Atheism sio kuamini Hakuna Mungu, ila ni kutoamini kuwa kuna Mungu

Atheism sio kuamini Hakuna Mungu, ila ni kutoamini kuwa kuna Mungu

Huna hoja yoyote mpya wewe, na isitoshe hizo hoja unazotoa wewe siyo chanzo. Kama umejiridhisha Mungu hayupo kwanini usikae kimya na kuendelea na maisha yako kama kawaida? Ina ku cost nini?
Wenzio hawajaja kuchangia wamepita kushoto

Waliohisi inamaana kwao wamechangia ilihali kuna nyuzi nyingi kama hizi.

Kwakutumia hoja hiyo hiyo,
Kwanini uskae kimya usije kuchangia kwenye huu uzi mkuu, ukikaa kimya
Inakucost nini?
 
Hata mimi sijasema nje ya Jf Unaitwa Scar .
Tufanye nje ya Jf unaitwe Mwakaleli ama Scar ilo ilo, ila bado hiyo haiondoi swali langu nililo kuuliza.
Turudi kwenye swali langu:- kwanini TUKIO langu liamliwe na idadi ya watu na si kitu kingine?.
Kwamba, leo fact inapimwa kwa wingi wa watu?.

Nb:- kumbuka hadi sasa wewe ndiye umeamua kulichagulia UPANDE WA KU-SIDE (MYTHICAL)SIMULIZI LANGU na si mimi MSIMULIAJI.
So, andika chochote unachokijua ila tambua kuwa sasa wewe ndiye author wa nilichokisimua.
Maana mimi nilisema hii dunia iko beyond na masimulizi ya believers na atheists ila umeamua kuli-side andishi langu katika upande wa mythical na sababu ya kufanya hivyo unaijua wewe.
Labda uniambie ni kwanini hukuliegeza katika upande wa atheism na badala yake ukachagua upande wa pili wake?.
Mkuu huyu Jamaa itakuwa mmojawapo mlowaona anatembea mwezini, maana ubishi wake hata hauna mantiki.
 
Back
Top Bottom