Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MUNGU yu mwema==
Chonde chonde waheshimiwa wajumbe wa Mkutano Mkuu CHADEMA Taifa kwa unyenyekevu mkubwa tunawaomba sana kamwe msiruhusu Freeman Mbowe ashinde kwani madhara yake ni makubwa sana kwa chama na Taifa sijui kama mnalifahamu hili vema Viongozi wangu,
Kwanza, Kumchagua Mbowe ni sawa na kusema Lemma asiwepo tena CHADEMA hasa kwenye Kamati Kuu Kwakuwa mpaka sasa Lemma hana hiyo nafasi na hajagombea na kakataa kata kata kuwa chini ya Mbowe japo ni kaka yake wa damu, Hivyo tukimtaka Lemma tena CHADEMA Lissu na Heche waongoze chama.
Pili, Kuruhusu Mbowe ashinde ni sawa na kumfukuza kabisa John Heche CHADEMA na kwenye Kamati Kuu kama ambovyo Mbowe amekuwa akitamani Heche asiwepo, kwa muda mrefu Kwakuwa jamaa hahongeki.
Tatu, Kuruhusu Mbowe ashinde ni Kuruhusu Tundu Lissu anayetembea na risasi kwa sababu ya CHADEMA awembali na CHADEMA kwani hatakuwa na cheo chochote atabaki kuwa mkunja ngumi kwa maelezo ya tajiri Wenje, haya ni maumivu makali kwa CHADEMA.
Waheshimiwa Wajumbe tunaamini hamuwezi kupiga kura kuwakataa marafiki zetu akina Lemma, Heche na TUNDU LISSU tena msijaribu laana hii.
WACHAGUENI HECHE NA LISSU MUIPONYE CHADEMA YETU NA FURAHA ITAWALE, MSITULETEE VILIO TAREHE 21 TUNAWAOMBA.
Msisahau Mbowe akishindwa ni kama kashinda tu Kwakuwa yeye atabaki kuwa mjumbe wa Kamati Kuu na kiongozi mkuu wa Chama mpaka kifo chake hata kama mtawachagua Lissu na Heche.
FIKIRINI KWA UMAKINI SANA HILI
DaaahHao machawa ndo mhimili mzima wa Chadema, Mbowe amebaki mwenyewe na kina Yericko na Mwijaku
Rushwa ni mbaya sana==
Chonde chonde waheshimiwa wajumbe wa Mkutano Mkuu CHADEMA Taifa kwa unyenyekevu mkubwa tunawaomba sana kamwe msiruhusu Freeman Mbowe ashinde kwani madhara yake ni makubwa sana kwa chama na Taifa sijui kama mnalifahamu hili vema Viongozi wangu,
Kwanza, Kumchagua Mbowe ni sawa na kusema Lemma asiwepo tena CHADEMA hasa kwenye Kamati Kuu Kwakuwa mpaka sasa Lemma hana hiyo nafasi na hajagombea na kakataa kata kata kuwa chini ya Mbowe japo ni kaka yake wa damu, Hivyo tukimtaka Lemma tena CHADEMA Lissu na Heche waongoze chama.
Pili, Kuruhusu Mbowe ashinde ni sawa na kumfukuza kabisa John Heche CHADEMA na kwenye Kamati Kuu kama ambovyo Mbowe amekuwa akitamani Heche asiwepo, kwa muda mrefu Kwakuwa jamaa hahongeki.
Tatu, Kuruhusu Mbowe ashinde ni Kuruhusu Tundu Lissu anayetembea na risasi kwa sababu ya CHADEMA awembali na CHADEMA kwani hatakuwa na cheo chochote atabaki kuwa mkunja ngumi kwa maelezo ya tajiri Wenje, haya ni maumivu makali kwa CHADEMA.
Waheshimiwa Wajumbe tunaamini hamuwezi kupiga kura kuwakataa marafiki zetu akina Lemma, Heche na TUNDU LISSU tena msijaribu laana hii.
WACHAGUENI HECHE NA LISSU MUIPONYE CHADEMA YETU NA FURAHA ITAWALE, MSITULETEE VILIO TAREHE 21 TUNAWAOMBA.
Msisahau Mbowe akishindwa ni kama kashinda tu Kwakuwa yeye atabaki kuwa mjumbe wa Kamati Kuu na kiongozi mkuu wa Chama mpaka kifo chake hata kama mtawachagua Lissu na Heche.
FIKIRINI KWA UMAKINI SANA HILI
Mungu saidia ushindi wa LissuMbowe alishasema ngoja tumalize uchaguzi...unafikiri kwa nini Msigwa anamshambulia Mbowe kama ngiri aliyejeruhiwa🐗
Wale wanaomuombea kura Mwenyekiti kwa simu wamefikia mafanikio kwa % ngapi
Duuuh==
Chonde chonde waheshimiwa wajumbe wa Mkutano Mkuu CHADEMA Taifa kwa unyenyekevu mkubwa tunawaomba sana kamwe msiruhusu Freeman Mbowe ashinde kwani madhara yake ni makubwa sana kwa chama na Taifa sijui kama mnalifahamu hili vema Viongozi wangu,
Kwanza, Kumchagua Mbowe ni sawa na kusema Lemma asiwepo tena CHADEMA hasa kwenye Kamati Kuu Kwakuwa mpaka sasa Lemma hana hiyo nafasi na hajagombea na kakataa kata kata kuwa chini ya Mbowe japo ni kaka yake wa damu, Hivyo tukimtaka Lemma tena CHADEMA Lissu na Heche waongoze chama.
Pili, Kuruhusu Mbowe ashinde ni sawa na kumfukuza kabisa John Heche CHADEMA na kwenye Kamati Kuu kama ambovyo Mbowe amekuwa akitamani Heche asiwepo, kwa muda mrefu Kwakuwa jamaa hahongeki.
Tatu, Kuruhusu Mbowe ashinde ni Kuruhusu Tundu Lissu anayetembea na risasi kwa sababu ya CHADEMA awembali na CHADEMA kwani hatakuwa na cheo chochote atabaki kuwa mkunja ngumi kwa maelezo ya tajiri Wenje, haya ni maumivu makali kwa CHADEMA.
Waheshimiwa Wajumbe tunaamini hamuwezi kupiga kura kuwakataa marafiki zetu akina Lemma, Heche na TUNDU LISSU tena msijaribu laana hii.
WACHAGUENI HECHE NA LISSU MUIPONYE CHADEMA YETU NA FURAHA ITAWALE, MSITULETEE VILIO TAREHE 21 TUNAWAOMBA.
Msisahau Mbowe akishindwa ni kama kashinda tu Kwakuwa yeye atabaki kuwa mjumbe wa Kamati Kuu na kiongozi mkuu wa Chama mpaka kifo chake hata kama mtawachagua Lissu na Heche.
FIKIRINI KWA UMAKINI SANA HILI
Duh,asee!==
Chonde chonde waheshimiwa wajumbe wa Mkutano Mkuu CHADEMA Taifa kwa unyenyekevu mkubwa tunawaomba sana kamwe msiruhusu Freeman Mbowe ashinde kwani madhara yake ni makubwa sana kwa chama na Taifa sijui kama mnalifahamu hili vema Viongozi wangu,
Kwanza, Kumchagua Mbowe ni sawa na kusema Lemma asiwepo tena CHADEMA hasa kwenye Kamati Kuu Kwakuwa mpaka sasa Lemma hana hiyo nafasi na hajagombea na kakataa kata kata kuwa chini ya Mbowe japo ni kaka yake wa damu, Hivyo tukimtaka Lemma tena CHADEMA Lissu na Heche waongoze chama.
Pili, Kuruhusu Mbowe ashinde ni sawa na kumfukuza kabisa John Heche CHADEMA na kwenye Kamati Kuu kama ambovyo Mbowe amekuwa akitamani Heche asiwepo, kwa muda mrefu Kwakuwa jamaa hahongeki.
Tatu, Kuruhusu Mbowe ashinde ni Kuruhusu Tundu Lissu anayetembea na risasi kwa sababu ya CHADEMA awembali na CHADEMA kwani hatakuwa na cheo chochote atabaki kuwa mkunja ngumi kwa maelezo ya tajiri Wenje, haya ni maumivu makali kwa CHADEMA.
Waheshimiwa Wajumbe tunaamini hamuwezi kupiga kura kuwakataa marafiki zetu akina Lemma, Heche na TUNDU LISSU tena msijaribu laana hii.
WACHAGUENI HECHE NA LISSU MUIPONYE CHADEMA YETU NA FURAHA ITAWALE, MSITULETEE VILIO TAREHE 21 TUNAWAOMBA.
Msisahau Mbowe akishindwa ni kama kashinda tu Kwakuwa yeye atabaki kuwa mjumbe wa Kamati Kuu na kiongozi mkuu wa Chama mpaka kifo chake hata kama mtawachagua Lissu na Heche.
FIKIRINI KWA UMAKINI SANA HILI
AminaMUNGU yu mwema
Kwani wamepanga kuwafukuza??==
Chonde chonde waheshimiwa wajumbe wa Mkutano Mkuu CHADEMA Taifa kwa unyenyekevu mkubwa tunawaomba sana kamwe msiruhusu Freeman Mbowe ashinde kwani madhara yake ni makubwa sana kwa chama na Taifa sijui kama mnalifahamu hili vema Viongozi wangu,
Kwanza, Kumchagua Mbowe ni sawa na kusema Lemma asiwepo tena CHADEMA hasa kwenye Kamati Kuu Kwakuwa mpaka sasa Lemma hana hiyo nafasi na hajagombea na kakataa kata kata kuwa chini ya Mbowe japo ni kaka yake wa damu, Hivyo tukimtaka Lemma tena CHADEMA Lissu na Heche waongoze chama.
Pili, Kuruhusu Mbowe ashinde ni sawa na kumfukuza kabisa John Heche CHADEMA na kwenye Kamati Kuu kama ambovyo Mbowe amekuwa akitamani Heche asiwepo, kwa muda mrefu Kwakuwa jamaa hahongeki.
Tatu, Kuruhusu Mbowe ashinde ni Kuruhusu Tundu Lissu anayetembea na risasi kwa sababu ya CHADEMA awembali na CHADEMA kwani hatakuwa na cheo chochote atabaki kuwa mkunja ngumi kwa maelezo ya tajiri Wenje, haya ni maumivu makali kwa CHADEMA.
Waheshimiwa Wajumbe tunaamini hamuwezi kupiga kura kuwakataa marafiki zetu akina Lemma, Heche na TUNDU LISSU tena msijaribu laana hii.
WACHAGUENI HECHE NA LISSU MUIPONYE CHADEMA YETU NA FURAHA ITAWALE, MSITULETEE VILIO TAREHE 21 TUNAWAOMBA.
Msisahau Mbowe akishindwa ni kama kashinda tu Kwakuwa yeye atabaki kuwa mjumbe wa Kamati Kuu na kiongozi mkuu wa Chama mpaka kifo chake hata kama mtawachagua Lissu na Heche.
FIKIRINI KWA UMAKINI SANA HILI
Asanteni==
Chonde chonde waheshimiwa wajumbe wa Mkutano Mkuu CHADEMA Taifa kwa unyenyekevu mkubwa tunawaomba sana kamwe msiruhusu Freeman Mbowe ashinde kwani madhara yake ni makubwa sana kwa chama na Taifa sijui kama mnalifahamu hili vema Viongozi wangu,
Kwanza, Kumchagua Mbowe ni sawa na kusema Lemma asiwepo tena CHADEMA hasa kwenye Kamati Kuu Kwakuwa mpaka sasa Lemma hana hiyo nafasi na hajagombea na kakataa kata kata kuwa chini ya Mbowe japo ni kaka yake wa damu, Hivyo tukimtaka Lemma tena CHADEMA Lissu na Heche waongoze chama.
Pili, Kuruhusu Mbowe ashinde ni sawa na kumfukuza kabisa John Heche CHADEMA na kwenye Kamati Kuu kama ambovyo Mbowe amekuwa akitamani Heche asiwepo, kwa muda mrefu Kwakuwa jamaa hahongeki.
Tatu, Kuruhusu Mbowe ashinde ni Kuruhusu Tundu Lissu anayetembea na risasi kwa sababu ya CHADEMA awembali na CHADEMA kwani hatakuwa na cheo chochote atabaki kuwa mkunja ngumi kwa maelezo ya tajiri Wenje, haya ni maumivu makali kwa CHADEMA.
Waheshimiwa Wajumbe tunaamini hamuwezi kupiga kura kuwakataa marafiki zetu akina Lemma, Heche na TUNDU LISSU tena msijaribu laana hii.
WACHAGUENI HECHE NA LISSU MUIPONYE CHADEMA YETU NA FURAHA ITAWALE, MSITULETEE VILIO TAREHE 21 TUNAWAOMBA.
Msisahau Mbowe akishindwa ni kama kashinda tu Kwakuwa yeye atabaki kuwa mjumbe wa Kamati Kuu na kiongozi mkuu wa Chama mpaka kifo chake hata kama mtawachagua Lissu na Heche.
FIKIRINI KWA UMAKINI SANA HILI
Nimeota Machozi==
Chonde chonde waheshimiwa wajumbe wa Mkutano Mkuu CHADEMA Taifa kwa unyenyekevu mkubwa tunawaomba sana kamwe msiruhusu Freeman Mbowe ashinde kwani madhara yake ni makubwa sana kwa chama na Taifa sijui kama mnalifahamu hili vema Viongozi wangu,
Kwanza, Kumchagua Mbowe ni sawa na kusema Lemma asiwepo tena CHADEMA hasa kwenye Kamati Kuu Kwakuwa mpaka sasa Lemma hana hiyo nafasi na hajagombea na kakataa kata kata kuwa chini ya Mbowe japo ni kaka yake wa damu, Hivyo tukimtaka Lemma tena CHADEMA Lissu na Heche waongoze chama.
Pili, Kuruhusu Mbowe ashinde ni sawa na kumfukuza kabisa John Heche CHADEMA na kwenye Kamati Kuu kama ambovyo Mbowe amekuwa akitamani Heche asiwepo, kwa muda mrefu Kwakuwa jamaa hahongeki.
Tatu, Kuruhusu Mbowe ashinde ni Kuruhusu Tundu Lissu anayetembea na risasi kwa sababu ya CHADEMA awembali na CHADEMA kwani hatakuwa na cheo chochote atabaki kuwa mkunja ngumi kwa maelezo ya tajiri Wenje, haya ni maumivu makali kwa CHADEMA.
Waheshimiwa Wajumbe tunaamini hamuwezi kupiga kura kuwakataa marafiki zetu akina Lemma, Heche na TUNDU LISSU tena msijaribu laana hii.
WACHAGUENI HECHE NA LISSU MUIPONYE CHADEMA YETU NA FURAHA ITAWALE, MSITULETEE VILIO TAREHE 21 TUNAWAOMBA.
Msisahau Mbowe akishindwa ni kama kashinda tu Kwakuwa yeye atabaki kuwa mjumbe wa Kamati Kuu na kiongozi mkuu wa Chama mpaka kifo chake hata kama mtawachagua Lissu na Heche.
FIKIRINI KWA UMAKINI SANA HILI
Mungu msaidie LissuMbombo ngafu...😄😃😆