Athari za Mitandao ya Kijamii kwa Vijana: Ukweli Usiosemwa na Mifano Halisi

Athari za Mitandao ya Kijamii kwa Vijana: Ukweli Usiosemwa na Mifano Halisi

Wewe sijui mturutumbi wa wapi uliekalili maisha hujui kuna vijana wanaingiza pesa kutokana na mitandao ya kijamii.
**** watu wanajifunza mambo mbalimbali mfano kilimo, biashara, technolojia n.k
Suala la kuharibika vijana inategemea na wao wanatumiaje hio mitandao.
Unadhani hawajui mitandao inawapotezea muda, unadhani hawajui kuna mambo mengine ya kufanya?

Mitandao ina uraibu.

Jinsi ilivyotengenezwa inachochea sana uraibu. Maamuzi hayana nguvu kubwa, kusingekuwa na walevi na wavuta bangi.
 
Back
Top Bottom