ndio maana zinauzwa bei ghali kuliko Audi huko kwenye soko la mitumba.Crown build ina poor build quality.
Ndani ya muda mfupi mabati yanaanza kuchakaa mengine yanaanguka yenyewe.
Bro ukiwasikiliza hao toyota user unaweza acha kununua european cars, Mimi kipindi nataka kununua gari nilikuwa napenda sana BMW for no reason nilijikuta nimeipenda tu hii bland, sasa nikawa natafuta ushauli kwa wabongo wenzangu, 80% walinitisha nilitaka kukata tamaa kununua BM. Nikajilipua nikaagiza X1, nilichokutana nacho ni tofauti sana na maneno yao. Mwaka wa tatu sasa gari iko vyema na easy maintainance. Huku mtandaoni utasikia mengine ila ukiingia balabalani utakutana na mengine. Hizi BMW na hiyo tiguan zimejaa balabalani na hauzikuti juu ya mawe ila ukija mtandaoni utasikia wanakwambia spare zake hazipatikani. Na cha kushangaza ni kuwaona toyota users ndio wanaongoza kuongelea european cars.Daaa, nilivutiwa na VW Tiguan, naona iko poa sana. Sasa hii comment yako, nimechoka hoi.
Tanzania sijui tuna shida gani kung'ang'ania Toyota tu? Nchi nyingi tena zingine ndogo tu wanaendesha magari ya Europe na hakuna shida yoyote na spea zipo. Tanzania ni tofauti kabisa. Kwa mfano, Kenya tu hapo wana spea kibao za Pegeout, BMW,AUDI, RANGE ROVER, VW ET AL!
Ndio hivyo sasa na bado watu hawazinunui pamoja na kuwa bado zinabei ya kawaida sokoniBro ukiwasikiliza hao toyota user unaweza acha kununua european cars, Mimi kipindi nataka kununua gari nilikuwa napenda sana BMW for no reason nilijikuta nimeipenda tu hii bland, sasa nikawa natafuta ushauli kwa wabongo wenzangu, 80% walinitisha nilitaka kukata tamaa kununua BM. Nikajilipua nikaagiza X1, nilichokutana nacho ni tofauti sana na maneno yao. Mwaka wa tatu sasa gari iko vyema na easy maintainance. Huku mtandaoni utasikia mengine ila ukiingia balabalani utakutana na mengine. Hizi BMW na hiyo tiguan zimejaa balabalani na hauzikuti juu ya mawe ila ukija mtandaoni utasikia wanakwambia spare zake hazipatikani. Na cha kushangaza ni kuwaona toyota users ndio wanaongoza kuongelea european cars.
Mhh....sio kweli..Shida ya AUDI hasa hizo A4 ni oil, inakula oil sana, tena ukibugi kila baada ya kutembea km 900 unaongeza lita ya oil, hasa zikishaenda km zaidi ya elfu 80 oil ni janga kubwa
Mhh....sio kweli..
Noma sana2011 Audi A4 Excessive Oil Usage
The 2011 Audi A4 has 20 problems reported for excessive oil usage. Average repair cost is $6,000 at 65,850 miles.www.carcomplaints.com
Jaribu kupitia comments za wamiliki wa hizo gari hapo halafu ufanye conclusion mwenyewe. Audi A4 zote za nyuma ya mwaka 2011 ziangalie
Gari inayokula oil kila baada ya km 900 ni mbovu...2011 Audi A4 Excessive Oil Usage
The 2011 Audi A4 has 20 problems reported for excessive oil usage. Average repair cost is $6,000 at 65,850 miles.www.carcomplaints.com
Jaribu kupitia comments za wamiliki wa hizo gari hapo halafu ufanye conclusion mwenyewe. Audi A4 zote za nyuma ya mwaka 2011 ziangalie
Website ya beforward si unaijua?Bei ya audi A4 na Toyota Crown zipoje Beforward?
Hayo yote nayafahamu.Utakuwa hujajua vizuri concepts za biashara mkuu. Kila kampuni ina mbinu zake sokoni strategically.
Kuna target market kwa kila bidhaa. Toyota hao hao wanatengeneza bidhaa kama Lexus ambazo target yake ni soko la ulaya ndio maana bongo sio nyingi ila haimaanishi ni product mbaya kwa sababu wengi hawazinunui.
Kinachofanya wingi wa bidhaa sokoni ni distribution yake na bei kuwa rafiki. Ila kwa Complex product kama gari watu huzingatia pia value for money. Wingi wa Toyota bongo maana imeprove kuwa na value for money kwa wateja kuliko brand zingine na sio kuwa ni inferior product.
Tecno ni kampuni ilio based in Africa. Target ilikuwa kuuza simu humu humu ndio maana hata gharama zake ziko chini pia distribution yake imekuwa rahisi zaidi humu.
Daah hizi zitakua ni crown zinazozalishwa huko mogadishu labda.Crown build ina poor build quality.
Ndani ya muda mfupi mabati yanaanza kuchakaa mengine yanaanguka yenyewe.
Audi ni pasua sana sasa hao wanatoa vilio sio wenzetu wa used vehicles 😅😅Noma sana View attachment 1661153
View attachment 1661181
View attachment 1661157
View attachment 1661159
View attachment 1661160
View attachment 1661161
View attachment 1661186
View attachment 1661189
Yaani Mabeberu yenyewe yanatoa milio kwa huyu AUDI, naangalia mpaka maintenance kuvua engine kubadili piston najua utakuwa unaelewa gharama. Na hawa wenzetu wanachukua gari za 0 km wengi. Ndio maana hata consultation wanawasiliana na dealers wao kwanza.
Mkuu tubanane hapahapa kwa TOYOTA ukishindwa uzalendo pita NISSAN, SUBARU, TATA, SUZUKI hao ndio ndugu zetu.
Endelea kubisha maana mpaka link umepewaGari inayokula oil kila baada ya km 900 ni mbovu...
Kipi kinakuchesha bossNikisoma thread kama hizi huwa nacheka sana!
Sawa na Android users wanavyozipondea Iphones.Bro ukiwasikiliza hao toyota user unaweza acha kununua european cars, Mimi kipindi nataka kununua gari nilikuwa napenda sana BMW for no reason nilijikuta nimeipenda tu hii bland, sasa nikawa natafuta ushauli kwa wabongo wenzangu, 80% walinitisha nilitaka kukata tamaa kununua BM. Nikajilipua nikaagiza X1, nilichokutana nacho ni tofauti sana na maneno yao. Mwaka wa tatu sasa gari iko vyema na easy maintainance. Huku mtandaoni utasikia mengine ila ukiingia balabalani utakutana na mengine. Hizi BMW na hiyo tiguan zimejaa balabalani na hauzikuti juu ya mawe ila ukija mtandaoni utasikia wanakwambia spare zake hazipatikani. Na cha kushangaza ni kuwaona toyota users ndio wanaongoza kuongelea european cars.
Hizo comments huwezi zikosa kwa gari yeyote ile.Noma sana View attachment 1661153
View attachment 1661181
View attachment 1661157
View attachment 1661159
View attachment 1661160
View attachment 1661161
View attachment 1661186
View attachment 1661189
Yaani Mabeberu yenyewe yanatoa milio kwa huyu AUDI, naangalia mpaka maintenance kuvua engine kubadili piston najua utakuwa unaelewa gharama. Na hawa wenzetu wanachukua gari za 0 km wengi. Ndio maana hata consultation wanawasiliana na dealers wao kwanza.
Mkuu tubanane hapahapa kwa TOYOTA ukishindwa uzalendo pita NISSAN, SUBARU, TATA, SUZUKI hao ndio ndugu zetu.
Zipo nyingi sana.Daah hizi zitakua ni crown zinazozalishwa huko mogadishu labda.
Acha hizo.....usikopi malalamiko kwenye group za wazungu kuhalalisha madai yako...mimi nimetumia Audi 4 na BMW 3series...nina uzoefu nazo..Endelea kubisha maana mpaka link umepewa
Sijaonaga shida hio kwny crown hata 1.Zipo nyingi sana.
Nimeona moja namba D, mabati yananing'inia chini.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app