Audio: Emmanuel Gekul akitoa vitisho vya kutaka kumdhuru anayedaiwa kusambaza Video ya kijana aliyefanyiwa ukatili na Pauline Gekul


Sorry familia yao inahitaji faraja? Kwa uzembe wa mtoto wao?
Only in bongo ukifanya uzembe unafarijiwa
Sisi ndio. Tunakuza hizi tabia
 
Nawewe unaamini Mbowe ampige risasi Lissu,halafu aondoe kamera za eneo la tukio,serikali ishindwe kumfanya chochote,we ni mzima sehemu ya juu ya shingo?

Au wewe ni sample ya wajinga,nikimaanisha wasiojua jambo flani?

Pole sana kama unaamini ulichokiandika,itabidi uje uhadithie baadhi ya watoto wako,tukio lile,na bilashaka wengine watakuuliza kua Mbowe ni nani hadi serikali ilishindwa kumshughulikia,utawajibu kulingana na uelewa wako muda huo unaulizwa.

Mi siyo mfuasi wa chama chochote kile,ila huwezi kuniambia ulichoandika nikakubali.
 
Product za jalalani yudizimu na yudomu kwa machakaramu hizo
 
ameharibu zaidi. na pale anasema aachie wachagga wasambaze ndio ameonyesha ukabila na ujinga mkubwa sana.
Yeye anaamini wanaosambaza ni vijana wa Mbowe,kisa dada yake alikua CHADEMA kabla ya kujiunga na CCM,asijue kua kuna wadau wanataka kutumia mwanya huo kummaliza dadaake ili jimboni wateleze kiulaini,hasahasa kipindi hiki tunaporlekea kwenye uchaguzi.Asikariri.Hajui kuna watu wanakitaka hilo jimbo pia...?
Atulie huyo kijana.
 
Angeshitaki vipi wakati akiwa ndani (korokoroni)
Jambo moja li wazi, mpaka rais amemtumbua basi kuna kitu! Urais ni taasisi kubwa isiyoendeshwa kwa mihemko!
Hii kuteua kutumbua ni kiini macho tu. Rais ametumbua wangapi na baada ya muda akawarudisha tena?
 
Paulina ni nani?

Ni Mwandishi wa Habari? Ni mwanaharakati?

Salute kwake🙏
 
Hicho kijamaa ndio kinasema kinaweza kata kichwa mtu ?

Mbona hakina ubavu huo, mwisho hapo kinabadili tu upepo kuwa akikutana nae atamkata vibao.

Hakuna mtu atapanga amkate mtu kichwa halafu aseme, hiyo ilikuwa hasira tu katika mazungumzo.

Yawezekana hata kuchinja kuku tu kwa kisu hajawahi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…