Aucho: Watanzania inabidi wasapoti wazawa na sio ku hype wageni

Aucho: Watanzania inabidi wasapoti wazawa na sio ku hype wageni

Kudharauliwa sio kwenye kumtaka tu mchezaji hapa tunazungumzia kwenye maslahi pia Ibrahim bacca anapiga kazi kila mtu anaona ila siku za karibuni alisaini mkataba mpya watu wengi walishangazwa na kiwango kidogo cha mshahara anacholipwa hata Clement mzize na feisal akiwa yanga malipo yao yalikuwa gumzo kwa hyo inabidi tujitafakari unaweza ukakuta Augustin okrah anavuta mkwanja mkubwa pale jangwani kuliko faridi musa wakati wote wanakaa benchi.
Unaona Sasa we umeongelea zaidi masuala ya kimikataba huko ndani ambapo wote tumekuwa tukipiga kelele wapewe maslahi mazuri
Ye kaongelea mashabiki hapo ndio naona hajawatendea haki mashabiki kwa kudhani Wana wa hype wageni kuliko wazawa yes wageni wanapewa hizo hype pale wanapofanya vizuri lakini ni watz hao hao mgeni akizingua uwanjani watu wataomba aondoke eg Konkoni
 
Hata manara aliwatukana yanga na sasa hivi mpo naye anzeni na yule kwanza aliyesema yanga wenye akili ni wawili tu.
Hizo ni hulka zao Kuna watu hutukana watoto wao hata wazazi pale wanapochanganyikiwa Wala hawawezi kutumika kama reference
 
Hata manara aliwatukana yanga na sasa hivi mpo naye anzeni na yule kwanza aliyesema yanga wenye akili ni wawili tu.
Mshukuru wapo wawili lakini mnapigania kushika nafasi ya pili je wangekuwa hata 10 tu si mngepigania kushuka daraja? Halafu sidhani kama Rage alisema kuna hata mmoja ambaye sio mbumbumbu. Huyo Manara aliyeongea hayo alikuwa nayeye ana akili au hana akili maana maneno ya asiyekuwa na akili sio ya kuyazingatia sana.
 
EPL KDB,B.Fernandez wanafanya vzr sn but wanapigwa mawe mno ,ila Mainoo amefunga jana ukiangalia UK yote ni yeye ,kwa muarabu mpk watu wanaondoka kwakua no promo lkn mpira wanaocheza niwakiwango cha juu sana.
My intake ni kua penda vyako kwanza badala ya kua mshmba wa Aziz Ki na sio Faisal or wa TZ wengine wanafanya vzr na hii inakuzwa sn na waandishi wanaohitaji kupata followers wengi
 
Mshukuru wapo wawili lakini mnapigania kushika nafasi ya pili je wangekuwa hata 10 tu si mngepigania kushuka daraja? Halafu sidhani kama Rage alisema kuna hata mmoja ambaye sio mbumbumbu. Huyo Manara aliyeongea hayo alikuwa nayeye ana akili au hana akili maana maneno ya asiyekuwa na akili sio ya kuyazingatia sana.
Rage ye hata hakuainisha
 
Hata manara aliwatukana yanga na sasa hivi mpo naye anzeni na yule kwanza aliyesema yanga wenye akili ni wawili tu.
Sisi wenye akili ni wawili tu tuna chukua kombe nyie wenye akili nyingi mnapambania nafasi ya pili
 
EPL KDB,B.Fernandez wanafanya vzr sn but wanapigwa mawe mno ,ila Mainoo amefunga jana ukiangalia UK yote ni yeye ,kwa muarabu mpk watu wanaondoka kwakua no promo lkn mpira wanaocheza niwakiwango cha juu sana.
My intake ni kua penda vyako kwanza badala ya kua mshmba wa Aziz Ki na sio Faisal or wa TZ wengine wanafanya vzr na hii inakuzwa sn na waandishi wanaohitaji kupata followers wengi
Waingereza wanaonewa sana ila kiuhalisia wao humpenda mchezaji kwa uwezo wake Leo hii Thierry Henry ana sanam Uingereza,Drogba kaandikwa kwenye Kuta za Stamford,Ronaldo kapata heshima kubwa sana pale Man U Kuna maelfu ya wachezaji utawataja ambao wamepata majina wakiwa Uingereza
 

Attachments

  • Screenshot_20240526-064528.jpg
    Screenshot_20240526-064528.jpg
    447.5 KB · Views: 2
EPL KDB,B.Fernandez wanafanya vzr sn but wanapigwa mawe mno ,ila Mainoo amefunga jana ukiangalia UK yote ni yeye ,kwa muarabu mpk watu wanaondoka kwakua no promo lkn mpira wanaocheza niwakiwango cha juu sana.
My intake ni kua penda vyako kwanza badala ya kua mshmba wa Aziz Ki na sio Faisal or wa TZ wengine wanafanya vzr na hii inakuzwa sn na waandishi wanaohitaji kupata followers wengi
Baada ya kukosa ubingwa mmekuja kivingine mwaka jana wakati mna mpambania Saido alikua ni Mtanzania?
 
Ungejua huko ulikotaja hizo sifa ndio zimejaa usingeandika haya uliyoandika
Kwamba ukute wamisri wanamuhusudi zaidi mgeni kuliko mzawa tena ambaye ana uwezo wa kawaida tu kiasi cha kutotofautiana sana na wazawa?

Unaonata wewe, huu ujinga huko tanzania tu, sehemu zingine kama congo hata kukuta tu mchezaji wa kigeni ndio anayelipwa kuliko wachezaji wote kwenye ligi ni nadra sana... lakini kwa hapa bongo kwenye list ya 10 highest paid footballers na usione jina la mzawa hata mmoja.
 
Waingereza wanaonewa sana ila kiuhalisia wao humpenda mchezaji kwa uwezo wake Leo hii Thierry Henry ana sanam Uingereza,Drogba kaandikwa kwenye Kuta za Stamford,Ronaldo kapata heshima kubwa sana pale Man U Kuna maelfu ya wachezaji utawataja ambao wamepata majina wakiwa Uingereza
Naona hata hujui mantiki ya topic uliyoianzisha, unajaribu ku counter hoja za wadau kwa maelezo mepesi sana ambayo ukiyatizama yanakosa uzito wa kimantiki na hivyo kuonekana hakuna cha maana ulichokiongea...

Labda nikufahamishe tu, hao akina Drogba, Henry,Cantona na wengine ambao unawaona sanamu zao pale uingereza, light kama wangekuwa ni waingereza narudia tena light kama wangekuwa ni raia wa uingereza kwa legacy waliyoiacha pale Epl leo hii wangekuwa wanaimbwa zaidi ya hapo, yaani wangepambwa zaidi ya uonanvyo hivi sasa.. kama ni sanamu zao zisingeishia tu hapo kwenye viwanja vya vilabu walivyochezea bali wangewekwa mpaka mwenye sport museums mbali mbali pale uingereza... point yangu ni kwamba hata hiyo hypes wanayopewa ni kawaida sana kulinganisha na ile ambayo wangepewa endapo kama wangekuwa ni wazawa wa pale pale England.

Tunarudi kule kule huu ujinga wa kutukuza sana wageni na kupuuza wazawa mko nao nyie wabongo tu, najua huwezi kunielewa sababu ni sula ambalo limekaa kitamaduni zaidi na wewe ni muathirika wa utamaduni huu
 
Haya ameyasema Leo baada ya Yanga kutangazwa kuwa mabingwa.

Aucho amewashangaa Watanzania kuwashangalia wageni hasa katika mbio za ufungaji Bora na kumuombea Fei asifunge lakini pia amependekeza kumshangilia Mudathir maana naye ni Bora

NB: Binafsi nimeshindwa kumuelewa Aucho kwenye mtizamo wake juu ya ushabiki wa watanzania dhidi ya wachezaji wa kigeni ila duniani kote naona watu wanawashangilia watu pasi na kujali uraia wao.

Kane kachukua kiatu Germany akishangiliwa na Wajerumani
Hukumwelewa; yeye alihimiza kuwa tuwape support wazawa wetu pia badala ya kuwadharau na kuhype wageni tu.
 
Hukumwelewa; yeye alihimiza kuwa tuwape support wazawa wetu pia badala ya kuwadharau na kuhype wageni tu.
Na hivyo ndivyo nilivyoelewa ,je Kuna namna yoyote mashabiki watz wanawadharau wenyeji na kuheshimu wageni ,nikiwa na maana je Kuna mchezaji mzawa yanga haheshimiwi na alistahili heshima na Kuna mgeni anaheshimiwa ingawa hakustahili heshima!?
 
Naona hata hujui mantiki ya topic uliyoianzisha, unajaribu ku counter hoja za wadau kwa maelezo mepesi sana ambayo ukiyatizama yanakosa uzito wa kimantiki na hivyo kuonekana hakuna cha maana ulichokiongea...

Labda nikufahamishe tu, hao akina Drogba, Henry,Cantona na wengine ambao unawaona sanamu zao pale uingereza, light kama wangekuwa ni waingereza narudia tena light kama wangekuwa ni raia wa uingereza kwa legacy waliyoiacha pale Epl leo hii wangekuwa wanaimbwa zaidi ya hapo, yaani wangepambwa zaidi ya uonanvyo hivi sasa.. kama ni sanamu zao zisingeishia tu hapo kwenye viwanja vya vilabu walivyochezea bali wangewekwa mpaka mwenye sport museums mbali mbali pale uingereza... point yangu ni kwamba hata hiyo hypes wanayopewa ni kawaida sana kulinganisha na ile ambayo wangepewa endapo kama wangekuwa ni wazawa wa pale pale England.

Tunarudi kule kule huu ujinga wa kutukuza sana wageni na kupuuza wazawa mko nao nyie wabongo tu, najua huwezi kunielewa sababu ni sula ambalo limekaa kitamaduni zaidi na wewe ni muathirika wa utamaduni huu
Nikupongeze ambae hujaathrika basi maisha yaendelee
 
Kwamba ukute wamisri wanamuhusudi zaidi mgeni kuliko mzawa tena ambaye ana uwezo wa kawaida tu kiasi cha kutotofautiana sana na wazawa?

Unaonata wewe, huu ujinga huko tanzania tu, sehemu zingine kama congo hata kukuta tu mchezaji wa kigeni ndio anayelipwa kuliko wachezaji wote kwenye ligi ni nadra sana... lakini kwa hapa bongo kwenye list ya 10 highest paid footballers na usione jina la mzawa hata mmoja.
Congo mshindi wa Chan na 4th runner wa Caf
Misri mshindi wa mda wote wa mashindano ya caf (ingawa Tau alikuwa analipwa pesa nyingi sana)
Hayo mataifa huwezi linganisha na Tanzania ndugu mwelevu
 
Back
Top Bottom