Athari za kutumia njia za uzazi wa mpango za kisasa

Aiseee na nimekuwa nikizitilia sana mashaka

Wanawake wanaopatwa na cervix cancer & breast cancer 99.9% ni watumiaji Wa hizi family plans
Asilimia 90 ya wanaopata kansa ya shingo ya kizazi ni wale wenye wanaume wanaobeba HPV.
 
Ni ukweli mtupu mkuu, yaani hata mimi yameshawahi kunikuta! Ikifika wakati wa kugegedana hata mimi nilikuwa napata mfadhahiko kutokana na uchafuzi mkubwa wa mashuka uliokuwepo! Nashukuru baada ya ushauri wa Dr mambo yakaja kukaa sawa! Hawa Wazungu hawana nia nzuri kabisa na sisi jamani!
 
Sorry hapo unakua muuwaji how na wakati umejikinga tuu na mimba
Njia zote hizo hufanyakazi baada ya yai kurutubishwa hvy in uuwaji kwn uhai unaanza pale yai NA mbegu zinapo kutana sekunde hyhy kama unatumia acha kabisa
 
Sasa tutatumia nini jamani? Maana hayo ya wazungu kweli yanaside effects mbaya kabisa, hakuna njia ya asili nyingine ukiacha calendar?
Apo umenena Dada yangu nikipata muda ntakuwekea natural family plan,ambazo n salama Kabisa asante.
 
Mimi sijaelewa hapo number 10 Kuwa hotel ya majini
Vichanga n damu ya mabonge ile n chakula cha majini /wachawi hivyo unapotupa tayari unatupa na kiumbe haiishii hapo kw wenzako n mali
 
Mbadala upo safi kabisa na nitauweka cku za usoni,hauna adhari kwani humezi chochote n kufuata maumbile tu,ndio zimedhibitiswa kitaalamu na pia wanao toa ukipata majanga wanakuambia uache au uchague nyingine.
 
Yai la ke+ mbegu ya me = kimbe,NA madawa hayo huanza kufanya KAZI baada tendo hill kufanyika
 
eti hoteli ya majini.hapo ndo nmeamini pointi zako sio za kitaalamu ni za kishirikina
Rudi nyuma nimeijibu,in kweli vichanga na damu ina uhusiano mkubw na wachawi n majini
 

Hii ndio njia sahihi,
Hakuna kulala kitanda kimoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…