Katika historia sijawahi kusikia jeshi lenye askari wasio na nidhamu, likapata mafanikio makubwa vitani.Shuleni walimu walituhimiza kuwa na nidhamu kama kuwahi shule, kuhudhuria vipindi, kuheshimu sheria na taratibu and all those have made the students become good and organized people...team, as an army contigent, must have displined soldiers. kama General, ningejisikia vibaya kama nikisema geuka kushoto halafu kila mtu anafanya anachojisikia kufanya.
Kama issue ni displine basi Maximo yuko sahihi..tusidaganyane hapa Chuji na Boban sio mastaa kiasi hicho labda kibongo bongo. Hawataweza kufika popote kwenye professional football kama hawana displine. Lets dig down the facts kabla ya kusoma fatwa dhidi ya Maximo.
Tukumbuke pia in the army, wars are won in the generals tents, because they normally lay out the plans and strategies to execute the war. Naamini Maximo anataka kuona tunabadili katika mvumo mzima wa mpira wetu kwa kuachana na uyanga na simba na kuunda timu yenye nia na kucheza mpira kwa nidhamu.
Vinginevo hata tukipata kocha gani, kwa wachezaji ambao hawana nidhamu tutabaki kuwafukuza bila kutatua tatizo