New Nytemare
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 3,333
- 2,484
acha utani ww crown level za mark x sio VW..Dereva wenu alikuwa mwoga sidhani kama voksiwagen anaweza kumuacha kabisa crown
vp kuhusu skyline..Fuga is amazing...ni sedan ya kiume
Alteza ya 4cylinder engine ya cc 1980 haiwezi mkamata Crown ambayo inaanzia 2500cc na kuendeleaacha utani ww crown level za mark x sio VW..
CROWN hata kiteza cha 4cylinder kinamtoroka vizuri tu kina rpm kubwa speed 180 ila ukikamua kina pitiliza kurudi kwenye 0..
acha ushamba wwGari yoyote yenye injini ya GX100 ogopa sana.likifungua hata uwe na range rover v8 na uko spidi 200 itakupita kama umesimama na huku yenyewe imeandikwa spidi 180
kitakuwa ki golfVW aina gani mkuu!
ingekuws ligi usingezikamata hata ingekuwa rav 4 1AZniambieni na hii gari yetu landcruiser prado SKZ ENGINE DIESEL, alafu ni TURBO, niliifungua speed 140 hadi gari inapiga mluzi, na tyre zikitanuka kwenda nje,, nilivipita visubaru na vialtezza, kama napita baiskeli tu. sijui hiyo athlete crown kama ingenikamata kwa kweli.
Gloria[emoji33] [emoji33]Nissan Fuga, Gloria, Teana, Cefiro na Cedric ni balaa jingine toka Japan.
waambie hawaijui injini ya 1jzhiyo crown ina spidi ya kawaida sana mkuu,mwenye brevis hapa aje aweke ushuhuda,kuna jamaa yangu ana hiyo crown nishafanya nae sana ligi na brevis hajawahi kunikamata....nashangaa brevis mmeiweka kando,bado hamjakutana na gari zenye kasi eeh?
inashea na vx hiz mpya...Crown Majesta ya mwaka 2013 ina engine hii 3UZ-FE V8 4300cc. Hii ni zaidi ya Athlete
nikiwa na ist hunikamati lami..nakupoteza kabisa..labda hilux d4dGari ya uhakika ni Land Cruiser mkonga. Sehem yoyote unafika
speed 8kphNimekuelewa mkuu spidi yako unaiset mwenyew
duet na vits mbona zote ni toyota na zote ni cc990Sasa mkuu ulikuwa unataka kufa au? Toka lini nisani na toyota vikafukuzana?
Hiyo Fuga habari yake sio nzuri kabisa, na usirudie tena kufukuzana na gari ya Nissan kama upo na Toyota labda uweumeizidi cc mf. ww uwe na gx100 ufukuzane na Nissan duet labda utashinda lakini sio una ki-vits chako upange ligi na duet lazima uambulie kusoma plate number tu.
njoo prado yako mi nikae na brevis tuweke km 20 nani anawahi kufika...mbona utatengua kauliSpeed kasi hutegemea ukubwa wa engine na piston
Gari hata iwe na speedometer inayosoma 260 ila ni 2500 cc v6 haiwezi ifikia 3600cc v6 yenye 200
5A injini haina nguvu bora hata G16A ya escudo inavutaUdogo wa engine
injini ni 4gr kama athlette na mark ten...kuna new model yake inaitwa crown royal saloon aiseeee ni mwisho wa matatizo
harrier hio hata mark 2 110 anakuchapa fimboSikuwai Kusafiri safari ya mbali basi bwana nikapata safari ya kwenda mkoa(bukoba),nikamchukua Sista na mshikaji wangu Mmoja hivi, saa kumi alfajiri nikaanza safari,njiani baada ya kibaha,kikajitokeza hicho kicrown bwana,tulihangaishana kinatembea hatari, uzuri asubuhi kunakua hakuna magari mengi,mwisho wa siku Jamaa alinipigia honi kukubali yaishe nikampungia mkono sikuwai kumuona tena..nilikua naendesha harrier(Lexus 300) 6 cylinder..
2jz injini kama altezza uzao wa lexus ni balaaMwisho wa matatizo ni Aristo V300.
Mpwa huijui Nissan Gloria?Gloria[emoji33] [emoji33]