Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

Dereva wenu alikuwa mwoga sidhani kama voksiwagen anaweza kumuacha kabisa crown
acha utani ww crown level za mark x sio VW..
CROWN hata kiteza cha 4cylinder kinamtoroka vizuri tu kina rpm kubwa speed 180 ila ukikamua kina pitiliza kurudi kwenye 0..
 
acha utani ww crown level za mark x sio VW..
CROWN hata kiteza cha 4cylinder kinamtoroka vizuri tu kina rpm kubwa speed 180 ila ukikamua kina pitiliza kurudi kwenye 0..
Alteza ya 4cylinder engine ya cc 1980 haiwezi mkamata Crown ambayo inaanzia 2500cc na kuendelea
 
Gari yoyote yenye injini ya GX100 ogopa sana.likifungua hata uwe na range rover v8 na uko spidi 200 itakupita kama umesimama na huku yenyewe imeandikwa spidi 180
acha ushamba ww
1G injini ya kizamani unaijua 1jz
tubishane kitaalam 1g ambayo we unaiita ya gx100 inachelewa kuchanganya hp ndogo..huwezi fananisha hata brevis
 
ingekuws ligi usingezikamata hata ingekuwa rav 4 1AZ
 
hiyo crown ina spidi ya kawaida sana mkuu,mwenye brevis hapa aje aweke ushuhuda,kuna jamaa yangu ana hiyo crown nishafanya nae sana ligi na brevis hajawahi kunikamata....nashangaa brevis mmeiweka kando,bado hamjakutana na gari zenye kasi eeh?
waambie hawaijui injini ya 1jz
 
duet na vits mbona zote ni toyota na zote ni cc990
 
Humu wengi mdebwedo kisa mnaendesha gari za kike automatic ukipewa manual hata kuwasha tu huwezi!
 
Speed kasi hutegemea ukubwa wa engine na piston

Gari hata iwe na speedometer inayosoma 260 ila ni 2500 cc v6 haiwezi ifikia 3600cc v6 yenye 200
njoo prado yako mi nikae na brevis tuweke km 20 nani anawahi kufika...mbona utatengua kauli
 
harrier hio hata mark 2 110 anakuchapa fimbo
..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…