Kentsuhcy Wrudate
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 1,075
- 653
Aka adopt na mazingira, process ikaendelea ndio mpaka sasa tuna hii diversity ya viumbeAnhaa, alivyo crawl out of water ikawaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aka adopt na mazingira, process ikaendelea ndio mpaka sasa tuna hii diversity ya viumbeAnhaa, alivyo crawl out of water ikawaje
Sawa.., ndyo nataka uelezee Kwa mujibu wa wabobevu wa Sayansi hiyo process ilikuaje kuaje....Aka adopt na mazingira, process ikaendelea ndio mpaka sasa tuna hii diversity ya viumbe
Sent using Jamii Forums mobile app
Naanzia hapa, maana ya mfano ni kuendana na ukweli ili mtu aelewe vizuri, huwezi kutaja mwendo huo uka upa sifa kwenye au kiunasibisha na baiskeli. Shida yenu hamjishughulisbi na uhalisia.Hio ya baiskeli nimetoa mfano rahisi tu uelewe, sio reality. Haya substitute baiskel kwa pikpik...
Kijana unajua maana ya uhalisia ? Sijui unaandika maneno mengi yasiyo maana kwa sababu ya uoga au utoto ? Siongelei suala la Weight kijana bado katika kanuni hiyo hiyo isemayo E = mc^2. Risasi ni wakati gani inakaribia mwendo wa mwanga ili ilete athari ? Kadhalika kwenye huo mwendo wa mwanga, wa c= 3.0×10^8m/s inahitaji uthibitisho, kwa hapa tuchukulie Iko hivyo. Toa mfano wa wastani wa mwendo wa risasi tuone ukweli wako.Unachanganya "weight" na "mass" kaka. Ni vitu viwil tofaut kabisa. Weight ni vector quantity na mass ni scalar. Ukiweza kuvielewa hivi utaelewa vzr tu... na hio unayosema kama "athari ya mwendo kasi" ndio increase in energy and mass. Ni mass (sio weight). Na increase in energy ni effect ya mwendo kasi! Duh!!...
Blaza. Kumbuka hapo tunaongelea issue za more than 500my. Sasa na surmise vp? Kama uko interested apply evolutional biology usome hio course. Ukiona kuna vitu haviko sawa unachapa vitabu kuelezea views zako...Sawa.., ndyo nataka uelezee Kwa mujibu wa wabobevu wa Sayansi hiyo process ilikuaje kuaje....
Kwa mfano, Tuanze kwa kuangalia viumbe wawili tu Mtu na Nyuki process ilikuaje mpaka wakatokea kutoka kwa Sea Sponge.
Ahsante ,
Katika formula hii E=mc² unaona kua ukikarbia speed ya mwanga, energy ya object inaongezeka. Kukaribia speed ya mwanga inamaana ni simpy kuongeza speed ya object. Unafkir kwann high speed cars zinahitaj hp kubwa? Kwasababu itafika mahala gari litakua na energy kubwa litashindwa kuendelea kuacclerate, ivo itakupasa uongeze nguv ya gari!Naanzia hapa, maana ya mfano ni kuendana na ukweli ili mtu aelewe vizuri, huwezi kutaja mwendo huo uka upa sifa kwenye au kiunasibisha na baiskeli. Shida yenu hamjishughulisbi na uhalisia.
Kijana unajua maana ya uhalisia ? Sijui unaandika maneno mengi yasiyo maana kwa sababu ya uoga au utoto ? Siongelei suala la Weight kijana bado katika kanuni hiyo hiyo isemayo E = mc^2. Risasi ni wakati gani inakaribia mwendo wa mwanga ili ilete athari ? Kadhalika kwenye huo mwendo wa mwanga, wa c= 3.0×10^8m/s inahitaji uthibitisho, kwa hapa tuchukulie Iko hivyo. Toa mfano wa wastani wa mwendo wa risasi tuone ukweli wako.
Kingine nikipata muda nikumbushe nitakuja kuikosoa hii kanuni ya Energ-Mass kama ni kweli au ujinga tu wa kina Albert Einstein.
Weka summary tu....Blaza. Kumbuka hapo tunaongelea issue za more than 500my. Sasa na surmise vp? Kama uko interested apply evolutional biology usome hio course. Ukiona kuna vitu haviko sawa unachapa vitabu kuelezea views zako...
Sent using Jamii Forums mobile app
Summary sindo nimeitoa hapo.Weka summary tu....
Au kwa uchache toa summary jinsi Sisimizi alivyotokea kutoka Kwa Sea Sponge.
Let's agree to disagree Mkuu..Summary sindo nimeitoa hapo.
Sea sponge kaevolve into a various organisms. Wadudu wakatokea ktk crustacean like thing. Vertebrates tukatokana na fish like thing..
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes... wanatumia data zilizopoLet's agree to disagree Mkuu..
Uzuri hiyo ni dhana/nadharia(theory) means hata hao walioitoa hawana uhakika nayo.
Sea Sponge Bado ana exist lakini kazi ya kutoa viumbe wapya siku hizi kaiacha au sio?Summary sindo nimeitoa hapo.
Sea sponge kaevolve into a various organisms. Wadudu wakatokea ktk crustacean like thing. Vertebrates tukatokana na fish like thing..
Sent using Jamii Forums mobile app
ooh kumbe, Wao wenyewe walioitoa hawana uhakika nayo...... Sasa mbona wewe unaamini hiyo theory 100%
Kijana jibu swali nililo kuuliza, ni wakati gani huo mwendo unakaribia mwendo wa light ambao ni 816000miles per second.Katika formula hii E=mc² unaona kua ukikarbia speed ya mwanga, energy ya object inaongezeka. Kukaribia speed ya mwanga inamaana ni simpy kuongeza speed ya object. Unafkir kwann high speed cars zinahitaj hp kubwa? Kwasababu itafika mahala gari litakua na energy kubwa litashindwa kuendelea kuacclerate, ivo itakupasa uongeze nguv ya gari!
Kitu gani kimewahi kufikia Speed ya Light katika uhalisia ? Infinity Source ushawahi kuodiriki ? ONA Sasa unavyo potea. Sasa kama hakuna nguvu ya ulinganyo mnaipata wapi ?Unapofikia light speed inamaana utakua na infinity mass, ivo utahitaj infinity source of energy kukimbia speed hio. Na ndiomaana hakuna chombo chochote mpaka sasa kinachokimbia speed ya mwanga; Kwasababu hatuna infinity source of energy!
Sijui kwanini hujibu swali ninalo kuuliza.Kinachofanya risasi iwe na madhara ni kwasababu risasi inakua na kasi sana ivo energy yake (na mass) vinaongezeka. Hii ndo hasara ya kusoma physics kwa nadharia tu bila kuwaza in practice inakuaje...![]()
Unalewa kua anaetembea 50kph yuko closer to speed of light kuliko alie 10kph, sindio?Kijana jibu swlai nililo kuuliza, ni wakati gani huo mwendo unakaribia mwendo wa light ambao ni 816000miles per second.
Kingine experiment iliyo fanyika kufikia Hilo hitimisho unajua ilifanyika katika mazingira gani ? Jibu ni katika Strong Electric Filed, Sasa uhusiano wa hayo mazingira na haya halisi ni upi ?
Kingine according to hiyo theory tunakuja kuona haya yafuatayo :
View attachment 2525317
Kwa akili yako mass ni nothing ila ni Energy ?
Kitu kimewahi kufikia Speed ya Light katika uhalisia ? Infinity Source ushawahi kuodiriki ? ONA Sasa unavyo potea. Sasa kama hakuna nguvu ya ulinganyo mnaipata wapi ?
Kwa data zilizopo hio ndio 100%ooh kumbe, Wao wenyewe walioitoa hawana uhakika nayo...... Sasa mbona wewe unaamini hiyo theory 100%
Walio sasa ni tofaut na wale wa mwanzo...Sea Sponge Bado ana exist lakini kazi ya kutoa viumbe wapya siku hizi kaiacha au sio?
Anhaa, so ukweli ni kwamba haiwezi kuwa proved for obvious reasons......Kwa data zilizopo hio ndio 100%
Japo ni theory, haiwez kua proved for obvious reasons...
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah ngoja nisiendelee na maswali maana najua hutokua na majibu nayo
Nataka uonyeshe inaongezeka vipi wakati athari ya kitu inasababishwa mwendo tena katika medium hiyo hiyo. Hayo maelezo mengine ni chai tu za Wanasayansi ndiyo maana ninacho kuuliza unashindwa kujibu.Unalewa kua anaetembea 50kph yuko closer to speed of light kuliko alie 10kph, sindio?
Sielew unachobisha ni nn haswa, kwamba unavo accelerate mass haiongezeki?
Sent using Jamii Forums mobile app