Atheists wana mtindio wa ubongo

Atheists wana mtindio wa ubongo

Hahhh haswaa, evolution Theory ni Imani tena Imani potofu Maana ukisoma Concepts za Natural Selection; kuhusu Twiga kuwa na shingo ndefu evolution Theory inasema "Twiga alikua na shingo fupi
Ila Kwasababu alikua anatamani sana kula majani kutoka kwenye miti hivyo ikapelekea shingo yake kuwa ndefu. "

Yani ni Uongo wa wazi kabisa.

Mimi leo nataka waseme Kinyonga kabla ya kuwa Kinyonga alikua kiumbe gani kwa mujibu wa Evolution Theory.?

Na Konokono nae alikua kiumbe gani kabla ya kuwa Konokono..?
Hio ya twiga umeiquote vby. Unajua "living relative" wa twiga? Ni mnyama hana shingo ndefu... na pia kuna fossil records!

Sisi tunaoamin vitu vyenye historical proof na nyie mnaoamin kitu ambacho hakina proof, nan mwenye iman potofu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"...hamna cha sayansi wala nini maana wanaenda kwa kuamini kitu ambcho hawajawahi kukishuhudia..."

Uchunguzi wa panya ulifanywa ( ni marekan nafkir). Wamegundua kua panya wanaoishi karibu na binadamu,in a span of 200 walidevelop ubongo mkubwa zaid. Hii ni kutokana na fact kua binadamu wanajaribu kuwaua panya kwa mitego, so wale waliokua smarter kutegua mitego ndio walisurvive na kuzaliana. Kwa sasa panya wanaoishi na binadamu wana ubongo mkubwa zaid on average, kulinganisha na wale wa pori. Proof of evolution.

Baadhi ya species za ndege zimeonekana kupungua wing span tokea magari yalivoanza kutumika kwa wingi. Kama unajua ndege znavofanya kaz utaelewa kua mabawa marefu inamaanisha less maneuverability. Kwhy wenye mabawa marefu wakawa wana collide na magari wanakufa so default ikawa short wingspan. Evolution!

Na ulishawahi kujiuliza how comes kuna breed tofauti za mbwa, kuku, bata etc...? Na unajua kua mbwa na wolf ni species moja ie. Canis lupus? (Mbwa ni subspecies ya wolf ie canis lupus familiaris).
Hizi breeds za mbwa mfn. GSD, pitbull, chihuahua etc. Zimetengenezwa kwa "selective breeding". Same goes kwa breeds za kuku mfn, kuku wa nyama, kuku wa mayai etc... "SELECTIVE BREEDING" ni binadamu wanatengeneza ila ikitokea kwenye nature inaitwa "NATURAL SELECTION", ambayo ndio Charles Darwin aliitumia kuelezea..... EVOLUTION!!

SURPRISE!! SURPRISE!! We have proof of evolution hizi ni kdg tu, lol

Sent using Jamii Forums mobile app
So, Mkuu unataka useme chochote watakachosema Marekani ni cha kweli..!?

Okay, tuambie Kinyonga kabla ya kuwa Kinyonga alikua kiumbe gani..?!
 
Hahhh haswaa, evolution Theory ni Imani tena Imani potofu Maana ukisoma Concepts za Natural Selection; kuhusu Twiga kuwa na shingo ndefu evolution Theory inasema "Twiga alikua na shingo fupi
Ila Kwasababu alikua anatamani sana kula majani kutoka kwenye miti hivyo ikapelekea shingo yake kuwa ndefu. "

Yani ni Uongo wa wazi kabisa.

Mimi leo nataka waseme Kinyonga kabla ya kuwa Kinyonga alikua kiumbe gani kwa mujibu wa Evolution Theory.?

Na Konokono nae alikua kiumbe gani kabla ya kuwa Konokono..?
Huyu ndio closest living relative wa twiga (notice hana shingo ndefu):
Screenshot_20230220-174646_Google.jpg


Binadamu closest living relative wetu ni chimpanzee. Ila walikuepo ambo walikua very close to humans (homo sapiens) kias kwamba tulkua na uwezo wa kuzaliana nao. Mfn. Homo neanderthalensis. Karb 100% ya watu wa ulaya (wazungu) wana DNA traces za homo neanderthalensis. Waafrika hatuna.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So, Mkuu unataka useme chochote watakachosema Marekani ni cha kweli..!?

Okay, tuambie Kinyonga kabla ya kuwa Kinyonga alikua kiumbe gani..?!
Kwahio ww unataka kusema chochote walichosema watu wa mashariki ya kati ni cha kweli?
Hicho cha wamarekani kuna kuna ushahid upo kwenye museums, ukiona kuna makosa una karibishwa kuleta hoja yako ya kupinga na kufanya utafiti. Na KUNA PROOF! Ukizingatia hio ya panya na ndege, ni kitu kimehappen sio zaid ya miaka 200 iliopita so hata specimens sio ngum kupata, unaweza ukafanya uchunguz hata ww ukitaka!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini hana Shingo ndefu?
Mazingira aliokua subjected hayamuhitaj awe na shingo ndefu...

Ni sawa nikuulize kwann kuku broiler hatagi mayai. Au kwann ng'ombe wa kizungu, wa maziwa anatoa maziwa mengi kuliko wa kienyeji?

Jibu ni kua, genes fulan zimekua activated au fulan zimekua shut down, kwa lugha nyepesi.

Fact ingine hii hapa, Ancestor wa nyoka alikua ni kiumbe mwenye miguu (kuna fossil records), ila hio gene kwa sasa iko shut down. Wanasayansi wameweza kuactivate na kuna waliobreed na kuzalisha nyoka mwenye miguu. Sometimes inatokea randomly, nyoka anatotolewa akiwa na miguu, sanasana hua ni chatu.

Na fact ingine: ancestor wa ndege alikua na meno, kuna kikundi cha wanasayansi kilizalisha kuku mwenye meno, walifanikiwa "kuactivate" hio gene.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahio ww unataka kusema chochote walichosema watu wa mashariki ya kati ni cha kweli?
Hicho cha wamarekani kuna kuna ushahid upo kwenye museums, ukiona kuna makosa una karibishwa kuleta hoja yako ya kupinga na kufanya utafiti. Na KUNA PROOF! Ukizingatia hio ya panya na ndege, ni kitu kimehappen sio zaid ya miaka 200 iliopita so hata specimens sio ngum kupata, unaweza ukafanya uchunguz hata ww ukitaka!

Sent using Jamii Forums mobile app
Saa ngapi nimesema kuhusu habari za Mashariki ya Kati....??

Mimi natumia akili yangu tu ku_reason hata wewe itapendeza ukishirikisha akili yako kuliko kuamini moja kwa moja kile ambacho unaambiwa..
 
Kijana jifunze kuandika maneno machache na uguse hoja. Uhalisia unahitaji kipimo gani ili ujulikane ?

Uwepo wa jua kuwa juu yetu unahitaji kipimo gani kujua hilo ? Baba kuwa mkubwa kiumri kuliko mtoto kunahitaji kipimo gani kujua hili ?

Uhalisia upo kijana, uhalisia haudaiwi, ndiyo maana hizo si za kweli kutokana na maana ya dini na muelekeo wake.

Kingine uwe unajibu maswali ninayo kuuliza.
Mungu ni Imani na sio uhalisia , tunaamini Mungu yupo , kidogo wakristo wanaweza kusema Mungu wao Yesu walimuona katika mwili , ila waislamu ni mtu mmoja anaitwa Muhammad amedai na kuaminisha wengine na yeye hajawahi kumuona huyo Allah

Unataka Mungu awe ametokea from no where ila ukiambiwa binadamu tumetokea from no where hutaki
 
Historical science VS Observational science
Wanapo zitumia kuongelea mambo ya miaka flani iliyopita.... Then wanakuja kukuwekea intelligent guessing kuhitimisha yaliyotokea. Ngoma zinakataa.
#Hatutaki Guessing hapa
 
Mazingira aliokua subjected hayamuhitaj awe na shingo ndefu...

Ni sawa nikuulize kwann kuku broiler hatagi mayai. Au kwann ng'ombe wa kizungu, wa maziwa anatoa maziwa mengi kuliko wa kienyeji?

Jibu ni kua, genes fulan zimekua activated au fulan zimekua shut down, kwa lugha nyepesi.

Fact ingine hii hapa, Ancestor wa nyoka alikua ni kiumbe mwenye miguu (kuna fossil records), ila hio gene kwa sasa iko shut down. Wanasayansi wameweza kuactivate na kuna waliobreed na kuzalisha nyoka mwenye miguu. Sometimes inatokea randomly, nyoka anatotolewa akiwa na miguu, sanasana hua ni chatu.

Na fact ingine: ancestor wa ndege alikua na meno, kuna kikundi cha wanasayansi kilizalisha kuku mwenye meno, walifanikiwa "kuactivate" hio gene.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi, Kuku Broiler ile ni evolution?
Ng'ombe wa kizungu ni evolution ile?

Ili iwe evolution inabidi ituletee kiumbe ambacho ni completely different


Mfano, Mwanamke akipewa medication ambayo itamfanya atoe maziwa mengi... Je tutasema hiyo ni evolution?
 
Back
Top Bottom