Athari za Mitandao ya Kijamii kwa Vijana: Ukweli Usiosemwa na Mifano Halisi

Unadhani hawajui mitandao inawapotezea muda, unadhani hawajui kuna mambo mengine ya kufanya?

Mitandao ina uraibu.

Jinsi ilivyotengenezwa inachochea sana uraibu. Maamuzi hayana nguvu kubwa, kusingekuwa na walevi na wavuta bangi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…