Audi A4 vs Toyota Crown nipe maoni yako

Audi A4 vs Toyota Crown nipe maoni yako

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
978
Reaction score
2,313
BMW 3 SERIES vs AUDI A4 vs TOYOTA CROWN

Naomba wajuzi wa mambo wanisaidie uchanganuzi wa hizi gari mbili.

Ahsanteni

1598206201254.png

Audi A4

1598206316694.png

Toyota Crown

 
Kwa kifupi tu:

Audi ni Slayqueen mrembo sana mbwembwe nyingi na gharama za hali ya juu. Havumili shida hata kidogo.

Crown ni wife material ila mrembo asilia au natural. Anavumilia hata wakati wa shida.

Ni hayo tu...kama una akili utajiongeza.
 
Kwa kifupi tu:

Audi ni Slayqueen mrembo sana mbwembwe nyingi na gharama za hali ya juu. Havumili shida hata kidogo.

Crown ni wife material ila mrembo asilia au natural. Anavumilia hata wakati wa shida.

Ni hayo tu...kama una akili utajiongeza.
Crown ni verosa lililochangamka....hii gari inaporomoka mdogo mdogo heshima
 
Audi au BMW nI gari za kitajiri. Hata huko mbele waoendesha hizi gari ni watu wanaojielewa. Zikiwa nzima raha sana, I'll ikiharibika sasa, kila kitu chake ni mara mbili au tatu zaidi ya hizi gari zetu za kimasikini, Hata kupiga rangi. Mimi nishawahi kuchuna bumper la AUDI A4 ya mtu wakati niko lena gari manual, bei yake kulipa nilikoma. Na Hata huko mbele hizi gari haziendi gereji yoyote, zinaenda kwa mafundi wake special. Najua watu kibao wameshindwa kutengeneza ma AUDI yao. Spare ghali sana.
Kama uko vizuri, chukua A4 it's a status symbol. Kokote duniani mtu anaendesha AUDI sio mwenzio.
Kama ni mwenzangu Na Mimi we nunua to crown. Unaeza Hata enda pale Tandale ukapata spare.

Ni ushauri wangu tu.
 
Back
Top Bottom