Audio: Americans Describes Kikwete As A Tyrant, 93.1 WIBC USA interview with Dr. Slaa

Audio: Americans Describes Kikwete As A Tyrant, 93.1 WIBC USA interview with Dr. Slaa

Kapwela,

..sasa unachobisha ni nini?

..je, wewe ulifuruhishwa na majibu ya Raisi kwamba hajui kwanini Tz ni masikini?

..je, uliona fahari kwa nchi yako kuwa na Raisi asiyefahamu chanzo cha matatizo yetu, na anayekiri hivyo akiwa nchi za nje?

..kumbuka kwamba kabla ya kuwa Raisi, JK alipata kuongoza wizara kadhaa nyeti hapa nchi. sasa pamoja na hayo bado anatuambia hajui kwanini chanzo cha matatizo yetu na umasikini wetu ni nini!!

..kama nyinyi mnaona hilo ni jambo la fahari, wako wengine wanaona hiyo ni aibu na dhihaka kubwa kwa nchi yetu.

cc Mag3, Mkandara
 
Last edited by a moderator:
JokaKuu

JokaKuu, tatizo la Watanzania wengi ni kwamba tunadhani tunaishi kwenye kisiwa cha peke yetu; kwamba tunayo mambo tunaweza kuyafanya kama taifa yakabaki kuwa ya kwetu tu na ama hayawahusu wengine au wengine hawana haki ya kuhoji mambo yetu. Dunia imebadilika na mataifa yote ni kama yako kwenye darubini ya dunia, hakuna tena cha siri kwa mambo ya kipuuzi, ukiyakoroga subiri hukumu ya ulimwengu utake usitake.

Kikwete, kama Raisi wetu, alipokiri na kuitangazia dunia kwamba hajui chanzo cha umasikini wetu, tulitakiwa kama Watanzania tulivalie njuga swala hilo. Badala yake tamko lake hilo lilizua "buzz" nje ya mipaka yetu na likawa gumzo la dunia na huko mjadala uliokuwa ukiendelea mtandaoni kuhusu hilo tamko ulikuwa wa kudhalilisha kweli kweli. Sijui kama watu kama Kapwela waliufuatilia kwani uliletwa hadi humu JF...Raisi wetu aliitwa majina ambayo hata sasa nasita kuyataja.

Halafu eti leo mtu anavalia njuga hotuba ya Dr. Slaa kwamba imetudhalilisha...kweli wonders will never cease in this land of Kilimanjaro. Pamoja na kwamba kila mwananchi anaona tunakoelekea siko na anafahamu ni nani anatupeleka/wanatupeleka huko, lawama zinaelekezwa kwa ambao hawako wala hawajawahi kuwa kwenye usukani. Mtu na akili zake timamu analaumu CUF, analaumu NCCR, analaumu Chadema, analaumu NLD...lakini hapo hapo anaisifia CCM! Huu tena si ujinga, ni kushupaa.
 
Last edited by a moderator:
Dr. Slaa Delivers Yet Another Outstanding Speech. Calls CCM Tumorous Cancer!

Keynote Address, PURDUE University
April 13, 2015By
Dr. Wilbrod Slaa

Over a year and a half ago, I visited Indiana, toured various places, met different state and federal officials, visited various learning institutions and also toured Perdue. At Purdue, I met Dr. Suresh Garimella and other faculty members and could not have been more impressed, with what I learnt in this institution, and your willingness to support education in Tanzania, and that's why when I received an invitation to come back, I felt privileged.

To the Dean of School of Agriculture, Jay Akridge, faculty, staff, students, invited guests and the public at large, accept my appreciation for the special welcome you have accorded me along with my delegation. You have made us feel at home away from home.

I have rather brought with me greetings from people of Tanzania; Men, and women children who have been walking for more than five decades to a new world of social economic liberation. Tanzanians are almost seeing a new dawn, and needs your prayers and moral support

Along with me, I have also brought you greetings from CHADEMA Party chairman, Mr. Freeman Mbowe, and his co-principals in the new economic liberation alliance called UKAWA. Notably, Prof. Ibrahim Lipumba, of CUF, Dr. Emanuel Makaidi of NLD and James Mbatia of NCCR Mageuzi respectively
In the year 1869, a visionary man, who understood the importance of education, decided to give part of his wealth back to the society, by establishing an academic institution which would become one of the best agricultural and engineering school in the world.

This visionary business leader, in West Lafayette, Indiana, realized that for America to compete in the global arena, for America to have comparative economic advantage, it had to have its own educated population in the field of Agriculture and Engineering that could turn the soybeans into various final products. Thank you to John Perdue

Today, in Tanzania the interior part of Tanzania, at Selian Agricultural Research Center, Mbulu, Endallah villages John Purdue's name is living on, The institution he established is doing all possible to make the world a better place by imparting and sharing the knowledge and expertise with the rest of the world.
For decades now, the global community has been talking about 'New World Order', and the like, and the irony of it all, is that, most of this talk does not go beyond the Conference rooms, and or ended on the Shelves of bureaucrats. At the same time,

Erick Reinert, A Norwegian Economist in his publications categorically stated that, While rich and developed first world get richer, third world countries get poorer


Prof. Reinert says that, Rich countries such as, Holland, England, and Italy, developed through rounds of diversification, and industrialization protected by government intervention. Holland followed the process through shipbuilding. England on the other hand started with wool, and later cotton, coming to dominate the European clothing markets.


Each country realized that selling finished products was more worthwhile than selling raw materials, and used tariffs and sanctioned monopolies to protect their early industries. It was England's planned shift from selling raw wool to selling finished cloth that set it on the road to development.


On the other hand, the proponents of the "New World Economic Order" have been imposing on developing nations something we would consider abominable and oppressive. Poor nations are encouraged and even forced to gear their whole economies towards raw materials.


Poor nations are encouraged to focus on one trade-able commodity, like coffee, rather than diversify. They are forbidden to use tariffs, subsidies, and other forms of market protection to develop any kind of manufacturing industry.


In the modern global society that is on a daily basis becoming a village, this imbalance is inacceptable. Especially if we genuinely believe on rhetoric's that we are all Children of same Loving, Generous and all encompassing God,


The situation of a huge global population living in abject poverty is unacceptable. And this is not a question of reverting back to old theories of "communism" and or " Socialism", It is a question of being consistent with the principles of "equitable Trade" and comparative economic advantage.


We in Africa and indeed in Tanzania are not looking for Meritorious Treatment but rather we would like to see a World Economic Order that adheres to principles of fare and equitable Trade.


My American friends,


Tanzania is endowed with abundance of all sorts of natural resources, from fertile arable land, that can feed half of the Western hemisphere to the world finest beaches of Zanzibar. Tanzania has immense variety of flora and fauna that could generate high-class tourism; I am talking of Serengeti National Park, Mt. Kilimanjaro, Selous game Reserve just to name a few.


My country is blessed with both renewable and non-renewable sources of energy. From large deposits of Natural Gas (proven reserves of 47trillion cubic feet), large rivers; critical sources for hydropower, to abundant sun and wind for renewable energy


Tanzania has large deposits of all kinds of minerals and gemstones imaginable to man. Uranium, coal, iron-ore, copper, bauxite, diamond, ruby, nickel, tanzanite, sapphire and many others are all found in Tanzania. In abundance.


Yet the paradox is that despite all this reaches Africa and indeed Tanzania, still fall within the category of world "poorest Country". Sadly, enough, my sitting president has gone into the record books, as the only head of state, in the entire world, to state in the glare of cameras, that he had no clue as to why his country was ranked one of the poorest.


A very sad and embarrassing statement from a head of state
.Maybe the president was embarrassed to tell the truth to the world, that the country had been suffering from a fifty-four year old, cancerous tumor also known as Chama Cha Mapinduzi (CCM). A political pandemic that has been ruling Tanzania since its inception; a party synonymous with corruption and mismanagement, and had no time focus on comparative economic advantage, instead focusing more on begging that workings towards adding value to the country raw resources.

It is the CCM pandemic, which has stagnated economic progress; killing country's innovation spirit, by flooding our domestic market with dangerous, substandard and unreasonably cheap goods from Far East


It is this CCM, a cancerous tumor that has killed Tanzania's quest for industrial revolution

It is this CCM, a cancerous tumor that has killed Tanzania's dream to agricultural revolution

It is the CCM, a cancerous tumor, which has turned Tanzania into a minefield, with millions of young people's dream, quashed, and now have become time bombs.

It is the CCM a cancerous tumor that has killed Tanzania's health care system, educational and economic dreams. CCM has ruined the lives of our people, and rendered the country into a charity case instead of being a global economic player.

CCM is a party without morals. It is a gang of rulers who plants into their own people dangerous elements of division based on religious and ethnic lines so it can remain in power despite the possibility of disintegrating the society.

It is only in Tanzania of today, where a poor man stealing a goat to feed his family, is likely get a life sentence, yet drug lords, economic criminals, and poachers (killers of elephants) are well protected behind CCM party walls; those that steal billions of dollars from public coffers are walking with state security protection; A practice so common with corrupt and totalitarian regimes.

This is the party that brands those that are fighting for their country, and who simply oppose their views, TERRORISTS. It is the party that uses the police and security organs, not to protect the population, but rather to suppress their voices of descent.

Once you become a member of an opposition party, you are an enemy of state, and subsequently a target for police and the entire security apparatus brutality.

The media has not been spared either; many newspapers have been banned, and some banned because of a cartoon. Many Journalists have been arrested and even brutally murdered by the police because they write stories that threaten the interest of the rulers

Undoubtedly, this is a primary contradiction that needs to be seriously addressed by us the Africans, and Tanzanians first with the support from Partners and friends like you. We need your help in getting rid of the cancerous tumor CCM-party so we can join the global economic community as equal and not as beggars. We need international community's support to Tanzania of CCM Pandemic

Given the enormous natural resources it is endowed with, Tanzania cannot permanently remain a beggar that depends on the international community to fund its educational system, while gold from our land is airfreighted to foreign countries. We are not against selling our gold to the rest of the world, we are rather, want Tanzania gold be processed in Tanzania so Tanzanians can have jobs.

Instead of exporting raw coffee, we need coffee processing factories in Tanzania, for us to be able to export finished products. Tanzania need Comparative Economic advantage and subsequently equitable trade and not AID. Tanzania is potentially a self-sufficient country, and also a potential donor than aid receiving country

Tanzania's economic liberation can only be realized, if we Tanzanians, come up with ballot box revolution strategy that would dislodge the corrupt CCM-regime and its likes across the continent as the only way to realize comparative economic advantage, whereby our people and the country can benefit from their resources, As the case is today, Tanzania has become a dumping ground of basically all commodities including substandard products from China. Quite embarrassing is the fact that, we are even importing toothpicks simply because we cant make out own, yet exports to them very valuable commodities at a throw away price.

Tanzania ranks third in the world when it comes to the number of cattle; yet we are importing all kinds of shoes. CHADEMA administration will ensure we process our cow hides domestically into brand name shoes, instead of selling our hide cheaply and buy it back as expensive designer leather handbags.

A classical example of resource mismanagement, bad decision-making, and lack of focus. We would like to turn this around in all areas where we have the comparative advantage.

My American brothers and friends


CHADEMA party and its partner political parties of Civic United Front (CUF), NCCR-Mageuzi and NLDP have formed a partnership to rid the country of CCM pandemic.


Through our partnership (UKAWA) we are determined to restore Tanzania's lost glory. CHADEMA party and its friends are interested in turning Tanzania from being a global charity case, whose head of state is constantly going around the begging than focusing on developing his country's wealth, to being a sufficient country and global economic player.


As I have always said, CHADEMA has its priorities, and its priority number one is education, priority number two is education, and priority number three being education Critical for Tanzania's economic development is creation of human resource. Economic Aid is not in CHADEMA interest!


America and the West are boasting economic prosperity due the emphasis your countries put on education. You are boasting advanced agriculture and food security due to your policy maker's emphasis on education.

America's technological and industrial revolution resulted from your many years of investment in Education. Without emphasis on education world class Institutions like as Purdue, would be in existence today.

CHADEMA and its partner parties are determined to modernize Tanzania's education system in order to fuel growth of our economy, by fully utilizing all such areas where we have the comparative advantage. We want to add value to our raw resources whether in mining, or in agriculture

We need a proper application of Comparative advantage principal, which will not only benefit Tanzania, but also our genuine friends and Partners. The more we move into light and medium industry, the more we will raise the purchasing power of our people. This is the only peaceful means of making the world a more peaceful and prosperous


It is time we work together to pull the world out of abject poverty by truly practicing what we preach. We need a very balanced trade between our countries.

It is not in TANZANIA's interest to be showered with shipments of donated food. It is rather in our interest to receive your support in building our local human capacity; Educational support. We need the transfer of skills. We need partnership between our higher learning institutions. And instead of inventing the wheel, lets share the skills and innovative technology.

To you the younger generation and leaders of tomorrow, I must tell you, that, Pioneers never live to see or enjoy fruits of their labor, they establish new trails so you can all safely pass through.

We are living in a new era. Era of "New World Economic Order" an era whereby where only the strong survive!

Even though my days have numbered, my struggle for equality between stronger and weaker nations will never stop. My struggle for fairness between nations will never stop. My Struggle for comparative Economic Advantage, and social justice will live on.

I may never live to see my beautiful country enjoy its comparative economic advantage, but my children, my grandchildren and millions of young people in my country, fed-up with lifelong corruption, mismanagement and social injustice will. This is what, I m living for. I am living for Economic and social liberation

To you my American friends, Little did you know, that, after one hundred and forty six years later, in the rural part of Tanzania, in the middle of nowhere, thousands of Miles away from Indiana, would Dr. Purdue's name and legacy reach. Well, this is what pioneers do!

Equally, come to Tanzania and work with us in finding new paths. Bring us your brilliant minds for the sake of humanity. Come out and fight for a Just world, come and fight for fairness, come and fight for new World Economic order. Come out in the field and turn our deserts in cornfields, in order to Keep John Purdue's legacy alive!

Thank You!
 
Mag3

Nilikuwa reference za Romney na Obama wakifanya hivyo unavyoita ushamba, sasa kwako kwa kuwa Watanzania ndio washamba basi labda kama Obama ni mjaluo wa Tarime na Romney mzaramo wa Chalinze.
 
Last edited by a moderator:
Nilikuwa reference za Romney na Obama wakifanya hivyo unavyoita ushamba, sasa kwako kwa kuwa Watanzania ndio washamba basi labda kama Obama ni mjaluo wa Tarime na Romney mzaramo wa Chalinze.

Mazingira ya kisiasa ya Marekani ni tofauti na haya ya hapa kwetu.
 
JokaKuu


Hivi ndivyo unavyotaka nchi yako itambulike?a failed state kama ilivyo Afganistani, Iraq, Libya, Syria. Nchi iliyyongozwa toka uhuru na viongozi katili, wauaji, na wasiojali watu.

Nchi ambayo mwizi wa Mbuzi, ananyongwa.

Pata pata hao watu walivyoipata picha ya nchi hiyo Tanzania?hapo pata picha jinsi ji9na la Nyerere lilivyoaibishwa hapo?kuwa nae uongozi wake ulikuwa hivyo, miaka 54 ya shida na mateso makubwa kwa Watanzania.

Tanzania ni jehanamu iliyopo duniani.

Ndivyo mzalendo anavyoweza kuizungumzia nchi yake nje??no ni mtu mbinafsi tu asiye na maslahi ya nchi yake moyoni anayeweza kufanya hivyo. Unajenga picha mbaya ya nje, nchi inaaibika ili upate mkate wako.
Chadema Diaspora

Hivi Tanzania lini imekuwa inapewa chakula kutoka nje??Tanzania kwa miaka zaidi ya 20 sasa haitegemi chakula toka nje nje ata debe moja. Kinyume chake Tanzania sasa inasaidia nchi zingine chakula.

Dr Slaa anataka dunia ijue Tanzania tunakufa na njaa huku, kwa hao wasioijua Tanzania wakiona picha kwenye TV kama hii..

starving_children-africa.jpg
images


Ndio picha ya nchi Dr Slaa anayoijenga vichwani mwa hao Wamarekani, nchi isiyo na chakula inasubiri chakula kupewa kutoka nje.

Kwa walio nje watafurahia hotuba hii kwa sababu moja muhimu, PICHA HII IKIJENGEKA VIZURI BASI ITAWASAIDIA KUPATA HADHI YA UKIMBIZI, shame
 
Last edited by a moderator:
Kapwela,

..sasa unategemea watu wanaodhalilishwa na CCM na vyombo vya serikali kila kukicha wataielezea Tanzania tofauti na alivyoielezea Dr.Slaa?

..kwani hujui kwamba vibaka wanauawa wakati mafisadi wa CCM wanaendelea kupeta na hata kupewa nafasi za kuwa waandishi wa Katiba?

..Labda alichokosea Dr.Slaa hapo ni matumizi tu ya lugha ya Kiingereza. But we know exactly what he was trying to say. Kwa kifupi ni kwamba, ktk nchi hii vibaka wanapata adhabu kali sana, ikiwemo uwezekano wa kuuwawa kikatili, wakati mafisadi wanapeta na kula raha.

..Kwa kifupi ni kwamba CCM ni wakatili na wananchi tunapaswa tupaze sauti ndani na nje ya nchi yetu ili ukatili huo ukome.

cc Mag3
 
Last edited by a moderator:
..mazingira ya kisiasa ya Marekani ni tofauti na haya ya hapa kwetu.

Msingi wa Doctor Slaa hapa sio maslahi ya taifa, bali ni ubinafsi tu wa kuangalia maslahi ya kutimiza ndoto zake.Huwezi kutafuta kutimiza ndoto kwa kuidharirisha nchi unayosema unaipenda?wazalendo hawafanyi hivyo.

with the support from Partners and friends like you. We need your help in getting rid of the cancerous tumor CCM-party

come to Tanzania and work with us in finding new paths. Bring us your brilliant minds for the sake of humanity. Come out and fight for a Just world, come and fight for fairness, come and fight for new World Economic order. !

Tunahitaji msaada toka nje kupata uongozi Tanzania?nchi ya Mwalimu Nyerere imefikia hapa??never
 
Kapwela,

..kama hatutaki kuaibika basi tuache kufanya mambo ya aibu.

..Kama imefika mahali fisadi kama Chenge ndiyo anakuwa mwandishi wa Katiba yetu, basi labda nchi ya Mwalimu Nyerere inahitaji uongozi toka nje.

..Tumefika mahali shule zetu za bweni zinafungwa kwa kukosa chakula, lakini wakati huo huo kuna mawaziri wa CCM wanasema wametumia milioni 70 kununua mboga.

..Mimi nadhani CCM ndiyo wamekosa uzalendo kwa kufanya mambo ya aibu, na anachofanya Dr.Slaa ni kuwakanya CCM waache kuifisadi nchi.
 
Last edited by a moderator:
Kapwela,

..sasa unategemea watu wanaodhalilishwa na CCM na vyombo vya serikali kila kukicha wataielezea Tanzania tofauti na alivyoielezea Dr.Slaa?

..kwani hujui kwamba vibaka wanauawa wakati mafisadi wa CCM wanaendelea kupeta na hata kupewa nafasi za kuwa waandishi wa Katiba?

..Labda alichokosea Dr.Slaa hapo ni matumizi tu ya lugha ya Kiingereza. But we know exactly what he was trying to say. Kwa kifupi ni kwamba, ktk nchi hii vibaka wanapata adhabu kali sana, ikiwemo uwezekano wa kuuwawa kikatili, wakati mafisadi wanapeta na kula raha.

..Kwa kifupi ni kwamba CCM ni wakatili na wananchi tunapaswa tupaze sauti ndani na nje ya nchi yetu ili ukatili huo ukome.

cc Mag3

Toka lini Tanzania ya Nyerere inataka ipewe utawala kutoka nje ya nchi?kwani Dr Slaa hajui kuwa ukoloni uliishakwisha na hatuwezi kurudi huko?ingekuwa ni hivyo basi Mugabe asingekuwa Raisi leo.

Kama kuna mabadiliko yanatakiwa yataletwa na Watanzania wenyewe, hakuna mabadiliko ya kununua kwa jirani.Kinyume cha hapo ni kupaniki tu na kuonyesha uchanga katika anga ya kimataifa.

Je nikuulize wewe, lini ulisikia Tanzania inaomba msaada wa chakula toka nje?kwa taarifa yako kwa miaka mingi sasa, nchi jirani ndizo tunazisaidia chakula.

Huku kuaibisha nchi kwa kiwango hiki kwa faida gani?nawe ukikutana na wanafunzi hao ukajiita Mtanzania wataishia kukupa pole tu, KWA MZALENDO WA NCHI, NI BAHATI NA HESHIMA KUWA MTANZANIA.

NAJIVUNIA KUWA MTANZANIA, NA NAJIVUNIA NCHI YANGU.

Kama mnaomba msaada huko ombeni mpewe lakini sio kwa gharama ya heshima na hadhi ya nchi.Na wengine KAMA MNATAFUTA UKIMBIZI UTAFUTENI TU LAKINI SIO KWA KUDHARIRISHA NCHI.

Hivi ndivyo unavyotaka nchi yako itambulike?a failed state kama ilivyo Afganistani, Iraq, Libya, Syria. Nchi iliyyongozwa toka uhuru na viongozi katili, wauaji, na wasiojali watu.

Nchi ambayo mwizi wa Mbuzi, ananyongwa.

Pata pata hao watu walivyoipata picha ya nchi hiyo Tanzania?hapo pata picha jinsi ji9na la Nyerere lilivyoaibishwa hapo?kuwa nae uongozi wake ulikuwa hivyo, miaka 54 ya shida na mateso makubwa kwa Watanzania.

Tanzania ni jehanamu iliyopo duniani.

Ndivyo mzalendo anavyoweza kuizungumzia nchi yake nje??no ni mtu mbinafsi tu asiye na maslahi ya nchi yake moyoni anayeweza kufanya hivyo. Unajenga picha mbaya ya nje, nchi inaaibika ili upate mkate wako.



Hivi Tanzania lini imekuwa inapewa chakula kutoka nje??Tanzania kwa miaka zaidi ya 20 sasa haitegemi chakula toka nje nje ata debe moja. Kinyume chake Tanzania sasa inasaidia nchi zingine chakula.

Dr Slaa anataka dunia ijue Tanzania tunakufa na njaa huku, kwa hao wasioijua Tanzania wakiona picha kwenye TV kama hii..

starving_children-africa.jpg
images


Ndio picha ya nchi Dr Slaa anayoijenga vichwani mwa hao Wamarekani, nchi isiyo na chakula inasubiri chakula kupewa kutoka nje.

Kwa walio nje watafurahia hotuba hii kwa sababu moja muhimu, PICHA HII IKIJENGEKA VIZURI BASI ITAWASAIDIA KUPATA HADHI YA UKIMBIZI, shame

Dokta Slaa ana uwanja wote wa kusema hayo na zaidi ponahusika, kwa wananchi wenyewe ambao ndio watakaoitoa CCM madarakani wakitaka.Kuwatajia wanafunzi wa marekani wa Tanzania utadhani watapika kura mwezi 10 ni dalili za uchanga na ukposefu wa muono wa kiuongozi.
 
When you suppress freedom of press lock up journalists and shutdown papers that are critical of your govt your a tyrant. When you appoint ministers who are known thieves to your govt your a tyrant. When you allow same ministers to steal from citizens tax payer money with no consequences your a tyrant
 
Kapwela,

..hivi unafikiri kila anayeipinga CCM siyo mzalendo na haipendi Tanzania?

..hata mimi naipenda Tanzania, lakini sifurahishwi na jinsi CCM inavyotupeleka.
 
Last edited by a moderator:
Kapwela

Kwa hiyo wewe ulitaka Slaa 'adanganye' kuwa Tanzania mambo mazuri, rais wetu yuko fresh, maisha ni bora, utajiri kila mahali, n.k.
 
Last edited by a moderator:
Kapwela

Hivi mtu akisema kuwa Tanzania kuna ufisadi, wewe unadhani kuwa ni uongo?
Mtu akisema kuwa Tanzania ina raslimali nyingi, lakini 'zinaliwa' na wachache, unaona kuwa hana uzalendo?
Ila kwako wewe yule mtu anayesema uongo kuhusu Tanzania ndio unamuona 'mzalendo'!!
 
Last edited by a moderator:
Kapwela,

..hivi unafikiri kila anayeipinga CCM siyo mzalendo na haipendi Tanzania?

..hata mimi naipenda Tanzania, lakini sifurahishwi na jinsi CCM inavyotupeleka.

Na mie siipendi CCM yawezekana kuliko wewe, lakini naipenda Tanzania zaidi kuliko chama chochote kilichopo au kitakachotokea Tanzania. Vyama vinapita, Wanasiasa wanapita, lakini Tanzania itadumu. Jivunie Utanzania wako.Kuwa proud na Utanzania wako.

Kwani Obama alikuwa anampenda Bush?lakini anatambua kuna nafasi ya kudeal na Bush huko kwa wapiga kura wa nchini mwake, kuna line nyembamba sana hapo.Ndio tofauti ya Mtaifa mwenye maslahi ya taifa lake na Mwanasiasa mwenye anayejali tu maslahi ya kisiasa. Alichofanya Dr Slaa ni kuonyesha kuwa ni mwanasiasa pure. Kwake maslahi ya kisiasa ni muhimu kuliko taifa.

Hivi ndivyo unavyotaka nchi yako itambulike?a failed state kama ilivyo Afganistani, Iraq, Libya, Syria. Nchi iliyyongozwa toka uhuru na viongozi katili, wauaji, na wasiojali watu.

Nchi ambayo mwizi wa Mbuzi, ananyongwa.

Pata pata hao watu walivyoipata picha ya nchi hiyo Tanzania?hapo pata picha jinsi ji9na la Nyerere lilivyoaibishwa hapo?kuwa nae uongozi wake ulikuwa hivyo, miaka 54 ya shida na mateso makubwa kwa Watanzania.

Tanzania ni jehanamu iliyopo duniani.

Ndivyo mzalendo anavyoweza kuizungumzia nchi yake nje??no ni mtu mbinafsi tu asiye na maslahi ya nchi yake moyoni anayeweza kufanya hivyo. Unajenga picha mbaya ya nje, nchi inaaibika ili upate mkate wako.



Hivi Tanzania lini imekuwa inapewa chakula kutoka nje??Tanzania kwa miaka zaidi ya 20 sasa haitegemi chakula toka nje nje ata debe moja. Kinyume chake Tanzania sasa inasaidia nchi zingine chakula.

Dr Slaa anataka dunia ijue Tanzania tunakufa na njaa huku, kwa hao wasioijua Tanzania wakiona picha kwenye TV kama hii..

starving_children-africa.jpg
images


Ndio picha ya nchi Dr Slaa anayoijenga vichwani mwa hao Wamarekani, nchi isiyo na chakula inasubiri chakula kupewa kutoka nje.

Kwa walio nje watafurahia hotuba hii kwa sababu moja muhimu, PICHA HII IKIJENGEKA VIZURI BASI ITAWASAIDIA KUPATA HADHI YA UKIMBIZI, shame
 
Kwa hiyo wewe ulitaka Slaa 'adanganye' kuwa Tanzania mambo mazuri, rais wetu yuko fresh, maisha ni bora, utajiri kila mahali, n.k....

DR SLAA KASEMA....


    • Maybe the president was embarrassed to tell the truth to the world, that the country had been suffering from a fifty-four year old, cancerous tumor also known as Chama Cha Mapinduzi (CCM). A political pandemic that has been ruling Tanzania since its inception; a party synonymous with corruption and mismanagement, and had no time focus on comparative economic advantage, instead focusing more on begging that workings towards adding value to the country raw resources.


      • It is only in Tanzania of today, where a poor man stealing a goat to feed his family, is likely get a life sentence

        • It is not in TANZANIA's interest to be showered with shipments of donated food.
    ...............................................................................................................................................................

NIJIBU MASWALI YANGU HAPA:

1. Je Tanzania ipo chini ya utawala wa kiimla na kidikteta usiojali maslahi ya nchi toka ilipopata uhuru? je alichokisema Dr Slaa ni kweli??

HINT: MAANA YAKE KANISA KATOLIKI LINATAKA KUMPA UTAKATIFU DIKTETA MMOJAWAPO WA HAO WALIOTAWALA TANZANIA KATIKA NUSU YA MIAKA HIYO 54.

2. Je nchini Tanzania mwizi wa mbuzi ananyongwa?? je alichosema Dr Slaa ni kweli??Nipe mfano wa kesi hiyo!!

3. Je Tanzania inategemea chakula cha misaada toka nje ya nchi?je Dr Slaa anachosema kipo?Onyesha ushahidi japo wa gazeti lolote kudhibitisha hii.

 
Kapwela

Majibu:-

1. Dr. Slaa alisema....
A political pandemic that has been ruling Tanzania since its inception; a party synonymous with corruption and mismanagement, and had no time focus on comparative economic advantage, instead focusing more on begging that workings towards adding value to the country raw resources.
Sasa hapo hebu kanusha kuhusu corruption na mismanagement

Hint: Refer to scandlas like Escrow, EPA, Richmond, etc.

Vilevile, kuhusu udikteta, refer to political oppressions tangu uhuru mpaka sasa ambapo tuna vyama vingi.
Ukionekana 'adui' tu unamalizwa.

Hint: Mauaji ya Zanzira mwaka 2001, mauaji ya Arusha kwenye maandamano ya Chadema, mauaji ya mwandishi wa habari Daudi Mwangosi, kupigwa na kudhalilishwa kwa Prof. Lupumba, wizi wa kura kwenye chaguzi zote tangu mwaka 1995, kunyanyaswa na kuonewa kwa Mch. Gwajima kwa kuuunga mkono serikali tatu, n.k.

2. Kuhusu wizi...
Hapa Tanzania ukitaka wezi 'wakubwa' (Grand Thieves) 'wanapeta' mitaani, ila wezi wadogo ndio wamejaa magerezani.

Hint: Wezi wote walioiba mabilioni ya shilingi, hakuna hata mmoja aliyekamatwa na kufunguliwa mashtaka (Naamini unafahamu kuwa mafisadi mbalimbali ambao wote wako mitaani, hawako gerezani).

3. Tanzania kutegemea chakula cha msaada....
Kuhusu misaada ya chakula, sina data zozote zile za Tanzania kupokea.

Lakini ardhi ya Tanzania ni kubwa na yenye rutuba ambayo inaweza kulisha Afrika nzima, lakini kila kukicha Tanzania kuna njaa. Mara usikie wilaya fulani zinakabiliwa na njaa, n.k.

Kwa utajiri wetu hapa Tanzania, tunatakiwa kuwa sisi ndio watoaji misaada, sio wapokeaji misaada wowote ule, iwe wa chakula, fedha, au vifaa vingine. Sisi ni nchi tajiri sana Afrika, tunatanguliwa na DRC peke yake.
Au wewe unaonaje, tuendelee kuwa omba-omba?
 
Last edited by a moderator:
Kapwela

Acha upotoshaji wewe, kwa hiyo sehemu gani ameonyesha kuwa ni raisi mjinga ?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom