Financial Freedom
JF-Expert Member
- Nov 14, 2016
- 1,246
- 2,299
Mhmh nimebet sana ila hamna faida au raha kwenye kubet,sio entertainment ile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww hata ukienda mgodini utatoka kapa, moja ya sifa kuu ya mwanaume no kutokukata tamaa lakini pia kuwa na mahesabu makali ili usipoteze usichoweza kukipata tena.. Miezi sita tu umenyoosha mikono!!!Mwanzoni mwa mwaka huu kama masihara nilijikuta naingia ktk huu mchezo baada ya kujiunga kampuni mojawapo sitoitaja jina.
Kwa kifupi ni kwamba kushinda huwa nashinda ila kuliwa ni zaidi.
Pili nimepoteza fedha ndogo ndogo nyingi ktk huu mchezo ambazo ukijumlisha ni pesa ya maana.
Vile vile upotevu mkubwa wa muda.
Kwa hiyo nimeamua kuachana na hii kitu