Audio: Emmanuel Gekul akitoa vitisho vya kutaka kumdhuru anayedaiwa kusambaza Video ya kijana aliyefanyiwa ukatili na Pauline Gekul

Wairaq Wana hasira sana, na huyo mama alimpigia kumchokonoa Ili ajae, nae kajaa kifala

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
 
Mti wa Mzee Philipo Gekul naona umeshakauka matawi yameshaanza kupukutisha majani. Hiyo familia Wairaqw wajitenge nayo vinginevyo AIBU itakuwa ya Kabila zima badala ya familia ya Mzee Gekul.
Naonga mkono hoja tutashindwa kutafuna watoto wazuri wa ki iraq kisa dada yao kuingiza watu chupa mikunduni
 
tayari dada ake aishapoteza image ya kisiasa, itamuathiri kutaka tena kuwania ubunge. Hapo ndio basi tena, aanze kutafuta kazi ya kufanya nje na siasa. Keshaonekana ni muhuni

Ataenda kufanya kazi gani ndugu? Huyo tangu alipomaliza tu chuo UDSM mwaka 2006 aliingia direct kwenye siasa. Mtu amezoea utelezi ataiwezaje rough road? Kwa sasa apambane na hiyo hoteli yake japo sijui kama itapata wateja tena maana bundi kashatua.
 
Sisapoti alichosema huyo jamaa. Na inaonekana dakika za mwisho ni kama alihisi anrekodiwa.

Lakini huyo mwanamke ni kama alikuwa anam “antagonize”, yani kumkasirisha apandishe hasira aongee maneno mabaya kwasababu anamrekodi.

Jamaa hovyo sana kutolea mfano wa wachagga maana siyo kweli, lakini huyo mwanamke ni pumbavu kabisa kama huyo Immanauel na zaidi.
 
Ni kama nimemwelewa vizur huyo kijana aliyefanyiwa huo ukatili ni mchaga ndio maana akasema aachie wachagga wasambaze
hujamwelewa. alikuwa anasema wachagga mwenzao akiwa na tuhuma huwa wananyamaza, hawasambazi isije chafua kabila lote la wachaga, na alikuwa anamaanisha kwamba wairaq kwasababu waziri kachafua mama asisambaze hilo jambo litaharibia wairaq wote, alikuwa ana maana wajifunze kwa wachaga, na ni kama hapo kuna bifu la wairaq na wachaga kwenye chama, na walilenga kwenye uchaga kwasababu chadema alikotoka yule dada wanatuhumiwa kuwa ni wachaga.
 
Hii imeshakuwa "inshu" sasa.
 
Umeandika ugolo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…