Audi A4 vs Toyota Crown nipe maoni yako

Audi A4 vs Toyota Crown nipe maoni yako

Daaa, nilivutiwa na VW Tiguan, naona iko poa sana. Sasa hii comment yako, nimechoka hoi.
Tanzania sijui tuna shida gani kung'ang'ania Toyota tu? Nchi nyingi tena zingine ndogo tu wanaendesha magari ya Europe na hakuna shida yoyote na spea zipo. Tanzania ni tofauti kabisa. Kwa mfano, Kenya tu hapo wana spea kibao za Pegeout, BMW,AUDI, RANGE ROVER, VW ET AL!
Bro ukiwasikiliza hao toyota user unaweza acha kununua european cars, Mimi kipindi nataka kununua gari nilikuwa napenda sana BMW for no reason nilijikuta nimeipenda tu hii bland, sasa nikawa natafuta ushauli kwa wabongo wenzangu, 80% walinitisha nilitaka kukata tamaa kununua BM. Nikajilipua nikaagiza X1, nilichokutana nacho ni tofauti sana na maneno yao. Mwaka wa tatu sasa gari iko vyema na easy maintainance. Huku mtandaoni utasikia mengine ila ukiingia balabalani utakutana na mengine. Hizi BMW na hiyo tiguan zimejaa balabalani na hauzikuti juu ya mawe ila ukija mtandaoni utasikia wanakwambia spare zake hazipatikani. Na cha kushangaza ni kuwaona toyota users ndio wanaongoza kuongelea european cars.
 
Bro ukiwasikiliza hao toyota user unaweza acha kununua european cars, Mimi kipindi nataka kununua gari nilikuwa napenda sana BMW for no reason nilijikuta nimeipenda tu hii bland, sasa nikawa natafuta ushauli kwa wabongo wenzangu, 80% walinitisha nilitaka kukata tamaa kununua BM. Nikajilipua nikaagiza X1, nilichokutana nacho ni tofauti sana na maneno yao. Mwaka wa tatu sasa gari iko vyema na easy maintainance. Huku mtandaoni utasikia mengine ila ukiingia balabalani utakutana na mengine. Hizi BMW na hiyo tiguan zimejaa balabalani na hauzikuti juu ya mawe ila ukija mtandaoni utasikia wanakwambia spare zake hazipatikani. Na cha kushangaza ni kuwaona toyota users ndio wanaongoza kuongelea european cars.
Ndio hivyo sasa na bado watu hawazinunui pamoja na kuwa bado zinabei ya kawaida sokoni
 
Mhh....sio kweli..

Jaribu kupitia comments za wamiliki wa hizo gari hapo halafu ufanye conclusion mwenyewe. Audi A4 zote za nyuma ya mwaka 2011 ziangalie
 

Jaribu kupitia comments za wamiliki wa hizo gari hapo halafu ufanye conclusion mwenyewe. Audi A4 zote za nyuma ya mwaka 2011 ziangalie
Noma sana
1609136606089.png

1609137438686.png

1609136633773.png

1609136697165.png

1609136734673.png

1609136766182.png

1609137491005.png

1609137554878.png



Yaani Mabeberu yenyewe yanatoa milio kwa huyu AUDI, naangalia mpaka maintenance kuvua engine kubadili piston najua utakuwa unaelewa gharama. Na hawa wenzetu wanachukua gari za 0 km wengi. Ndio maana hata consultation wanawasiliana na dealers wao kwanza.

Mkuu tubanane hapahapa kwa TOYOTA ukishindwa uzalendo pita NISSAN, SUBARU, TATA, SUZUKI hao ndio ndugu zetu.
 

Jaribu kupitia comments za wamiliki wa hizo gari hapo halafu ufanye conclusion mwenyewe. Audi A4 zote za nyuma ya mwaka 2011 ziangalie
Gari inayokula oil kila baada ya km 900 ni mbovu...
 
Utakuwa hujajua vizuri concepts za biashara mkuu. Kila kampuni ina mbinu zake sokoni strategically.

Kuna target market kwa kila bidhaa. Toyota hao hao wanatengeneza bidhaa kama Lexus ambazo target yake ni soko la ulaya ndio maana bongo sio nyingi ila haimaanishi ni product mbaya kwa sababu wengi hawazinunui.

Kinachofanya wingi wa bidhaa sokoni ni distribution yake na bei kuwa rafiki. Ila kwa Complex product kama gari watu huzingatia pia value for money. Wingi wa Toyota bongo maana imeprove kuwa na value for money kwa wateja kuliko brand zingine na sio kuwa ni inferior product.

Tecno ni kampuni ilio based in Africa. Target ilikuwa kuuza simu humu humu ndio maana hata gharama zake ziko chini pia distribution yake imekuwa rahisi zaidi humu.
Hayo yote nayafahamu.

Uhalisia wa watu kukimbilia Toyota ni kwasababu unapata spares hata feki.

Wabongo hatuna uwezo wa kutunza hata hizo Toyota. Ndio maana mtu anaweza tembea na taa ya check engine mwezi mzima au shockups zilizokufa mwaka mzima.

Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
 
Noma sana View attachment 1661153
View attachment 1661181
View attachment 1661157
View attachment 1661159
View attachment 1661160
View attachment 1661161
View attachment 1661186
View attachment 1661189


Yaani Mabeberu yenyewe yanatoa milio kwa huyu AUDI, naangalia mpaka maintenance kuvua engine kubadili piston najua utakuwa unaelewa gharama. Na hawa wenzetu wanachukua gari za 0 km wengi. Ndio maana hata consultation wanawasiliana na dealers wao kwanza.

Mkuu tubanane hapahapa kwa TOYOTA ukishindwa uzalendo pita NISSAN, SUBARU, TATA, SUZUKI hao ndio ndugu zetu.
Audi ni pasua sana sasa hao wanatoa vilio sio wenzetu wa used vehicles 😅😅
 
Bro ukiwasikiliza hao toyota user unaweza acha kununua european cars, Mimi kipindi nataka kununua gari nilikuwa napenda sana BMW for no reason nilijikuta nimeipenda tu hii bland, sasa nikawa natafuta ushauli kwa wabongo wenzangu, 80% walinitisha nilitaka kukata tamaa kununua BM. Nikajilipua nikaagiza X1, nilichokutana nacho ni tofauti sana na maneno yao. Mwaka wa tatu sasa gari iko vyema na easy maintainance. Huku mtandaoni utasikia mengine ila ukiingia balabalani utakutana na mengine. Hizi BMW na hiyo tiguan zimejaa balabalani na hauzikuti juu ya mawe ila ukija mtandaoni utasikia wanakwambia spare zake hazipatikani. Na cha kushangaza ni kuwaona toyota users ndio wanaongoza kuongelea european cars.
Sawa na Android users wanavyozipondea Iphones.

Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
 
Noma sana View attachment 1661153
View attachment 1661181
View attachment 1661157
View attachment 1661159
View attachment 1661160
View attachment 1661161
View attachment 1661186
View attachment 1661189


Yaani Mabeberu yenyewe yanatoa milio kwa huyu AUDI, naangalia mpaka maintenance kuvua engine kubadili piston najua utakuwa unaelewa gharama. Na hawa wenzetu wanachukua gari za 0 km wengi. Ndio maana hata consultation wanawasiliana na dealers wao kwanza.

Mkuu tubanane hapahapa kwa TOYOTA ukishindwa uzalendo pita NISSAN, SUBARU, TATA, SUZUKI hao ndio ndugu zetu.
Hizo comments huwezi zikosa kwa gari yeyote ile.

Niliwahi fanya utafiti wa Mini Cooper. Negative comments ni nyingi kuliko positive ones.

Soma comments hata za LC 200 series. Lazima uzikute mbaya.

Hizo comments zisikutishe chochote, hata Crown wapo na negative comments.

Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom