Ati ni kweli kuwa kuna kada hata wafanye Kazi miaka mia hawezi kuwa na nyumba kama ya Mwijaku?

Upo sahihi sana,Kuna sehu Huwa tunakwama kulazimisha kunguru kuwa njiwa
 
Kwa hiyo nikimkuta tabia zake mbovumbovu nipambane nazo?

Ni jukumu lake kujibadilisha.
Kama hatajibadilisha basi abadilishwe na matokeo ya kile alichokifanya hayo ndio mabadiliko ya kweli.

Lakini wewe unapambana nazo kivipi wakati wewe mwenyewe unayako ya kukabiliana nayo?

Mimi sio muumini wa kumbadilisha mtu kwani najua ni kazi ngumu inayohitaji uvumilivu na muda
 
Cc Lucas mwashambwa
 
Mpwayungu Village unaitwa huku utoe maelezo Kama muwakilishi kada ya ualimu
Magu au JOM alikuwa mealimu. Sasa mlinganishe na mwajaku na co. yake.
Kazi yoyote ile unaweza jenga ghorofa.
Hao hao machawa wapo waliochoka mbaya.
Polisi , Jeshi, walimu, bankers wapo waliojenga ghorofa na wapo waliochoka.
Walimu wanafursa tofauti. Mwalimu aliepo NECTA na wa sekondari wana fursa tofauti. Jeshi aliepo makao makuu na jeshi wa kambini wana fursa tofauti.
 
Yeap baadhi ya kada hawatoboi..Ila wapo waajiri wa serikali wanaweza kabisa.

Kumbuka Mwijaku ana miaka 39-40 hapo kati ,chukulia hawa madogo wa TANPA,TRA, BOT ,TPA walioanza ajira wakiwa na miaka 25 mpaka wakifika miaka 35 yaani miaka kumi mbele wana uwezo wa kujenga ile nyumba, kwa gharama halisi ..
.
 

Ni kweli kabisa
 
Mkuu kada iyo labda uitaje. Maana ile nyumba ya Mwijaku ikizidi sana labda Mil 200 na kuna mtu anapokea kiinua mgongo mil 300 ashindwe kusimamisha mjengo kama ule?

Sio lazima kuongea waweza kaa kmy tu
Sa nkuulize ww ndg yangu iv unaweza lipwa kiinua mgongo millio300 na zote ukaenda kujengea?
Maisha sio nyumba tuu jarib kuelewa ilo litakisaidia
 
Sio lazima kuongea waweza kaa kmy tu
Sa nkuulize ww ndg yangu iv unaweza lipwa kiinua mgongo millio300 na zote ukaenda kujengea?
Maisha sio nyumba tuu jarib kuelewa ilo litakisaidia
Sio kila mtu ana shida ulizonazo wewe. Kuna watu wameshafanya kila kitu na akajipigia hesabu kiinua mgongo anaenda kunyanyua nyumba yake ya kustaafia. Kama anapokea 300 M basi anatupa ardhini 200M kulingana na mahitaji yake ikiwezekana anatupa yote huko ili mradi moyo wake upate kile anachohitaji.
 
majibu ya mswali yako unayo, sasa unataka tukuthibutishie au tukasahihishe ili tulips maksi ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…