Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Mawio na machweo....[emoji23][emoji23]Jua huzama wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mawio na machweo....[emoji23][emoji23]Jua huzama wapi?
Kwahio mwanetu unaamini kua jua linazama matopeni?Jua huzama wapi?
Siyo naamini hivyo na Wala Qur'an haikumaanisha hivyo...Ila najua kauli Kama 'tufanye haraka jua linazama' umezitumia Mara nyingi Sana,ndiyo maana nikauliza jua huzama wapi kwa mujibu wako?
Swala la kuwepo mimi na influence ya wazazi ni swala ambalo lipo open kibaiolojia lipo open kwa fact.Kwahiyo kuwepo kwako wewe hakuonyeshi ya kuwa wewe umezaliwa na baba na mama ? Wewe wa kupigwa makofi aisee. Umejizaa nini au umetokana pasi na chochote. Hapa hamna shughuli unanipotezea muda tu.
Utakuwa hujui Self Evident Truth ni nini. Uwe unafikiria usijiandikie andikie tu.
Kinachokufanya uone huna haja ni kipi?Ulizia swali sahihi kijana. Napoambiwa tu huyu ni baba mzazi wa Fulani sina haja kujua au kuuliza kwamba baba ni mkubwa kuliko mtoto au hata kuuliza swali Hilo sina haja, sababu jambo Hilo linajulikana na liko wazi mno.
The same goes to your GodSasa kama unajua hilo unabisha nini ? Nukta ni kuwa hakuna kinachojijenga. Uwepo wa kitu Fulani huonyesha uwepo wa vingine. Hii ndiyo Self Evident Truth.
Kumbe unajua!!!.. Qur'an ilikua ikimnukuu mtu alichoona na kusema,mtu kakuta ziwa la tope,huko kwao hakuna ziwa au ziwa la maji,alipofika hapo jua likawa linazama yaani kizazi kinaingia,mtu anskurupuka anasema Qur'an imesema jua linazama topeni,akieleweshwa bado anang'ang'ana tuMawio na machweo....[emoji23][emoji23]
Kauliza "scientifically"... hapo jibu ni yai... kumbuka kuna ushahidi kua yai lilikuepo tokea mamilioni ya miaka iliopita. Ila kuku ni wa juz kati tu hapaYao ili litoe kuku sharti litagwe Kisha lilaliwe siku 21,so yai haliwezi kuanza
MagharibiSiyo naamini hivyo na Wala Qur'an haikumaanisha hivyo...Ila najua kauli Kama 'tufanye haraka jua linazama' umezitumia Mara nyingi Sana,ndiyo maana nikauliza jua huzama wapi kwa mujibu wako?
Joto la jua linapimwa kupitia miale ya mwanga wakeSafi kabisa, niambie Unawezaje kupima jotoridi la Jua na ukapatia. Hii ndiyo nukta ya msingi. Ni sawa Leo hii unaambiwa jua Lina uzito Fulani. Pasi na kuambiwa uzito huo walipimaje.
Hivi una idea yoyote kuhusu Fizikia isiwe najadiliana na shabiki wa Sayansi na Fizikia.
Kujua umri wa baba ni mkunwa kuliko mtoto ni maswala ya numbers tuHujanielewa kabisa sipo huko ndiyo maana hoja zangu zimemili katika uhalisia. Hili unalo wewe kijana.
Kujua umri wa baba kuwa mkubwa kuliko mtoto kunataka Takeimu gani au kipimo gani ? Maana ulisema huko nyuma Kuna vipimo. Sasa tuambie ukitaka kujua umri wa baba kuwa mkubwa kuliko mtoto unatumia Carbon 14 ?
Sasa hilo jibu gumu mbona hujalitoa zaidi ya kuonyesha huna akili, na kuleta mambo yasiyo husika.
Huo siyo uthibitisho siyo kila chenye namba kubwa kinaweza kumzaa mtoto, wengine ni tasa. Jikite kwenye hoja ya msingi, naongelea baba na mtoto ambaye tayari ashazaliwa.
Kijana ngoja nikusaidie naona unaruka ruka, hakuna uthibitisho wowote unao hitajika kutaka kujua ya kuwa baba mzazi ni mkubwa kiumri kuliko mtoto. Sababu jambo hili ni Self Evident Truth.
Kwa mujibu wa mleta hoja husika na kwa namna alivyo i-addressMfano potofu kwa mujibu wa nani!?..Jambo la awali ni kutafuta je Kuna muhandishi wa universe au imetokea tu!?...tukikubaliana ndiyo tunasonga,so mfano wa nyumba siyo potofu na ulikiri nyumba haiwezi kuwepo tu Bali Kuna fundi/mafundi walijenga
Nishaelezea ushahidi kupitia personal experience unaoonesha watu wanajenga nyumba, wanauza vifaa vya ujenzi, makampuni ya real estate yanayoshughulisha na ujenzi.Onyesha mazoea yako wapi. Nikikuuliza swali rahisi sana Unapoona nyumba au ukiona nyumba unahitaji ushahidi kuonyesha ya kuwa nyumba imejengwa haijajinga ? Au ukiiona nyumba utauliza hii nyumba imekujaje au utauliza hii nyumba ameijenga nani ?
Akili huna kijana.
Nani kakudanganya?Sasa kama unajua hilo unabisha nini ? Nukta ni kuwa hakuna kinachojijenga. Uwepo wa kitu Fulani huonyesha uwepo wa vingine. Hii ndiyo Self Evident Truth.
Hilo yai lilitoka wapi sasa..., Maana nnavyofaham Kuku jike na dume wakijamiiana ndiyo yai linapatikana.... Naomba elimu kidogo MkuuKauliza "scientifically"... hapo jibu ni yai... kumbuka kuna ushahidi kua yai lilikuepo tokea mamilioni ya miaka iliopita. Ila kuku ni wa juz kati tu hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Layers hua wanajamiana?Hilo yai lilitoka wapi sasa..., Maana nnavyofaham Kuku jike na dume wakijamiiana ndiyo yai linapatikana.... Naomba elimu kidogo Mkuu
Kuku alievolve kutoka katika kiumbe gani?Layers hua wanajamiana?
Hapa ni kwamba kuku alievolve kutoka katika kiumbe mwingine, ambae tyr alikua anataga, ivo yai ndio lilianza...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuku walievolve kutoka kwa jungle foul.Kuku alievolve kutoka katika kiumbe gani?
Na je kati ya hicho kiumbe na yai kipi kilianza?