Sasa hivi unamiliki gari aina gani?BMW 3 SERIES vs AUDI A4 vs TOYOTA CROWN
Naomba wajuzi wa mambo wanisaidie uchanganuzi wa hizi gari mbili. Ahsanteni
Duh😳Shida ya AUDI hasa hizo A4 ni oil, inakula oil sana, tena ukibugi kila baada ya kutembea km 900 unaongeza lita ya oil, hasa zikishaenda km zaidi ya elfu 80 oil ni janga kubwa
Pls kuwa Specific Model Year.BMW 3 SERIES vs AUDI A4 vs TOYOTA CROWN
Naomba wajuzi wa mambo wanisaidie uchanganuzi wa hizi gari mbili.
Ahsanteni
Unafuu wa crown upo eneo gani na ughali wa Audi upo eneo gani?Kuna vitu vya kulinganisha mkuu lakini kama mfuko wako mdogo chukua crown
TOYOTA ni spare tu, hukuni kichwa.Unafuu wa crown upo eneo gani na ughali wa Audi upo eneo gani?
Naikubali sana A4...crown naona lishakuwa common sanaKwa kifupi tu:
Audi ni Slayqueen mrembo sana mbwembwe nyingi na gharama za hali ya juu. Havumili shida hata kidogo.
Crown ni wife material ila mrembo asilia au natural. Anavumilia hata wakati wa shida.
Ni hayo tu...kama una akili utajiongeza.
Basi sawa mkuu😁,,,uandae hela ya kuzima warning lights kwenye dashboard na kwa haraka haraka vi million 2-3 visikupige chenga kila mwezi.Naikubali sana A4...crown naona lishakuwa common sana
Na ndio maana nalitaka kabla sijawa na majukumu....majukumu yakianza tu unabadilisha upepo anganiBasi sawa mkuu😁,,,uandae hela ya kuzima warning lights kwenye dashboard na kwa haraka haraka vi million 2-3 visikupige chenga kila mwezi.
Crown ni verosa lililochangamka....hii gari inaporomoka mdogo mdogo heshimaKwa kifupi tu:
Audi ni Slayqueen mrembo sana mbwembwe nyingi na gharama za hali ya juu. Havumili shida hata kidogo.
Crown ni wife material ila mrembo asilia au natural. Anavumilia hata wakati wa shida.
Ni hayo tu...kama una akili utajiongeza.
Crown ni verosa lililochangamka....hii gari inaporomoka mdogo mdogo heshima