Aubin Kramo aliyerogwa na mbaya wa Diara anarejea kutokea Kwao, je, mrogaji ameshajiandaa kwa Kisasi?

Aubin Kramo aliyerogwa na mbaya wa Diara anarejea kutokea Kwao, je, mrogaji ameshajiandaa kwa Kisasi?

MANYANZA.

"Huu uzi ni upuuzi mtupu. Tumia akili yako kutafakari kabla ya kupost maneno ta kuokoteza kwenye vijiwe vya Kahawa. Pale Karume karibu na TFF. We jamaa nilishakwambia tafuta msaada wa Kisaikolojia maana afya yako ya akili haiko sawa".

Manyanza
 
✍️Uatengeneza mbegu ya CHUKI.

✍️Unawaaminisha WATU na wachezaji imanI za kishirikina.

✍️ Unajaribu Hali ya Umoja na USHIRIKIANO.

✍️ Unaleta Taaruki kwa kuandika UMBEA usio na Mwanzo Wala Mwisho.
Wala bila uthibitisho wowote.

✍️. Unaifanya Jamii Forum IONEKANE imekosa Hoja kwa kujadili MASUALA ya USHIRIKINA Kila Leo.

NAKUSIKITIKIA SANA NA NAWASIKITIA MODS WANAORUHUSU TAARIFA ZA NAMNA HII.

JAMII FORUM INAZIDI KUPITIA NYAKATI NGUMU SANA
 
✍️Uatengeneza mbegu ya CHUKI.

✍️Unawaaminisha WATU na wachezaji imanI za kishirikina.

✍️ Unajaribu Hali ya Umoja na USHIRIKIANO.

✍️ Unaleta Taaruki kwa kuandika UMBEA usio na Mwanzo Wala Mwisho.
Wala bila uthibitisho wowote.

✍️. Unaifanya Jamii Forum IONEKANE imekosa Hoja kwa kujadili MASUALA ya USHIRIKINA Kila Leo.

NAKUSIKITIKIA SANA NA NAWASIKITIA MODS WANAORUHUSU TAARIFA ZA NAMNA HII.

JAMII FORUM INAZIDI KUPITIA NYAKATI NGUMU SANA
Greatest Of All Time bhana yaani baada ya Genta Kukushinda katika Shindano Jukwaa la Michezo hapa JamiiForums umeamua Kumchukia kwa kutumia ID yako nyingine ukidhani Utamshusha Kiumaarufu wakati ndiyo kwanza Unampaisha tu
 
MANYANZA.

"Huu uzi ni upuuzi mtupu. Tumia akili yako kutafakari kabla ya kupost maneno ta kuokoteza kwenye vijiwe vya Kahawa. Pale Karume karibu na TFF. We jamaa nilishakwambia tafuta msaada wa Kisaikolojia maana afya yako ya akili haiko sawa".

Manyanza
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
 
✍️Uatengeneza mbegu ya CHUKI.

✍️Unawaaminisha WATU na wachezaji imanI za kishirikina.

✍️ Unajaribu Hali ya Umoja na USHIRIKIANO.

✍️ Unaleta Taaruki kwa kuandika UMBEA usio na Mwanzo Wala Mwisho.
Wala bila uthibitisho wowote.

✍️. Unaifanya Jamii Forum IONEKANE imekosa Hoja kwa kujadili MASUALA ya USHIRIKINA Kila Leo.

NAKUSIKITIKIA SANA NA NAWASIKITIA MODS WANAORUHUSU TAARIFA ZA NAMNA HII.

JAMII FORUM INAZIDI KUPITIA NYAKATI NGUMU SANA
Hii ni post yako ya 100 ya Kuwalalamikia na Kuwafundisha Kazi Moderators wa JamiiForums juu ya Chuki yako Kubwa Kwangu je, umeshagundua ni kwanini Wamekupuuza na Wewe ulivyo Mpumbavu bado tu unaendelea Kuwashobokea na Kubwabwaja hovyo kama Mwendawazimu?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!

Kula Chuma hapa chini tafadhali.....

ANGALIZO

Ukijijua tu HUMPENDI na UNAMCHUKIA mno GENTAMYCINE na HUMKUBALI wala HUVUTIWI na MADA ( THREADS ) zake Kutwa hapa JamiiForums cha kufanya ni KUACHANA nae au MBLOKU ( IGNORE ) na endelea KUWASOMA MEMBERS wako ambao UNAWAPENDA, UNAWAKUBALI na unawaona ni BORA KWAKO na uniachie / uwaache wale MEMBERS Wanaonielewa waendelee KUHABARIKA, KUELIMIKA na KUBURUDIKA nami hapa JamiiForums.

Kitendo cha Kujijua huwa HUNIPENDI, HUNIKUBALI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI Wangu hapa JamiiForums halafu bado tena UNAWASHWAWASHWA nami kama MBWA JIKE anayetaka KUPANDWA kunaonyesha kuwa UNANIKUBALI ( UNANIPENDA ) hadi KUMOYO na huku KUNICHUKIA Kwako ni KUZUGA tu.

Na bahati nzuri au mbaya nikianzisha MADA ( THREAD ) hapa huwa SIMUITI au SIMLAZIMISHI Mru Kusoma hivyo sitaki SHOBO za ki MAGOMENI MAPIPA KWA MACHENI.

Nimemaliza.
 
Bidii ya KIBU Denis Uwanjani ni kubwa mno.

Zamani Simba ilikuwa inategemea Mafundi WATUPU sasa Simba Imehama kutoka Mafundi na kwenda kwa wachezaji wenye Bidii wanaojituma mno wafia timu kama;

KIBU Denis Unayemuandama.
Mzamiru yassin.
Saido Ntibazonkiza.
Sadio Kanute nk.

HAO ni wachezaji wagumu mno wako fiti kuliko mchezaji yoyote Tanzania...

Mfano Mzamiru Workrate yake ni KM 16 kwa mchezo
Chama anakimbia km 5 tu.

FIKICHA AKILI WEWE LICHAWI.
Hizo takwimu umezitoa wapi
 
Hizo takwimu umezitoa wapi

Kuna kifaa Fulani kinachovaliwa na wachezaji.
KINAITWA GPS TRAKER AU GPA VEST.

Ni kama kivest cheusi KIFUPI kinaishia kifuani.

Huwa kinatumika kusoma umbali aliokimbia mchezaji akiwa uwanjani.

NB.
Kama una nia ya kujifunza JARIBU kuuliza kiustarabu utajibiwa vizuri zaidi.

ULIZA kaka/ mkuu samahani JE hizo Takwimu umezitoa wapi???

Na Mimi Natamani nizijue au nijiridhishe.

MUWE MNATUMA AKILI
 
Kuna kifaa Fulani kinachovaliwa na wachezaji.
KINAITWA GPS TRAKER AU GPA VEST.

Ni kama kivest cheusi KIFUPI kinaishia kifuani.

Huwa kinatumika kusoma umbali aliokimbia mchezaji akiwa uwanjani.

NB.
Kama una nia ya kujifunza JARIBU kuuliza kiustarabu utajibiwa vizuri zaidi.

ULIZA kaka/ mkuu samahani JE hizo Takwimu umezitoa wapi???

Na Mimi Natamani nizijue au nijiridhishe.

MUWE MNATUMA AKILI
Kaka mkuu tajiri,


Naomba unijuze hizo takwimu Huwa unazitoa wapi nahitaji kujifunza tajiri !


Asante
 
M
MANYANZA.

"Huu uzi ni upuuzi mtupu. Tumia akili yako kutafakari kabla ya kupost maneno ta kuokoteza kwenye vijiwe vya Kahawa. Pale Karume karibu na TFF. We jamaa nilishakwambia tafuta msaada wa Kisaikolojia maana afya yako ya akili haiko sawa".

Manyanza
Mbona umeni nukuu na kuni mention?
 
ANGALIZO

Ukijijua tu HUMPENDI na UNAMCHUKIA mno GENTAMYCINE na HUMKUBALI wala HUVUTIWI na MADA ( THREADS ) zake Kutwa hapa JamiiForums cha kufanya ni KUACHANA nae au MBLOKU ( IGNORE ) na endelea KUWASOMA MEMBERS wako ambao UNAWAPENDA, UNAWAKUBALI na unawaona ni BORA KWAKO na uniachie / uwaache wale MEMBERS Wanaonielewa waendelee KUHABARIKA, KUELIMIKA na KUBURUDIKA nami hapa JamiiForums.

Kitendo cha Kujijua huwa HUNIPENDI, HUNIKUBALI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI Wangu hapa JamiiForums halafu bado tena UNAWASHWAWASHWA nami kama MBWA JIKE anayetaka KUPANDWA kunaonyesha kuwa UNANIKUBALI ( UNANIPENDA ) hadi KUMOYO na huku KUNICHUKIA Kwako ni KUZUGA tu.

Na bahati nzuri au mbaya nikianzisha MADA ( THREAD ) hapa huwa SIMUITI au SIMLAZIMISHI Mru Kusoma hivyo sitaki SHOBO za ki MAGOMENI MAPIPA KWA MACHENI.

Nimemaliza.
Tunakusoma ili tukutekebishe una mambo ya hovyo sana we Jamaa.
 
Kuna kifaa Fulani kinachovaliwa na wachezaji.
KINAITWA GPS TRAKER AU GPA VEST.

Ni kama kivest cheusi KIFUPI kinaishia kifuani.

Huwa kinatumika kusoma umbali aliokimbia mchezaji akiwa uwanjani.

NB.
Kama una nia ya kujifunza JARIBU kuuliza kiustarabu utajibiwa vizuri zaidi.

ULIZA kaka/ mkuu samahani JE hizo Takwimu umezitoa wapi???

Na Mimi Natamani nizijue au nijiridhishe.

MUWE MNATUMA AKILI
Acha kutumia nguvu kubwa kujifanya unajua Kuchambua Mpira na unajua mengi kwani hakuna unachokijua na kama ungekuwa uko vizuri GENTAMYCINE asingekuwa ndiyo Bingwa wa Shindano la Mwanachama Bora Jukwaa la Michezo hapa JamiiForums aliyemshinda Boya na Pimbi Mwenzako mwingine Greatest Of All Time na mpaka sasa anamchukia Jamaa wa Watu ambaye anakubalika na anaaminika Kitaarifa na Kiuwasilishaji JamiiForums nzima hasa katika Michezo, Habari Mchanganyiko, Siasa na Mambo ya Ulinzi na Usalama.
 
Back
Top Bottom