ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Nimeshika kichwa kwa masikitikoHakuna tatizo Kibu kuongezewa mshahara. Anajituma na inawezekana akafanya vizuri sana msimu ujao.
Mnapenda kuonea wachezaji huruma ndio maana mnayumbaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshika kichwa kwa masikitikoHakuna tatizo Kibu kuongezewa mshahara. Anajituma na inawezekana akafanya vizuri sana msimu ujao.
Hakuna huruma yoyote. Kibu anajituma na unaona kabisa anavyosumbua ila akili na bahati ya kufunga kakosa, hilo tu ndo la kurekebisha, hakuna ubaya akipewa nafasi. Akishindwa tena hapo sawa akajaribu kwengine. Simba ilikuwa na msimu mbovu na kikosi hakikuwa kizuri in general ila kibu alikuwa anaonekana kabisa anavyojituma.Nimeshika kichwa kwa masikitiko
Mnapenda kuonea wachezaji huruma ndio maana mnayumbaaa
Hao hawakosekanagi.Kuna member alianzisha Uzi akaponda sana project ya Kibu kuongezewa mshahara
Tukianza na mambo ya uzawa mwishoni tutaanza na dini ya mchezaji kwamba mwaka jana kachukua muislamu mwaka huu achukue mkristo, kiufupi aucho kazingua sana kitakachoamua nani abebe kiatu ni wao kufunga magoli tu na sio kingineHapa kazingua sana hisia za mpira hazina mipaka Leo Ronaldo ni high paid Saudia
Mane kina Neymar Firmino n.k
Hata Azam penyewe Kuna mtu yuko benchi na ndie high paid
Lile limekata motoAu lile semaji limeamua kufungua thread
Hawa wachezaji wageni tunawashobokea ila wakiondoka wana tutukana kama alivyofanya mayele nadhani aucho aliangalia muktadha huo lucy aymel aliyekuwa kocha wa yanga alituita manyani mayele alisema hatujielewi na kwamba ametupiwa majini hivyo watanzania tujitafakari maana tunawadharau sana wazawa.Boko alikuwa anawania kiatu na Mugalu nasi pia tulifanya mauza uza
Na hata Sasa yanafanyika na uwezekano wa Aziz kuwa mfungaji bora kwa kupambana na Fei ni ngumu juu ya uzawa ila shabiki wa yanga hawezi kuanza kumshabikia fei aliyeko Azam na kumuacha Aziz aliye yanga
Lakini umesahau kuna mbongo mwenzetu katuita mambumbumbuHawa wachezaji wageni tunawashobokea ila wakiondoka wana tutukana kama alivyofanya mayele nadhani aucho aliangalia muktadha huo lucy aymel aliyekuwa kocha wa yanga alituita manyani mayele alisema hatujielewi na kwamba ametupiwa majini hivyo watanzania tujitafakari maana tunawadharau sana wazawa.
Kwenye maelezo yake hajamtaja Feisal wewe ndio ume tafasiri hivyoAucho anataka na Yanga tumpe Feisal support na sio Aziz
Kujituma kwake kuna faida gani kama end product ni zero? Freddy hajitumi ana goli 6, Saido hajitumi ana goli 11, Chasambi, Balua wote hawajitumi wanamzidi magoli anajituma kwenda wapi?Hakuna huruma yoyote. Kibu anajituma na unaona kabisa anavyosumbua ila akili na bahati ya kufunga kakosa, hilo tu ndo la kurekebisha, hakuna ubaya akipewa nafasi. Akishindwa tena hapo sawa akajaribu kwengine. Simba ilikuwa na msimu mbovu na kikosi hakikuwa kizuri in general ila kibu alikuwa anaonekana kabisa anavyojituma.
Rage ni mkenya?Hawa wachezaji wageni tunawashobokea ila wakiondoka wana tutukana kama alivyofanya mayele nadhani aucho aliangalia muktadha huo lucy aymel aliyekuwa kocha wa yanga alituita manyani mayele alisema hatujielewi na kwamba ametupiwa majini hivyo watanzania tujitafakari maana tunawadharau sana wazawa.
Ndo maana nikasema akipewa nafasi kisha akafanyia kazi end product yaani kutupia mipira wavuni halafu akaendelea kujituma atakuwa mchezaji hatari, ila iwapo ataendelea pale alipoishia atakuwa kaua soko lake mwenyewe. Umri bado unamruhusu. Binafsi naona kupewa nafasi tena huu msimu ni sahihi.Kujituma kwake kuna faida gani kama end product ni zero? Freddy hajitumi ana goli 6, Saido hajitumi ana goli 11, Chasambi, Balua wote hawajitumi wanamzidi magoli anajituma kwenda wapi?
kama bado hamja jua sababu inayo wafanya mnapambania nafasi ya pili mpka sasa endeleeni kumpa nafasi sisi huku kwetu nafasi hazizidi tano ukizingua una kaa bench hatuwezi kukosa ubingwa kwa kulea uzembeNdo maana nikasema akipewa nafasi kisha akafanyia kazi end product yaani kutupia mipira wavuni halafu akaendelea kujituma atakuwa mchezaji hatari, ila iwapo ataendelea pale alipoishia atakuwa kaua soko lake mwenyewe. Umri bado unamruhusu. Binafsi naona kupewa nafasi tena huu msimu ni sahihi.
Kuwa nafasi ya tatu ni suala la kikosi chote, huwezi sema Kibu ndo katuweka hiyo nafasi. Ila utakuwa sahihi sana iwapo atapewa nafasi na kurudia aliyoyafanya msimu uliopita. Msimu umekwisha, tusubiri msimu ujao.kama bado hamja jua sababu inayo wafanya mnapambania nafasi ya pili mpka sasa endeleeni kumpa nafasi sisi huku kwetu nafasi hazizidi tano ukizingua una kaa bench hatuwezi kukosa ubingwa kwa kulea uzembe
Basi wapeni nafasi tena kikosi kizima msimu ujao watajirekebisha , tuta kutana hapa mwisho wa msimu kufanya tathiminiKuwa nafasi ya tatu ni suala la kikosi chote, huwezi sema Kibu ndo katuweka hiyo nafasi. Ila utakuwa sahihi sana iwapo atapewa nafasi na kurudia aliyoyafanya msimu uliopita. Msimu umekwisha, tusubiri msimu ujao.
Hapana, kuna ambao umri umewatupa mkono huwezi endelea nao, kuna ambao uwepo wao unasababisha nafasi ya kuibua vipaji vipya ikosekane, kuna ambao hawana nafasi ya kubadilika sababu wameshaoffer to the maximum na kuna wenye shida za kinidhamu.Basi wapeni nafasi tena kikosi kizima msimu ujao watajirekebisha , tuta kutana hapa mwisho wa msimu kufanya tathimini