Atheists wana mtindio wa ubongo

Atheists wana mtindio wa ubongo

KWA wakati ule zilikuwepo hizo techs ?
Je mabadilishano ya Carbon toka kwa kiumbe na mazingira hakukuathiri accuracy ?
Viumbe wa prehistoric dating zao haziko accurate. Kuna room of error ndiomaana utaskia wanasema "approximately 700MYA". Ni ngum kupara accurately kiumbe husika aliishi mwaka gani exactly kwasababu dating inafanyiwa fossil.

Hapo wana calculate uwezekano wa lin huyo kiumbe aliishi kabla ya hio fossil ilkua formed. Fossil formation inalandana na rock formation, ndiomaana ukiangalia fossils utaona ni kama mawe. Topic ya form 3 hii nafkir geography, sijui wanetu mliruka shule au hamkua mnapay attention?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"...hamna cha sayansi wala nini maana wanaenda kwa kuamini kitu ambcho hawajawahi kukishuhudia..."

Uchunguzi wa panya ulifanywa ( ni marekan nafkir). Wamegundua kua panya wanaoishi karibu na binadamu,in a span of 200 walidevelop ubongo mkubwa zaid. Hii ni kutokana na fact kua binadamu wanajaribu kuwaua panya kwa mitego, so wale waliokua smarter kutegua mitego ndio walisurvive na kuzaliana. Kwa sasa panya wanaoishi na binadamu wana ubongo mkubwa zaid on average, kulinganisha na wale wa pori. Proof of evolution.

Baadhi ya species za ndege zimeonekana kupungua wing span tokea magari yalivoanza kutumika kwa wingi. Kama unajua ndege znavofanya kaz utaelewa kua mabawa marefu inamaanisha less maneuverability. Kwhy wenye mabawa marefu wakawa wana collide na magari wanakufa so default ikawa short wingspan. Evolution!

Na ulishawahi kujiuliza how comes kuna breed tofauti za mbwa, kuku, bata etc...? Na unajua kua mbwa na wolf ni species moja ie. Canis lupus? (Mbwa ni subspecies ya wolf ie canis lupus familiaris).
Hizi breeds za mbwa mfn. GSD, pitbull, chihuahua etc. Zimetengenezwa kwa "selective breeding". Same goes kwa breeds za kuku mfn, kuku wa nyama, kuku wa mayai etc... "SELECTIVE BREEDING" ni binadamu wanatengeneza ila ikitokea kwenye nature inaitwa "NATURAL SELECTION", ambayo ndio Charles Darwin aliitumia kuelezea..... EVOLUTION!!

SURPRISE!! SURPRISE!! We have proof of evolution hizi ni kdg tu, lol

Sent using Jamii Forums mobile app
No you dont have proof all i here is just a story with nothing to prove tuletee picha za hao viumbe na tofauti zao ili tuweze kujiridhisha maana all i hear ni story za the so called uchunguzi tuletee picha tuone wenyewe

Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app
 
No you dont have proof all i here is just a story with nothing to prove tuletee picha za hao viumbe na tofauti zao ili tuweze kujiridhisha maana all i hear ni story za the so called uchunguzi tuletee picha tuone wenyewe

Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app
Sasa picha za nn wakat mifano iko hai. Ww hujui breeds mbali mbali za mbwa? Unafkiri zimetengenezwaje hizo?

Izo research hata ww ukielewa unachofanya unaweza kuziconduct ukapata majibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa wanao advocate evolution ningependa watuoneshe walau mnyama mmoja ambaye anamalizia evolution yake now kwenda kuwa kiumbe kingine.

Wasiongelee kwenye past tu, watuambie sasa kuwa "unamuona yule sokwe?" baada ya muda si mrefu atakuwa modern man. Maana ametumia milions of years ku evolve.

Utasikia habari za miaka milioni kadhaa, mara bilioni kadhaa iliyopita...
 
Hawa wanao advocate evolution ningependa watuoneshe walau mnyama mmoja ambaye anamalizia evolution yake now kwenda kuwa kiumbe kingine.

Wasiongelee kwenye past tu, watuambie sasa kuwa "unamuona yule sokwe?" baada ya muda si mrefu atakuwa modern man. Maana ametumia milions of years ku evolve.

Utasikia habari za miaka milioni kadhaa, mara bilioni kadhaa iliyopita...
Evolution haina final goal. Yan sio guarantee kwamba sokwe inabid final yake awe binadamu. Yan pale sokwe vile alivo ndio yuko fully evolved na fit kwa mazingira aliopo.

Na ukitaka mnyama ambae yuko kwenye evolving stage... well.... viumbe wote tuko katika evolving stage i.e we're constantly evolving..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Evolution haina final goal. Yan sio guarantee kwamba sokwe inabid final yake awe binadamu. Yan pale sokwe vile alivo ndio yuko fully evolved na fit kwa mazingira aliopo.

Na ukitaka mnyama ambae yuko kwenye evolving stage... well.... viumbe wote tuko katika evolving stage i.e we're constantly evolving..

Sent using Jamii Forums mobile app
Are we evolving at the same rate? kama sivyo, basi we would see differences between animals of the same kind.
 
Safi kabisa, nakuuliza tena kwa namna rahisi na nyepesi zaidi ili uelewe na kama hutaelewa kadhalika nitakuuliza kwa wepesi zaidi tena na tena.

Unakubali kila kitu ambacho kipo, kinahitaji uthibitisho kuonyesha uwepo wake ?

Unapo iona hii Dunia na vilivyomo, akili yako inakwambia imejiumba au imetokana pasi na chochote ? Au imekuwaje kuwaje mpaka ikawa hivi ilivyo ? Au hili hujui na kama hujui au hukufanya uchunguzi kwanini ukanishe jambo pasi na kufanya uchunguzi au kwa kutokujua ? Kwa sababu gani mnakataa ya kuwa haijaumbwa na Mola na kwanini mnasema Mola hayupo ?
Check majibizano yenu mwenzio anapata likes nyingi kuliko wewe daah watu wameshaanza kufunguka akili.
 
Anhaa..., Basi Mkuu naomba tukubaliane tu kwamba still ni dhana tu Bado hakuna proof yoyote juu ya Evolution Theory.

Au unasemaje...
Mkuu yan nakupa proof afu bado unakataa[emoji23]

Ushawahi kudeal na panya au kungun ww? Ushawah kuwapa sumu? Mara ya kwanza wanakufa ukiwapa sum then baada ya muda wanaacha kufa, hio pia ni Evolution.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza unatakiwa ujue kuwa sayansi ina imperfections nyingi na ndio maana wao wenyewe wamekuwa wakiendelea kufanya udadisi extra licha ya kwamba tayari wamepata jibu

Wanajua kuwa ipo nafasi ya wao kukosea na ndio maana wanapanga data zao kwa asilimia

Habari za Mungu hazijawahi kuthibitishwa na dini yeyote na ndio maana kila dini inapingana na dini nyingine ikiamini mwenzake ni muongo.

Kwa hiyo tukisema tuachane na sayansi yenye mapungufu tuangalie majibu ya dini bado tutapata mgogoro wa makubaliano ya kuchagua maandiko ya dini gani ndio yanayopaswa kutumika kama reference
Utafiti wa kisayansi ni kutafuta ushaidi wa jambo fulani, na kuna wakati inakosa majibu. Kushindwa kupata jibu la kisayansi, hakuhalalishi kuwa hakuna jibu, bali ni kufikia ukomo wa uwezo wake.

Ni vema wanasayansi wakubali kuwa hawajui kuthibitisha uwepo wa Mungu kuliko kusema Mungu hayupo bila uthibitisho.

Je, sayansi imetumia nini kuthibitisha kuwa Mungu hayupo?
 
Utafiti wa kisayansi ni kutafuta ushaidi wa jambo fulani, na kuna wakati inakosa majibu. Kushindwa kupata jibu la kisayansi, hakuhalalishi kuwa hakuna jibu, bali ni kufikia ukomo wa uwezo wake.

Ni vema wanasayansi wakubali kuwa hawajui kuthibitisha uwepo wa Mungu kuliko kusema Mungu hayupo bila uthibitisho.

Je, sayansi imetumia nini kuthibitisha kuwa Mungu hayupo?
Observations za kawaida tu. Kuna miungu zaid ya 1000. Na hakuna na hata mungu mmoja aliethibitishwa kisayansi, wala waumini wake kuthibitisha kua yupo.

Cha ajabu hao wanaoamin miungu wenyew hawakubalian kua mungu yupi ni wa kwel, wote wanapingana.

Kisayansi tunaamini kua asteriod kubwa ilikumbana na jua ndio ikatengeneza solar system. Tunaendelea kustand na hii kwa sababu still tunaona asteroids mbali mbali zikikumbana na jua, sayari nyine na miezi. Atleast kuna proof ya hio. Ila miungu? We've got non!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mi kama atheist nashukuru kwa busara yako kwa namna ulivyoamua kutuita

Ila ulichosahau ni kitu kimoja

Watu wanasifia magari, Pc nk kutokana na comparison walizofanya za kuangalia ufanisi wa bidhaa moja dhidi ya bidhaa nyingine.

Hao atheist wanaosifia magari, computer nk, wanafanya hivyo kwa references.

Kwamba watu wanasema hii bidhaa ni bora kwasababu kuna specs hii ambayo kwenye bidhaa hii nyingine haipo

Viwanda vinavyotengeneza hizo bidhaa vinathibitishika kuwa vipo bila kuhitaji kitu kingine cha ziada kama ishara ya kuonesha ndio source ya hizo bidhaa

Huyo mtu hawezi kushindwa kukuthibitishia kampuni la Dell au Hp kuwa lipo.

Ni maswala ya taaluma ambayo kila mtu anaweza akafanya endapo akifundishwa.

Sasa

Unaposema huu ulimwengu umesababishwa na Mungu, references yako inakuwa nini?

Tunaweza tukathibitisha hicho chanzo bila kutumia kitu kingine kinachopimika kuwa ndio uthibitisho wa Mungu asiyepimika?

Lakini pia

Unaposema huu ulimwengu ni bora au umekamilika unakuwa umeupima na kuufananisha na ulimwengu gani mwingine mpaka ukafikia hitimisho kuwa ulimwengu huu ni mzuri?

Aliyesema laptop Hp omen ya gaming ni bora aliangalia toleo la chini yake au alifananiaha na brand nyingine kwenye maswala ya kiuwezo akaona Hp Omen ni laptop bora

Sasa ulimwengu huu mnaosema ni mzuri au ni bora, ni bora ukiufananisha na ulimwengu upi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaaan umempa jibuu ambalo yeye mwenyewee hatakaa akusahauuu.

Umempaaa za uso haswaaaa. Nakukubali hapooo tyuuh.
 
Scars

Wee ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Nakukubali sanaaaaa. Huwa unanikoshaa na madini yakooo.
Uendeleee kutoa hili darasa huru, kufungua watu akili.
 
Ushawahi kuambiwa nani kama Special Relativity ni story au Blackhole ni visasili ? Inaonekana Sayansi huijui kijana, hayo nuwa yanasemwa baadae, jambo linapo Anza kujadiliwa na kutiliwa Mashaka.
Haha... sasa hivo sini vitu asilia kabisa.

Mfano special relativity basically inakuambia kua, kitu kinavokaribia speed ya mwanga kinaongezeka energy, au increase in mass. We unaona kuna uongo hapo? Mfn; ukipigwa na risasi unajua kwann inakuletea majeraha, pengine kuvunja hata mfupa wako ihali risasi ni kitu kidogo tu? Ni kwasababu inakua na kasi kubwa ivo na energy yake inaongezeka. Na ndio sababu kwamba utapona ukigongwa na semi trailer linalo enda kwa spidi ya 2km/h ila utakufa ukigongwa na baiskeli inayoenda 450km/h

Black holes ni vitu halisia na vipo sjui kwann unaita visasili...

Huenda sayansi siijui, ila na ww pia kuna kitu kwente sayansi hukijui. Au ni ile umekariri tu ile sayansi ya kujibia mtihan ila hamna unachoelewa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom