Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

Mkuu macho yako yako vizuri?
Dah...unahitaji 4115rpm kufikia 180km/h ukiwa kwenye gia hiyo hiyo.... Kitu ambacho si sahihi kwenye injini ya uwezo Chini ya 3000cc.... Kuna hitilafu kwenye cable ya spidi ya injini au ya gia boksi..... Au ubunifu mbovu wa injini....[emoji13]
 
kina premio tatizo ni transmission.. hata ikipewa turbo bado haiwezi ikamata.
kina premio tatizo ni transmission.. hata ikipewa turbo bado haiwezi ikamata.
kina premio tatizo ni transmission.. hata ikipewa turbo bado haiwezi ikamata.


kina premio zina gear box nzuri sana ratio yake na ukubwa wa tairi mfano ya 1.5L tu inaeza stay 125kph kwa 3000rpm au kwa econmy zaidi lighter foot kwenye mafuta pale just 1900rpm spidi 80 nzuri sana engine haizunguki kivile kwa spidi kubwa
 
Sasa mkuu wewe na Eminentia mnataka kusema kuwa waloweka speed kwa mfano 300 kwa vw golf gti ni waongo? labda mseme tu kuwa ili kufuta sahani au kukamua full kunategemea na hali ya gari, umahiri na ujasiri wa dreva na ubora wa barabara but ni siamini kabsaaa kusema eti top speed za magari huwa zimewekwa tu na haiwezekani kuzifikia. Kwa sababu ikiwa hivyo ndo kusema ati waunda magari ni waongo na wamecalibrate poorly hizo dash board.


unafika kwa baadh ya magari cha kufanya kadiria kutokana na nguvu yake je itafika ?? mfano una audi A4 diesel wenzako german wamekamua had mwsho na kule miundo mbinu mizuri lakn wameishia 230 na dash ina 260 afu ww uko bongo unataka ufike!? ?? cha kufanya chek weight ya gari plus nguvu husika utaweza jua inafika au haifiki l


yan una ki vw polo vina cc 1200 cylinder tatu kama za passo nguvu sawa na passo 65hp ila dash yake inaonesha 240 sasa si maajabu hayo kikitestiwa kikifika 165kph chali
 
pia ni 6cylinder kumbuka,, na turbo juu,, kama ungekua na kibanda chako pembeni ya barabara ningekiangusha kwa upepo. ila mbwembwe zote zile kwa sababu nilipakia askari wakubwa wenye vyeo ndo mana sikuogopa torch, kila nikishikwa majamaa wanapunga mkono tu baaasi. safari inaendelea.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] fujo nyiiingi basi ulikanyaga kibati sipati picha hiyo ruti.....!
 
Sikuwai Kusafiri safari ya mbali basi bwana nikapata safari ya kwenda mkoa(bukoba),nikamchukua Sista na mshikaji wangu Mmoja hivi, saa kumi alfajiri nikaanza safari,njiani baada ya kibaha,kikajitokeza hicho kicrown bwana,tulihangaishana kinatembea hatari, uzuri asubuhi kunakua hakuna magari mengi,mwisho wa siku Jamaa alinipigia honi kukubali yaishe nikampungia mkono sikuwai kumuona tena..nilikua naendesha harrier(Lexus 300) 6 cylinder..
Mnyama [emoji123]
 
MANI hizo speed sijui 260 usidhan kila gari yenye dash hiyo inafika wala usije ukanunua gari yenye ma speed hivo ukaacha jini crown utakuwa unajidanganya .....magari ya germany ndo yalivyo jiulize Audi A4 diesel hp 190 inakuwaje na dash inasoma 260 wakat gari ya uwezo huo au hiyo audi enyewe mwsho 230 imejitahd sana tena kwanzia spid 210 mshale unapanda taratibu had inakwamia hapo lakn ma spid ndo hayo wameweka 260 na ww ukiwa hujielewi unaweza sema inaweza fata crown ha ha ha same thng kwa bmw ya hp 190 diesel pia wameweka had 280 wakat real spd inacheza na 220-235
Hizo speed lazima zifike vinginevyo tayari kunakuwa kuna shida kwenye gearbox au engine. So far tunanunua magari used ambayo tayari yameshapungua efficiency NOTE THAT ALSO
 
Kuna kagari kamoja ka ujerumani niliwahi kufukuzana nako kanaitwa Mini cooper mimi nikiwa na vx v8 Land cruiser,kwa kweli kalinitoa jasho,kana pulling ya ajabu yaani ukikaacha mbali within a short time kameshanikuta,hatimaye nikakubali yaishe kakanipita kwa speed ya ajabu...
Uliamua kuwa mstaarabu nikupongeze pia kwa hilo. Spidi kubwa roho mkononi jamani.
 
Nipe maelezo kidogo mkuu, nijuavyo mimi speed ya 100km/h ni 100km/h kote koye haijalishi.. Sasa hapo iweje 260 iwe cha mtoto kwa 200!?
260 haiwezi kuwa cha mtoto kwa 200 labda hiyo 260 iwe ni gari ya diesel kwa kawaida zinachelewa kuchanganya hilo tu lakini vinginevyo ni ndoto za abunuasi
 
Mwaka jana siku moja niko na rafiki zangu tunatokea Moshi kurudi Jijini tukawa tunaweka mafuta pale Total Korogwe zikaja gari 3 kwa muda ule ule kuweka mafuta..

Moja: ilikua ni Mercedes-Benz W203 Kompressor ya zamani kidogo hii ilikua inaendeshwa na mzee flani ivi ila anaoneka bado kijana alikua na wanawake wa 3 kwenye gari..

Mbili: ilikua ni BMW 3 series hizi 6th generation hii ilikua ni gari ya ubalozi (plate ya kijani) walikua jamaa wawili weusi wamekula suti matata.. na gari ni mpyaa

Tatu ilikua Toyota Crown Athlete inaendeshwa na muhindi nayo ilikua mpya (yenye hali nzuri)

Hawa wote tuliwaona maana pale kituo cha mafuta ni kawaida mtu ashuke kwenye gari kwa sababu mbalimbali ikiwa ni kwenda kujisaidia au kununua vitu vidovidogo vya kutumia njiani..

Sasa tulivyoona vile tukajua tu hapa lazima kutakuwa na ligi moja matata tukasema ngoja tufatane nao tushuhudie..

kitu ambacho ambacho kilitokea baada ya muda kama nusu saa yule jamaa wa BMW alipotea bila kuonekana tena (disappeared without a trace) nadhani pia jamaa walikua hawajali tochi wala traffic police.. wakabaki Benzi na Crown.. jamaa wa Crown alikua anatii sana sheria za barabarini kwenye 50 anakubali jamaa wa Benz anampita ila tulivokuja kuingia porini Benz alikatwa tena kwenye kilima..

Kiukweli siku ile tulifuraia sana ile ligi ya wale jamaa.. Unaweza ukawa dereva wa hapa mjini ila ukiwa High-way unajifunza mambo mengi.. wale wa desemba nadhani wanaelewa nachosema..
hivi mnapo sema wale wa desemba mnamaanisha nini...? wale wanosafiri sikukuu tu kama za mwisho wa mwaka xmas na mwaka mpya au?
 
Hizo speed lazima zifike vinginevyo tayari kunakuwa kuna shida kwenye gearbox au engine. So far tunanunua magari used ambayo tayari yameshapungua efficiency NOTE THAT ALSO
Mkuu ulichosema ni ukweli kabsaa kuna watu wana mahaba niue niteketeze na gar zenye top speed 180 yaani wanafikia hatua hata ya kusema eti hicho kicrown kinaweza kuishinda gari kama vw gti top speed 300 au european cars zenye top speed 200 plus tena zenye gear box ya dsg!!! au kwa mfano mitsubishi lancer evolution 10 huyo crown ashindane na akina brevis, camry, hao ndo size yake!! na hizo top speed 300 au 200 plus zinafikiwa walotengeneza hawawezi sema uwongo na wala hizo sio toys na hizo teknolojia sio shivo aka chinese!!!
 
Kak
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we nawe unachekesha!! Carina Ti ni cc 1480 (isomeke 1500) ulitaka ulale sambamba na Crown Athlete ya cc 2500 hadi 3500 kulingana na model na mwaka iliongenezwa! Utapasua engine bro!
Kaka najua Ti na crown ni vitu viwili tofauti ila niliamua kujaribu kibishana na crown niangalie ataniacha umbali gani
 
Back
Top Bottom