Atheists wana mtindio wa ubongo

Atheists wana mtindio wa ubongo

Unalewa kua anaetembea 50kph yuko closer to speed of light kuliko alie 10kph, sindio?
Kingine jifunze kutumia msamiati kwa maana yake halisi. Tamko "Closer" maana yake ni karibu sana, kitu ambacho kwa hapo hakiakisi uhalisia. Huo mwendo hauko karibu kama unavyo dai.

Kingine Kuna suala la "Starting Point" tukirudi kujadili ukweli kuhusu mwendo wa light. Walivyo kuwa wanapima mwendo wa light reference Yao ilikuwa wapi ? Kwa maana Starting Point, sababu hakuna Velocity bila "Starting Point" na katika maelezo utakayo yatoa usilete habari za "Assumptions" sababu maana yake naijua vizuri mno. Yaani nataka uguse uhalisia.
 
Nataka uonyeshe inaongezeka vipi wakati athari ya kitu inasababishwa mwendo tena katika medium hiyo hiyo. Hayo maelezo mengine ni chai tu za Wanasayansi ndiyo maana ninacho kuuliza unashindwa kujibu.

Yaani onyesha inaongezeka vipi, ili ujue hakika ya jambo huwa mnafanya vipi ? Au mnaishia juu juu tu na kufikia hitimisho ( na inajulikana wazi kabisa tatizo kubwa la Sayansi ni katika kufikia hitimisho, huwa Kuna kkna nyingi sana na Assumptions kibao, lengo kuficha udhaifu wao)
Sasa kama mfano hai unakua mgum kuelewa itabid tutumie assumption.

Chukulia huu mfano wa uhalisia; ukijaribu kumsukuma mtu anaekuzidi uzito itakua ngumu kumdondosha. Ila ukitaka ufanikiwe itabid urud nyuma, uje na spidi umpush ndo utafanikiwa kumdondosha. Hii sini kweli na unaelewa hilo? Sasa kwann ukimpush kwa spidi unamdondosha? Kwasababu utakua umegain momentum, na momentum inapoongezeka inamaana na mass inaongezeka. Mm naona changamoto hapa hujaelewa mass ni nn. Mass sio uzito, uzito ni weight.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kingine jifunze kutumia msamiati kwa maana yake halisi. Tamko "Closer" maana yake ni karibu sana, kitu ambacho kwa hapo hakiakisi uhalisia. Huo mwendo hauko karibu kama unavyo dai.

Kingine Kuna suala la "Starting Point" tukirudi kujadili ukweli kuhusu mwendo wa light. Walivyo kuwa wanapima mwendo wa light reference Yao ilikuwa wapi ? Kwa maana Starting Point, sababu hakuna Velocity bila "Starting Point" na katika maelezo utakayo yatoa usilete habari za "Assumptions" sababu maana yake naijua vizuri mno. Yaani nataka uguse uhalisia.
Starting point yani initial velocity? Inabid iwe 0

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama mfano hai unakua mgum kuelewa itabid tutumie assumption.

Chukulia huu mfano wa uhalisia; ukijaribu kumsukuma mtu anaekuzidi uzito itakua ngumu kumdondosha. Ila ukitaka ufanikiwe itabid urud nyuma, uje na spidi umpush ndo utafanikiwa kumdondosha. Hii sini kweli na unaelewa hilo? Sasa kwann ukimpush kwa spidi unamdondosha? Kwasababu utakua umegain momentum, na momentum inapoongezeka inamaana na mass inaongezeka. Mm naona changamoto hapa hujaelewa mass ni nn. Mass sio uzito, uzito ni weight.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hapo si sababu ushaiweka kwamba ni Mwendo kasi. Nataka uonyeshe wapi uzito unaongezeka.

Kingine hakuna haja ya kutumia Assumptions, matumizi ya Assumptions huonyesha uvivu wa kufikiri na uzembe. Kadhalika unaweza ukatumia Mwendo kazi mkubwa na usifue dafu kadhalika.

Kingine hujibu swali ninalo kuuliza.
 
Starting point yani initial velocity? Inabid iwe 0

Sent using Jamii Forums mobile app
Elewa swali nililo kuuliza. Kwenye kupata Mwendo kasi wa Mwanga, starting Point ilikuwa ni nini na wapi ?

Ushauri wangu msiwe mashabiki wa hivi vitu, sababu misingi yake ni akili tu za wanadamu na hakuna maajabu, na Kuna kukosea kwingi kuliko kupatia.
 
Sasa hapo si sababu ushaiweka kwamba ni Mwendo kasi. Nataka uonyeshe wapi uzito unaongezeka.

Kingine hakuna haja ya kutumia Assumptions, matumizi ya Assumptions huonyesha uvivu wa kufikiri na uzembe. Kadhalika unaweza ukatumia Mwendo kazi mkubwa na usifue dafu kadhalika.

Kingine hujibu swali ninalo kuuliza.
Hapo kwenye uzito ndio hatujaelewana. Yani sio kwamba ukiendesha gari lako la 1tone ukakimbiza to 250kph kwamba hilo gari litaongezeka kilo, hapana. Ila ile kiwango cha energy ilionayo ndio kitaongezeka kwa lugha nyingine hii energy tunaiita 'inertial mass'. Kwa hapa formula ni
momentum=mass×velocity
Sasa hapa siunaona kua ukiongeza force (momentum) na mass ya kitu inaongezeka pia?
Practically najua unaeza kurelate..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona unapinga kauli yako tena mkuu.... Kumbuka "ulisema for some reasons haiwezi kuwa proved"

Sasa fact gani ambayo haiwezi kuwa proved?
Bro evolution is a fact inaweza kua proved. Ila hio ya kwamba kila kiumbe kimetokana na samaki haiwez kua proved, for obvious reasons.
Kama izo reasons hujaona kua ni obvious ngoja nikutqjie;
atukuepo day 1 kipind life ina form
sio kila kitu kimefossilize, kwhy kuna missing links kibao.

Kwhy kwa sasa tunatumua available data kupredict ni nn kilichotokea...

Unaelezeaje fact ya kwamba miaka 900,000 iliopita dunia ilikua imejaa viumbe wa tofaut kbs na tulionao sasa. Na kwann walitoweka? Kwann sisi tuliopo saiv tulikujaje na wale wakatowekaje? Na ilipita muda gan mpaka wakatoweka?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mi kama atheist nashukuru kwa busara yako kwa namna ulivyoamua kutuita

Ila ulichosahau ni kitu kimoja

Watu wanasifia magari, Pc nk kutokana na comparison walizofanya za kuangalia ufanisi wa bidhaa moja dhidi ya bidhaa nyingine.

Hao atheist wanaosifia magari, computer nk, wanafanya hivyo kwa references.

Kwamba watu wanasema hii bidhaa ni bora kwasababu kuna specs hii ambayo kwenye bidhaa hii nyingine haipo

Viwanda vinavyotengeneza hizo bidhaa vinathibitishika kuwa vipo bila kuhitaji kitu kingine cha ziada kama ishara ya kuonesha ndio source ya hizo bidhaa

Huyo mtu hawezi kushindwa kukuthibitishia kampuni la Dell au Hp kuwa lipo.

Ni maswala ya taaluma ambayo kila mtu anaweza akafanya endapo akifundishwa.

Sasa

Unaposema huu ulimwengu umesababishwa na Mungu, references yako inakuwa nini?

Tunaweza tukathibitisha hicho chanzo bila kutumia kitu kingine kinachopimika kuwa ndio uthibitisho wa Mungu asiyepimika?

Lakini pia

Unaposema huu ulimwengu ni bora au umekamilika unakuwa umeupima na kuufananisha na ulimwengu gani mwingine mpaka ukafikia hitimisho kuwa ulimwengu huu ni mzuri?

Aliyesema laptop Hp omen ya gaming ni bora aliangalia toleo la chini yake au alifananiaha na brand nyingine kwenye maswala ya kiuwezo akaona Hp Omen ni laptop bora

Sasa ulimwengu huu mnaosema ni mzuri au ni bora, ni bora ukiufananisha na ulimwengu upi?
Ukiangalia mpangilio tu lazma kutakuwa na mbunifu fulani alipangilia, na ushahidi tunaupata kwenye maandiko matakatifu, kwa hiyo ww unaamini ulimwenguni umetoka wapi?
 
Bro evolution is a fact inaweza kua proved. Ila hio ya kwamba kila kiumbe kimetokana na samaki haiwez kua proved, for obvious reasons.
Kama izo reasons hujaona kua ni obvious ngoja nikutqjie;






Sent using Jamii Forums mobile app
Umesema Evolution inaweza kuwa proved......

Lakini bado mpaka sasa hujaweka any evidence mezani
 
Mfumo wa maisha ukilinganisha na mfumo upi mwingine wa maisha?

Ulishawahi kuishi nje ya mfumo huu uka experience terrible life thats why ukifananisha na huu mfumo unaona huu mfumo ni bora?
Kwa hiyo ulimwengu umetoka wap?
 
Ukiangalia mpangilio tu lazma kutakuwa na mbunifu fulani alipangilia, na ushahidi tunaupata kwenye maandiko matakatifu, kwa hiyo ww unaamini ulimwenguni umetoka wapi?
Na tukimfikiria huyo mpangiliaji wa ulimwengu huoni kwamba ni lazima kutakuwa na kitu kingine kilichompa huo ubunifu?
 
Hapo kwenye uzito ndio hatujaelewana. Yani sio kwamba ukiendesha gari lako la 1tone ukakimbiza to 250kph kwamba hilo gari litaongezeka kilo, hapana. Ila ile kiwango cha energy ilionayo ndio kitaongezeka kwa lugha nyingine hii energy tunaiita 'inertial mass'. Kwa hapa formula ni
momentum=mass×velocity
Sasa hapa siunaona kua ukiongeza force (momentum) na mass ya kitu inaongezeka pia?
Practically najua unaeza kurelate..

Sent using Jamii Forums mobile app
Kijana umeona haya mambo ya kufikirika yalivyo magumu kuyaweka wazi ? Mass ni tungamo kwa maana ya uzito,ndiyo maana kizio chake ni aidha Gram au Kilogram. Unaposema ya kuwa Mass inaongezeka ujue kama ilikuwa ni kilo 20 basi inakuwa ni kilo 30. Ndiyo maana ukiangalia hitimisho la theory ya Relativity utaona ni hitimisho la kijinga sana, kwamba Mass ni mkusanyiko wa nishati na si chochote, nilikuuliza hili swali kwamba kwa akili yako hili ni kweli ? Hukujibu hili swali.

Kama hivyo ndivyo hakuna maana ya wao kutumia Tamko mass sababu halina maana katika uhalisia, ila kwenye makaratasi Lina maana ili kukidhi hitaji la kimahesabu. Wewe una akili kijana japo ndiyo shida hufiirii kulikuwa Kuna haja gani ya kusema Kuna mass wakati inaonekana nguvu imeletwa na ule mwendo kasi ?

Achana na mambo ya Momentum haya yako wazi sababu hakuna energy hapo inayoengelewa, ila katika hii formula ya Mass Energy Kuna sarakasi nyingi ambazo hazina uhalisia zaidi ya falsafa tu na michezo ya danganya toto.
 
Kijana umeona haya mambo ya kufikirika yalivyo magumu kuyaweka wazi ? Mass ni tungamo kwa maana ya uzito,ndiyo maana kizio chake ni aidha Gram au Kilogram. Unaposema ya kuwa Mass inaongezeka ujue kama ilikuwa ni kilo 20 basi inakuwa ni kilo 30. Ndiyo maana ukiangalia hitimisho la theory ya Relativity utaona ni hitimisho la kijinga sana, kwamba Mass ni mkusanyiko wa nishati na si chochote, nilikuuliza hili swali kwamba kwa akili yako hili ni kweli ? Hukujibu hili swali.

Kama hivyo ndivyo hakuna maana ya wao kutumia Tamko mass sababu halina maana katika uhalisia, ila kwenye makaratasi Lina maana ili kukidhi hitaji la kimahesabu. Wewe una akili kijana japo ndiyo shida hufiirii kulikuwa Kuna haja gani ya kusema Kuna mass wakati inaonekana nguvu imeletwa na ule mwendo kasi ?

Achana na mambo ya Momentum haya yako wazi sababu hakuna energy hapo inayoengelewa, ila katika hii formula ya Mass Energy Kuna sarakasi nyingi ambazo hazina uhalisia zaidi ya falsafa tu na michezo ya danganya toto.
Hio energy exerted by a body at motion (momentum). Iko directly proportional to mass. Ivo ukiwa una mass kubwa tunategemea kua na momentum yako itakua kubwa, and vice-versa is true. Formula inaprove hili na in practice pia inakua proved.

In practice ukitaka kuprove kiurahis fanya hivi.
Unajua acceleration na speed inaweza kua direction yyte? Unaweza hata kua acceleration due to gravity. Ukitoka juu ya ghorofa ukajitupa chini inamaana uta accelerate to a certain velocity... sasa demonstrate hivi. Simama juu ya muzani wa kupimia uzito then ruka uone kilo zako zinavoongezeka mpaka pale utapofikia terminal velocity kisha readings znarud katk kilo zako halisi.

Sasa ndivo hivohivo inavotekea ktk forward motion except hapa inakua sio acceleration due to gravity, kwahio hio value ya energy inayoongezeka hapo inakua sio weight bali mass.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom