Athumani Idd'Chuji' na Haruna Moshi'Boban' kujitoa stars

Unaweza kurudi kwenye thread yako na kusoma ulichokiandika? au unataka kunishawishi uliyoyandika ndiyo yanayoeleza jinsi ulivyo? Kama hivyo ndivyo basi na iwe hivyo!

Temper, temper, temper..........kaazi kwelikweli!
 

Nadhani kila mwenye macho ataona uliyoyaandika na kujaji kwa uwezo wake. Si wakati wa kulea nidhamu mbovu na kuhalalisha utovu kwa kisingizio kisichokuwa na mbele wala nyuma. Mchezaji hatakiwi kuvuta bangi'period'
 
TFF happy with Maximo approach

2009-03-08 10:22:39
By Fred Ogot


The Tanzania Football Federation (TFF) President, Leodegar Tenga, said last year that Marcio Maximo is the best coach he has ever encountered.

A factor which makes the TFF boss respect the tactician is about the Brazilian`s secrecy and professional way of handling issues.

Tenga said that unlike previous Taifa Stars` coaches, Maximo has never disclosed any problems of the team to the press or public.

``It doesn`t not mean that the team do not have problems. They have a lot of problems but you will never hear him complaining.

Sometimes the team lack sports gear, but he never complains. Sometimes payment of his salary is delayed but he never complains,`` Tenga said.

Last year during the 2010 World Cup-cum-Africa Cup of Nations qualifying match, he dropped number one goalie Juma Kaseja, without giving proper reasons.

A section of the soccer loving public pressed for the custodian`s reinstatement but the coach stuck to his guns, saying that was out off form.

It was alleged that Maximo dropped him because he celebrated when Senegal defeated Tanzania 4-0 in the first leg match in which Ivo Mapunda was the goalie.

On Friday, he also dropped Stars key players in his squad - Athumani Idd and Haruna Moshi - who misbehaved in Ivory Coast when the team competed in the new biennial African Football Confederation (CAF) tournament, restricted to footballers playing in their homeland known as CHAN.

The two players refused to board the same bus with others when the team arrived at the Nyerere International Airport.

When Maximo was asked by the media why he did not field the duo, he claimed that the players lacked commitment, concentration and did not follow his training programme.

The truth was that the duo were alleged to be marijuana smokers, which could have resulted in the team`s disqualification, had they undergone a doping test.

The way Maximo is handling these issues indicates that he is a good coach who does not want to underrate and embarrass his players, but solves problems amicably and professionally, instead.
 
Whatever, mkuu, you are entitled to your own opinion just as I am entitled to mine.

Hivi hudhani kuwa wewe kupinga niliyoandika unaquestion my right to my own opinion?

As I said before, man, kaazi kwelikweli!!
 
Whatever, mkuu, you are entitled to your own opinion just as I am entitled to mine.

Hivi hudhani kuwa wewe kupinga niliyoandika unaquestion my right to my own opinion?

As I said before, man, kaazi kwelikweli!!

Uhuru wa kuhoji unao, lakini sitakaa kimya nikuachie kutetea ujinga, bangi kwa wachezaji marufuku. Na kama utaendelea kuitetea basi rejea thread yangu hapo awali kwamba nikuelewe kuwa na wewe ndivyo ulivyo.
Uvivu, utovu wa nidhamu, kutofuata maelekezo vinatosha kabisa kuwapiga chini waachezaji. Tumekuwa tukishindwa kupiga hatua na kufikia viwango vinavyokubalika ni kwa sababu kuna makundi ndani ya wadau wa soka ambao wanawashauri vibaya hawa vijana. Leo hii hawa vijana wakisikia kuwa kuna watu wanatetea uvutaji bangi, kutomtii mwalimu unadhani unawatakia mema?
Uhuru wa kutoa mawazo yako pia uendane na haki na wajibu wako katika jamii unayoishi.
 
Wadau vipi matokeo ya Yanga na hao jamaa wa vouncuvor?
 
hivi jamani hili swala la watu kuvuta bangi mbona halijawa proved mahala popote???na kama kweli wanavuta ina maana walianza kuvuta baada ya kukwalifai kwenye CHAN???MIMI SITAKUBALIANA NA MAXIMO HADI PALE ATALKAPO TAMKA HADHARANI SABABU ZA KUWATOSA!!NI UTOVU UPI WA NIDHAMU???HE MUST BE CLEAR.mie naona anawafa wachezaji kuwa waoga wa kuhoji kitu chochote hata kama maximo atakuwa wrong.kwa sababu atakutimu kwenye timu na hakuna atakayehoji,kwasababu ameshatukalia kichwani na hata hao waliomwajiri wanamuogopa.ataunda kikosi kipya hadi lini??????alipeleka timu brazil kwa mwezi tukarudi tukalimwa 4 na senegal!!hatukuweka kambi ya muda mrefu kwenye mechi zilizofuata,tukafanya vizuri kidogo.mechi ya mwisho dhidi ya msumbiji,tuliweka kambia kama 3weeks,tukachemsha,kufuzu kwenda angola na south africa,mechi za mwanzoni tulichemsha baada ya wachezaji kukaakambini na maximo kwa almost mwezi.zilizofuta kambi ilikuwa max. 1week,na timu ikafanya vizuri.Hapo tunagundua kuwa makocha wazuri wako kwenye clubs,!maximo nachohitaji ni just kwafanya wacheze kitimu na kumaitain nidhamu(kitu ambacho ameshindwa,mtu akikosa badala a kumrekebisha,yeye anakimbilia kumfukuza au kumchimba mkwara)IN SHORT HE IS A FAILURE,NA TUNAKOELEKEA NI KUWA ATATUVURUGIA SOKA LETU NA KUVUNA MSHIKO WAKE NA KUTIMUA.
anadai anataka wachezaji wa tz wakacheze ulaya,wangapi wameende tangia atue tanzania??chukulia mfano wa Rwanda na burudi,makocha wao wamefanikiwa kuwapeleka wachezaji kibao ulaya within a short time,ina maana jamaa wanamuundo mzuri wa soka kuliko sisi??lahasha.MAXIMO HANA UPENDO NA NCHI YETU KAMA ANAVYONADI(kwanza ana sababu gani za kuwa na uchungu)INANIUMA SANA NINAVYOONA WATANZANIA TUNAFUNGUKA MACHO BAADA ya KUIBIWA..............TAIFA STARS SIO TIMU YA MAXIMO,NI YETU WATANZAIAN NA ANALIPWA NA HELA YETU YA KODI,SO INABIDI AWE ANAELEZA KINAGAUBAGA KISA NA MKASA WA KINACHOENDELEA KATI YAKE NA WACHEZEJI NA MALENGO YAKE,SIO KILA SIKU KUFUKUZA WACHEZAJI NA KUUNDA TImU MPYA.THEN SIE TUNAKAA KIMYA NA KUMSUPORT,HATUTAKI KIBURI CHAKO HAPA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…