Aua Mke na Mkwe wake

Aua Mke na Mkwe wake

Chanzo utasikia, wivu wa mapenzi 😢
 
FESTO Maganga Mkazi wa Seguchini, Kata ya Nala, Wilaya ya Dodoma Mjini, anadaiwa kumuua mkewe na mama mkwe wake, kisha na yeye kuuawa na wananchi. Tukio hilo limetokea jana Jumapili Januari 28, 2024 majira ya saa 10 :30 jioni katika Mtaa wa Seguchini.

Akizungumza na chombo kimoja cha habari, mmoja wa ndugu za marehemu hao, Samwel Lengole amesema wiki iliyopita mama mkwe, ambaye ni mama wa mke wa mtuhumiwa, Anna Ngalai alikwenda kwa mwanaye Maria Joseph kusalimia.

Hata hivyo, amesema (jana saa 10.30 kuelekea saa 12 jioni) pasipo kufahamu ni nini kilitokea, ilikutwa miili ya mama na mtoto wake jikoni ikiwa imechomwa na kitu chenye ncha kali shingoni.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Martin Otieno amethibitisha tukio hilo akisema taarifa atazitoa baadaye.

Source - Nipashe
Wivu, ushirikina na afya ya akili ni tatizo kubwa kwenye jamii yetu.
 
Mbona hamuweki dini yake?Si ndio ilikuwa kawaida akiuliwa mtu au kubakwa watu wanaweka dini yake mtuhumiwa.Hili zoezi mbona mmesitisha?Au halina maana tena?
 
FESTO Maganga Mkazi wa Seguchini, Kata ya Nala, Wilaya ya Dodoma Mjini, anadaiwa kumuua mkewe na mama mkwe wake, kisha na yeye kuuawa na wananchi. Tukio hilo limetokea jana Jumapili Januari 28, 2024 majira ya saa 10 :30 jioni katika Mtaa wa Seguchini.

Akizungumza na chombo kimoja cha habari, mmoja wa ndugu za marehemu hao, Samwel Lengole amesema wiki iliyopita mama mkwe, ambaye ni mama wa mke wa mtuhumiwa, Anna Ngalai alikwenda kwa mwanaye Maria Joseph kusalimia.

Hata hivyo, amesema (jana saa 10.30 kuelekea saa 12 jioni) pasipo kufahamu ni nini kilitokea, ilikutwa miili ya mama na mtoto wake jikoni ikiwa imechomwa na kitu chenye ncha kali shingoni.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Martin Otieno amethibitisha tukio hilo akisema taarifa atazitoa baadaye.

Source - Nipashe
Juzi Arusha jana Dodoma
 
Kwa anaefatilia ngapi ngapi toka mwaka huu uanze? Naona kama wanawake wapo 0
 
Wazazi haswa Kinamama waache kuingilia ndoa za watoto wao.
 
FESTO Maganga Mkazi wa Seguchini, Kata ya Nala, Wilaya ya Dodoma Mjini, anadaiwa kumuua mkewe na mama mkwe wake, kisha na yeye kuuawa na wananchi. Tukio hilo limetokea jana Jumapili Januari 28, 2024 majira ya saa 10 :30 jioni katika Mtaa wa Seguchini.

Akizungumza na chombo kimoja cha habari, mmoja wa ndugu za marehemu hao, Samwel Lengole amesema wiki iliyopita mama mkwe, ambaye ni mama wa mke wa mtuhumiwa, Anna Ngalai alikwenda kwa mwanaye Maria Joseph kusalimia.

Hata hivyo, amesema (jana saa 10.30 kuelekea saa 12 jioni) pasipo kufahamu ni nini kilitokea, ilikutwa miili ya mama na mtoto wake jikoni ikiwa imechomwa na kitu chenye ncha kali shingoni.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Martin Otieno amethibitisha tukio hilo akisema taarifa atazitoa baadaye.

Source - Nipashe
Vipi na hawa walikuwa kwenye Maandamano?
 
Hicho alichokifanya jamaa!wengi wanatamani kukifanya humu,SEMA utu unawazuia kutofanya!!

Utamfanya Nini mwanamke uliemtoa zero Leo mambo yamekaa sawa anajiona hero na kukudharau huna maana tena!!?

Maombi,talaka,na ukitaka kuanza mwanzo hizo nguvu ulizotumia hadi ulipofika bado utakua nazo!!!?
 
Back
Top Bottom