Aucho kukosa fainali mbili CAF

Aucho kukosa fainali mbili CAF

Hii mechi isha kua ngumu
Hapana uzuri hatocheza nyumbani tu ilihali tutakuwa na nguvu na hamasa kubwa. Kwangu Mimi hii ndio dalili ya kwenda kuchukua ubingwa. Muhimu tushinde vizuri mechi ya kwanza na kule kwao watakutana na ongezeko la nguvu ya Aucho
 
Hapana uzuri hatocheza nyumbani tu ilihali tutakuwa na nguvu na hamasa kubwa. Kwangu Mimi hii ndio dalili ya kwenda kuchukua ubingwa. Muhimu tushinde vizuri mechi ya kwanza na kule kwao watakutana na ongezeko la nguvu ya Aucho
Mehi zote hatokuwepo mkuu, ndicho kinachotupa wasiwasi juu ya pengo lake kama litaweza kuzibika
 
Angaika na timu yako huko, usitafutie faraja huku. Timu yako msimu wa pili huu haina kombe lolote, hizo nguvu za kuongelea kikosi cha Yanga unazitoa wapi?
Umesikia leo nimewanunulia tiketi 50 kusapoti harakati. Cheki miladi ayo.
 
Back
Top Bottom