Turudi kwa babu zetuSasa tutatumia nini jamani? Maana hayo ya wazungu kweli yanaside effects mbaya kabisa, hakuna njia ya asili nyingine ukiacha calendar?
Imekuaje mkuu tunaomba ushee kwa kifupi tuuuMke wangu ametumia kitanzi, kwa kweli tunajuta
Bora condom na calendar ila hii ya kumwaga nje inahitaji roho ya chuma,wengi hawaweziKalenda siku ukiona inazingua option ninayoona ni nzuri ni hiyo ya kutoa nje, ila inahitaji mtu muelewa na smart maana risk ni kubwa.
Tehe tehe teheWanasema Coca kabla na baada ya tendo na wanasema kunywa maji ya majivu kabla,hii njia ilimpatia ndugu yangu mtoto mzuri kabisa wa Kiume.
Ni uuaji kwa maana kwamba mimba huwa inatungwa lakini inaharibika katika hatua za mwanzo kabisa hasa kwa wanaotumia kitanzi na ndio maana hata wakati wa period damu huweza kutoka nyingi kuliko ilivyokuwa mwanzoSorry hapo unakua muuwaji how na wakati umejikinga tuu na mimba
kama hadi unaona chini ya kiwiko afu bdo unamuita x gf? tu,duhKuna x mchepuko wangu ni single mother.....ameweka kile kidude mkononi hapa juu kidogo ya kiwiko kama kijiti dah nilishangaa. Ndio kinaitwaje kile?
Ipo. Kutokufanya kabisa hadi wakati unahitaji mtoto.Sasa tutatumia nini jamani? Maana hayo ya wazungu kweli yanaside effects mbaya kabisa, hakuna njia ya asili nyingine ukiacha calendar?
Condom ndio shida kabisa, hasa kwa wanaume ndio inawapa matatizo zaidiTumia kondomu...
Mkuu yule mwanamke mpaka namwonea huruma sana. Alikua mamsap wangu kabla hajaolewa, akaja akaolewa. Ndoa hata mwaka haijaisha imevunjika, sasa hivi yupo single tu. Mimi sijaowa, ila huwa tunapasha kiporo chetu mara nyingi sana. Weekend zangu huwa zinaishia kwake hata kulala sometimes huko huko. Anajua nina mchumba uzuri hayupo mkoa nilipo mimi. Anatamani nimuowe lakini ndio hivo tena.kama hadi unaona chini ya kiwiko afu bdo unamuita x gf? tu,duh
Kama huna imani na wazungu, asilimia 95% ya dawa zote wanatengeza wao na unazitumiaNjia sahihi ya uzazi wa mpango ni kuhesabu siku tu, njia hii ni rahisi na salama kiafya na haina gharama.
Njia za kisasa ni mauaji na kafara kwa shetani, zinaondoa furaha ya ndoa na uaminifu kwa wanandoa. "MWANADAMU HAWEZI KUPATA FURAHA MPAKA ATAKAPOMJUA MUNGU WA KWELI"
Wengi wanaosema, calender [emoji413] awapo katika ndoa. Wewe unalala na mke, na hali ya hewa hii, utayakumbuka makalenda hayo. Kumbuka mapenzi ndani ya ndoa ni wakati wote minyege ikipanda, sana sana awe katika breed. Calendar ni ishu sana, tusidanganyane na kuhusu maswala ya dawa za uzazi kusumbua ni hali ya kuwa na mke asiekwenda Hospital [emoji541] kucheki hali yakeCalendar inasumbua kwa sababu mwili wa mwanamke na kiwango cha hormones hubadilika badilika kulingana na vyakula,hali na utulivu wa akili,mazingira,magonjwa,dawa n.k.
Yani ni kazi sana.
Mkuu sionkwamba anamaanisha papuchi inalowesha mashuka yote kwa hiyo unakula mlo ukiwa majini na sio majini viumbe !eti hoteli ya majini.hapo ndo nmeamini pointi zako sio za kitaalamu ni za kishirikina
Babu na bibi huwa hawalali chumba kimoja, kila mmoja ana chumba chake, bibi kazi yake ni kuhesabu siku, akiona yupo fiti basi anaibukia chumbani kwa babu. Na hats siku moja hawezi kukosa kwenda kwa babu kama yupo vizuri.
Tatizo letu sisi maisha ya kizungu, mna lala mitanda kimoja, hamwoni kama ni kuongeza majaribu.
Hii technique ya babu na bibi nimeipenda sana.
Santeee!Bora condom na calendar ila hii ya kumwaga nje inahitaji roho ya chuma,wengi hawawezi