Umeisikiliza hiyo audio au kiingereza tehe?
Sijaikiliza, ndio maana nimesema "KAMA AME...."
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeisikiliza hiyo audio au kiingereza tehe?
Mngejua hiyo ni Radio ya aina gani, labda mngebadilisha mawazo yenu kidogo.
Kapwela, kwa maoni yako haya ni wazi huijui Marekani wala siasa zake. Juzi maseneta wa chama cha Upinzani Republican wamemwandikia barua kiongozi Mkuu wa Iran wakimtahadharisha kukaa chonjo na Raisi wao Obama kwa sababu eti haaminiki; je hii ingewezekana Tanzania bila watu kukamatwa na kuwekwa ndani bila kujali nafasi zao ndani ya Upinzani. Mambo yanapofikia hapa ndipo wengine tunapobaki tumeduwaa na kuanza kujiuliza; hivi wengine wetu mnaishi katika sayari gani? Wakati Raisi wao Obama analihutubia taifa, mjumbe moja wa Congress alimwita muongo na hii ilishuhudiwa na wananchi wote waliokuwa wakifuata hotuba hiyo, je itakuwaje siku Kikwete anaitwa muongo live wakati anahutubia taifa kupitia bunge? Hiyo ndiyo Marekani Kapwela na si hiyo unayofikiria ukiwa kibarazani kwako Kariakoo na kikombe chako cha kahawa.
Refer hapa: Romney foreign policy attack was disgraceful
Romney foreign policy attack was disgraceful - CNN.com
"Partisanship ought to end at the water's edge" is a longstanding adage of American politics.
Na hapa Romney alikuwa mwangalifu kutosema mabaya na nchi yake;Mitt Romney meets U.K. leaders ahead of London fundraiser - CBS News
"While I'm on foreign soil, I'm very careful not to be critical of my own government's policies," said the presumptive Republican nominee. "I would be even more remiss if I were to be critical of any other government's policies. I will instead look forward to an exchange of ideas."
TOFAUTI ZA KISIASA ZETU ZIISHIE MPAKANI, NJE YA MPAKA KILA MMOJA AENDE AKIIWAKILISHA TANZANIA,NCHI YETU SOTE, HADHI YA TANZANIA NI MUHIMU ZAIDI KULIKO SIASA ZETU. HUKU NDIO KUKUA KISIASA KUFANYA VINGINEVYO HATUAIBISHI NCHI TU BALI TUNAJIAIBISHA WENYEWE
Mtangazi au ni slaa anasema anaunga mkono ndoa za jinsia moja,au nimesikia vibaya?
Rais wetu anaitwa tyrant wewe unaona ni sawa tu? Tena na Wamarekani? Serious!
Nyie watu msilete unafiki hapa, mara ngapi tushaaibika nje huko rais huyu huyu anaulzwa chanzo cha umasikin haju sio aibu hyo? Wote tulo mchagua tunaonekana wajinga,
Mikataba tunayoingia yote ni ya ulaghai wanatuzid ujanja unadhan hatujapata aibu,
Kisa leo Slaa kachangia hali ya kisiasa ya nchi et aibu hakuna aibu hapo labda kama na ww upo ktk utawala n aibu kwako kwasababu utawala unanyanyasa wanyonge alafu unataka ulimwengu ucjue et siasa safi na kulinda nchi, upuuz mnaumia ndani alafu nje mnasema nchi ina utawala bora,
Tufikie wakat tuache kufarijiana lazima tupinge maovu wakati wowote na mahali popote
Mitt Romney "While I'm on foreign soil, I'm very careful not to be critical of my own government's policies," said the presumptive Republican nominee. "I would be even more remiss if I were to be critical of any other government's policies. I will instead look forward to an exchange of ideas."
PARIS, France (CNN) - Sen. Barack Obama said Friday he was avoiding criticizing President Bush on his trip through Europe.
Speaking to reporters, the Democratic presidential candidate cited a tradition that "you don't criticize a sitting president while overseas," adding that "it's very important" that U.S. foreign policy is presented "in one voice."
Hivi tyrant ndo nini? Niko mbali na dictionary.
Ha ha haa Mshume Kiyate, hilo jina...mmm hilo niliache! Huyo Kapwela, narudia hajui siasa ya Marekani. Hiyo mifano miwili niliyoitoa ni michache tu ikilinganishwa na mingine mingi tu iliyowahi kutokea. Je unajua Democrats pia waliwahi kufanya yanayofanana na hayo kwa Raisi Bush? Mara ngapi wapinzani wanaongelea mapungufu ya serikali yao wanapokuwa nje ya nchi yao iwe Ulaya na kwingineko? Je toka barua hiyo imeandikwa ni Republicans wangapi wanaotaka kugombea Uraisi huko Marekani wamelaani hiyo barua? Unachosahau ni kwamba siasa ya Marekani ni habari nyingine kabisa. Huko hata kiongozi wa Democrat atamkosoa wazi wazi Raisi wake na kupinga wazi wazi msimamo wa chama chake. Endelea kufanya google, utajifunza mengi.Majibu murua kabisa tatizo Mag3 anadhani siasa za US anazifuatilia peke yake.
Kitendo alichokifanya Slaa si cha kizalendo kabisa. Nawashangaa wafuasi wa Chadema kishangilia hii interview.