Aucho kukosa fainali mbili CAF

Aucho kukosa fainali mbili CAF

Mehi zote hatokuwepo mkuu, ndicho kinachotupa wasiwasi juu ya pengo lake kama litaweza kuzibika
Kweli MKuu hapa ni Shimo kubwa any ways mikoba Sasa ni Kwa Bangala naamini atafanya mema yanayotakiwa. Kikubwa kingine wajiepushe na rafu serious zisizo na maana mana waarabu huzitafuta hizo Kwa nguvu mwisho wa siku tukawa pungufu au tukazipata mapema mwisho wa siku tukaanza kucheza under confidence!
 
Kwa kweli mchango wake pale katikati ni mkubwa sana. Na hasa baada ya kiwango cha Yannick Bangala kushuka ghafla. Ila naamini kocha atafanyia kazi.
Hivi mbona hicho kiwango cha Yanick kilichoshuka kiasi cha kuwa gumzo Mimi sikioni? Diamond shape yoyote pale katikati itaifanya timu ibalance tu, iwe standing diamond au inverted diamond zote zitajengwa juu yake. Naamini Yanick anakwenda kuwaprove wrong kesho. Kwanza wajue Waarabu na strategies zào wakiwa away, utashangaa kesho utakachokiona.
 
Back
Top Bottom