Atheists wana mtindio wa ubongo

Atheists wana mtindio wa ubongo

Utafiti wa kisayansi ni kutafuta ushaidi wa jambo fulani, na kuna wakati inakosa majibu. Kushindwa kupata jibu la kisayansi, hakuhalalishi kuwa hakuna jibu, bali ni kufikia ukomo wa uwezo wake.
Sayansi ni nature, elimu ya kiutafiti inayochunguza vitu vilivyotuzunguka

Madai ya uwepo wa Mungu ni supernatural claims zinaohusiana na habari za kiroho

Ni kweli Sayansi haiwezi kuthibitisha aina hiyo ya madai kwa jinsi yalivyokaa, lakini kama utakumbuka sayansi pia haiwezi kuthibitisha habari za Spiderman, Harrypoter, Batman, Super heroes, Unicorn nk.

So point yako ni nini?

Kwamba kwakua sayansi haiwezi kuthibitisha madai ya hivyo vitu basi busara ni kusema haiwezi na sio kwamba hakipo?

No haiwezi ikawa hivyo

Tukisema tuachane na sayansi kwasababu haijui kitu kwenye mambo ya kiroho ambayo ndio sehemu iliyomuongelea Mungu, so turejee kwenye maandiko matakatifu

Ila kabla hatujarejea, kumbuka tuna maelfu ya vitabu vinavyodaiwa kuwa ni vitabu vya Mungu (maandiko matakatifu)

Ni maandiko gani matakatifu yaliyo matakatifu zaidi kuliko mengine?

Au ni toleo gani la maandiko ambalo tunapaswa kulitumia kama reference?

Kama hoja ya "ufunuo" inafikiriwa kuwa ni hoja ya kukubalika basi kuna haja ya kueleza kwanini andiko moja lipingane na andiko lingine wakati yote hudaiwa kuandikwa kwa ufunuo?
 
Mkuu yan nakupa proof afu bado unakataa[emoji23]

Ushawahi kudeal na panya au kungun ww? Ushawah kuwapa sumu? Mara ya kwanza wanakufa ukiwapa sum then baada ya muda wanaacha kufa, hio pia ni Evolution.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo wapi hiyo proof uliyotoa....

Hujaprove kwamba Sponge ni kiumbe wa kwanza kuumbwa unatoa story tu.. thibitisha Mkuu
 
Haina ukweli wapi wakat ukweli tunauona. Fossilized sea sponges wapo. Na kuna methods za kifanya dating. Ukifanya dating uaona zilikuepo since 800+MYA

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli tunauona.?

Yani kwamba viumbe wote wanatokana na kiumbe mmoja aliyetoka majini....

Nilikuuliza huyo Kiumbe ni nani hujanielimisha mpaka leo mkuu
 
Haha... sasa hivo sini vitu asilia kabisa.

Mfano special relativity basically inakuambia kua, kitu kinavokaribia speed ya mwanga kinaongezeka energy, au increase in mass. We unaona kuna uongo hapo? Mfn; ukipigwa na risasi unajua kwann inakuletea majeraha, pengine kuvunja hata mfupa wako ihali risasi ni kitu kidogo tu? Ni kwasababu inakua na kasi kubwa ivo na energy yake inaongezeka. Na ndio sababu kwamba utapona ukigongwa na semi trailer linalo enda kwa spidi ya 2km/h ila utakufa ukigongwa na baiskeli inayoenda 450km/h

Black holes ni vitu halisia na vipo sjui kwann unaita visasili...

Huenda sayansi siijui, ila na ww pia kuna kitu kwente sayansi hukijui. Au ni ile umekariri tu ile sayansi ya kujibia mtihan ila hamna unachoelewa...

Sent using Jamii Forums mobile app
Maximum speed ya risasi ikitoka inakuwa umbali gani kwa mita ? Shida yenu huwa hamujoji. Kipi kinafanya kitu kiongozeke uzito ? Unajuaje hapa risasi imeongezeka uzito na siyo kwa sababu ya athari ya mwendo kasi ? Ulipimaje uzito huo pindi ulipo ongezeka ?

Kingine ni Baiskeli gani inaweza kwenda umbali wa 450km kwa lisaa ? Ndiyo maana mnakuwa mashabiki wa Sayansi na kuukimbia uhakia, unatoa mifano pasi na kuangalia uhalisia.

Onyesha uhalisia wa Blackhole usiishie kuandika tu juu na kupotea.

Sasa ili tuone kama nimekariri wewe Jenga hoja na Mimi niweke hoja zangu, tuone mwisho wake unakuwaje.
 
Ni vema wanasayansi wakubali kuwa hawajui kuthibitisha uwepo wa Mungu kuliko kusema Mungu hayupo bila uthibitisho.

Je, sayansi imetumia nini kuthibitisha kuwa Mungu hayupo?
Japan kuna Miungu wengi wanaoabudiwa, moja wa Miungu ambaye nimekuwa interested na stori zake ni Eric

Huyu Eric anatambulika kama (God eater) kazi yake yeye ni kula Miungu mingine

Vipi nikikuambia Mungu wako hayupo kwasababu Eric (mla Mungu) yupo?

Kwa hiyo kama Mungu wako alikuwepo basi automatically alishaliwa na Erick, unless uthibitishe kuwa Erick hayupo.

Ukithibitisha Erick hayupo nitatumia njia hizo hizo kukuthibitishia Mungu wako hayupo.

So una option mbili, uthibitishe Erick hayupo au ushindwe

Katika option hizo mbili mantiki itayofuata ni Mungu hayupo haijalishi umechagua nini
 
Maximum speed ya risasi ikitoka inakuwa umbali gani kwa mita ? Shida yenu huwa hamujoji. Kipi kinafanya kitu kiongozeke uzito ? Unajuaje hapa risasi imeongezeka uzito na siyo kwa sababu ya athari ya mwendo kasi ? Ulipimaje uzito huo pindi ulipo ongezeka ?

Kingine ni Baiskeli gani inaweza kwenda umbali wa 450km kwa lisaa ? Ndiyo maana mnakuwa mashabiki wa Sayansi na kuukimbia uhakia, unatoa mifano pasi na kuangalia uhalisia.

Onyesha uhalisia wa Blackhole usiishie kuandika tu juu na kupotea.

Sasa ili tuone kama nimekariri wewe Jenga hoja na Mimi niweke hoja zangu, tuone mwisho wake unakuwaje.

Unachanganya "weight" na "mass" kaka. Ni vitu viwil tofaut kabisa. Weight ni vector quantity na mass ni scalar. Ukiweza kuvielewa hivi utaelewa vzr tu... na hio unayosema kama "athari ya mwendo kasi" ndio increase in energy and mass. Ni mass (sio weight). Na increase in energy ni effect ya mwendo kasi! Duh!!...

Hio ya baiskeli nimetoa mfano rahisi tu uelewe, sio reality. Haya substitute baiskel kwa pikpik...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom