Aubin Kramo aliyerogwa na mbaya wa Diara anarejea kutokea Kwao, je, mrogaji ameshajiandaa kwa Kisasi?

Aubin Kramo aliyerogwa na mbaya wa Diara anarejea kutokea Kwao, je, mrogaji ameshajiandaa kwa Kisasi?

Acha kutumia nguvu kubwa kujifanya unajua Kuchambua Mpira na unajua mengi kwani hakuna unachokijua na kama ungekuwa uko vizuri GENTAMYCINE asingekuwa ndiyo Bingwa wa Shindano la Mwanachama Bora Jukwaa la Michezo hapa JamiiForums aliyemshinda Boya na Pimbi Mwenzako mwingine Greatest Of All Time na mpaka sasa anamchukia Jamaa wa Watu ambaye anakubalika na anaaminika Kitaarifa na Kiuwasilishaji JamiiForums nzima hasa katika Michezo, Habari Mchanganyiko, Siasa na Mambo ya Ulinzi na Usalama.
Popoma leo limejichanganya ku log out ona hii aibu
 
Mpumbavu Manyanza anaweza Kumrekebisha Mwerevu wa Kutukuka JamiiForums na Duniani kote GENTAMYCINE?
Moja ya watu wenye fikra fupi ni Wewe na siku zote nakuambia tafuta msaada wa Kisaikolojia. Background yako ulinyanyasika na kufanywa kituko na mpaka leo hujikubali na hujiamini. Lakini nyuma ya keyboard unajifanya sana Mwamba
 
🖕🏼🖕🏼🖕🏼
Mkuu Greatest Of All Time huyo Genta ni bonge la kilaza wala usihangaike naye. Tunaojua saikolojia tunamuona ni mtu ambaye hajiamini na aliyeishi maisha ya kufanywa kituko, na hakuwahi kuoneshwa upendo enzi zake za utoto. Humu akiwa JF anajifanya sana Mwamba kumbe afya yake ya akili ni dhoofu
 
Mkuu Greatest Of All Time huyo Genta ni bonge la kilaza wala usihangaike naye. Tunaojua saikolojia tunamuona ni mtu ambaye hajiamini na aliyeishi maisha ya kufanywa kituko, na hakuwahi kuoneshwa upendo enzi zake za utoto. Humu akiwa JF anajifanya sana Mwamba kumbe afya yake ya akili ni dhoofu
Hongera kwa Kututaja Waume zako.
 
Moja ya watu wenye fikra fupi ni Wewe na siku zote nakuambia tafuta msaada wa Kisaikolojia. Background yako ulinyanyasika na kufanywa kituko na mpaka leo hujikubali na hujiamini. Lakini nyuma ya keyboard unajifanya sana Mwamba
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
 
Wiki iliyopita GENTAMYCINE nilikuomba Wewe Mrogaji wake ambaye ni Kiboko ya Kipa Diara kuwa mrudishie haraka Soksi yake uliyoiiba Bunju na kuipeleka kwa Mtaalam Mbeya na Kigoma hukutaka kunisikia sasa Jamaa ( Aubin Kramo ) yuko njiani kurejea kutoka Kwao na kasema lazima akulipizie Kisasi kwa Kumtesa Kwako huku ukiwa hata Kufunga kwenyewe Magoli hufungi zaidi tu ya Miguvu guvu yako isiyo na msaada kivile.

Kazi ipo.....!!
Duh
 
Back
Top Bottom