine (kumbuka kamari siyo huduma kama kuchonga majeneza).

Jambo jingine katika jamii ya wacheza kamari ni kwamba kamari inayo (addiction) uraibu, ukisha anza kucheza na ikatokea siku moja umeshinda basi utanogewa na ndiyo baadhi utasikia wamefilisika kwa kuuza mali zao kwa ajili ya kamari na hata wengine hufikia kujinyonga kutokana na hasara kwa kucheza kamari, na hata kumepata kutokea baadhi ya watu kuuawa kwa sababu tu walihongwa na wacheza kamari ili wafanikishe ili upande mmoja wa wwchezaji kamari ushinde dhidi ya upande mwingine.

Madhara mengine ya kamari katika jamii ni kuharibika shughuli za uzalishaji kutokana na fedha nyingi isiyozalisha kuingizwa kwenye mfumo wa kamari hivyo shughuli nyingi za uzalishaji huzorota hivyo kuharibu uzalishaji kama kilimo nk.kwa sababu watu watakuwa wameona kwamba kamari ndiyo njia nyepesi ya kujipatia kipato kama DECI.

Hivyo michezo ya kubahatisha, betting, bahati nasibu nk zote hizo ni Kamari a ni haramu.
Umeongea vizuri kabisa
Na kamari ni dhambi kwa mujibu wa maandiko matakatifu
 
Maana hatuna uhakika na kesho. Twaweza pata au tusipate
Twaweza amka wazima au wagonjwa
Chochote chaweza tokea muda wowote na ndio mana ya kamari
Ahsante,hoja nzima imehitimishiwaaa hapa.Sema watu hawajui tu ila huu ndio ukweli mchungu
 
Kila.kitu katika maisha ni kamali.
Kuna watu wanamuamini allah ...ni kamali ( maana wanaweza wakamkuta yehova huko)
Kuna watu wanamuamini jehova...ni kamali (maana wanaweza kumkuta allah huko)
Kuna watu hawaamini chochote.. aka wapagani ( bonge la kamari hili...maana sijui watakutanana na nani huko)
Kuna watu wanawapa kura wanasiasa wakitegemea maendeleo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]full kamari.
Unaona ukijua huyo ndo anafaa[emoji2][emoji23][emoji23][emoji23]hili ni zaidi ya kamari ( wapo waliokufa kwa kutoa hili boko la betting)...tuwe wakweli maana hujui mwenzako anawaza nini yet unaamua kuishi nae eti milele [emoji23][emoji23][emoji23] unampa.moyo na roho...hii ni zaidi ya mkeka.
Wewe unayetoka nje ya ndoa sijui ni bettig gani unacheza[emoji23][emoji23][emoji23]ila ni kamari hiyo maana hujui outcome.
Unaonga demu ili upate papuchi tena wahonga mzigo mrefu....na papauchi waweza usipate pia[emoji23][emoji23][emoji23]
NI HAYO TU MACHACHE
 
Usipokuwa makini na betting,inakuaribu hata kwenye maisha ya kawaida

Mfano,unaweza kupata hela kutoka kwenye michongo yako mingine,lakini ukaitumia hovyo huku ukiamini hela itapatikana tu kucover uliyoitumia hovyo
 
Usipokuwa makini na betting,inakuaribu hata kwenye maisha ya kawaida

Mfano,unaweza kupata hela kutoka kwenye michongo yako mingine,lakini ukaitumia hovyo huku ukiamini hela itapatikana tu kucover uliyoitumia hovyo
Mbona hii tumeshasema sana kaka,bet what u can afford to lose.Inshort ile ela ya kuonga madem au ya kunywea bia ndio ubetie,na husibet karo,mtaji, etc.Maisha yapeleke vile wewe unataka achana na poyoyo za watu.OVER
 
Poleni sana maana mtoa maada kazungumza kuhusu hasara ambazo ni za kufikirika na si za kushikika, kajitahidi kuegemea kwenye msimamo wake, lakini ingelikuwa vizuri kama angelitaja faida pia ili watu waelewe. Kitu kuwa haramu ni imani tu, ndio maana wengine wanatumia kitimoto kwa wengine ni haramu, wengine chai kwao nzuri kwa wengine haramu n.k. Msimamo wangu sasa, ili kiwe haramu angalau dini zote zinazokubalika kwenye vitabu vyao vionyeshe ni haramu, pia sheria za nchi au serikali iharamishe katika jamii na kuwepo sheria kuzuia. Kama serikali inaruhusu na kukusanya kodi, vitabu vitakatifu havina mistari inayopinga kamari moja kwa moja hadi mtu awazie ndo aamue, mi sioni kama ni haramu. Mambo yaliyo haramu kwa mtazamo wangu ni mambo yote yanayozuiliwa na sheria za nchi, mambo yote yanayozuiliwa na vitabu vitakatifu( viwili au vitatu na sio kimoja pekee) na mambo ambayo mtu kajizuia yeye mwenyewe kwa sababu zake zozote zile(na hiyo ni haramu kwake tu na sio kwa wengine ambao nao wana haramu zao).
 
Bet kwa ustarabu mimi sina presha na timu najua kuna kupoteza na kupata najua nishampiga mhindi nyingi tu na kubet nilianza 2016 so mimi ni gwiji 🤣 piga yowe kwa gwiji ake weeeeweeeee😂😂🤦
 
Back
Top Bottom