jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
So unataka kuniambia kuna sera yoyote ya kulinda ufisadi inayotekelezwa sasa na serikali, kwenye ilani ya CCM? Hii ni sera inayitekelezwa lakini haipo kwenye manifesto. Sera za chama zinatengenezwa na nani, na wanachama au zinajitengeneza zenyewe?
Kwa hiyo kiongozi anaweza kuja na policy suggestion ambayo inaweza kuja kuwa sera, au akatawala kwa decree, kama mrema alivyokuwa antoa siku saba kwa watendaji wa serikali. Angekuwa rais angekuwa mtawala wa kiimla na sio wa sheria au anayeongozwa na sera.
Kama kazi yake ilikuwa kukamata wezi angeenda wizara ya nishati angeshindwa, kwa sababu nishati hawakamati wezi, isipokuwa wanashughulikia mambo ya nishati, ku explore vyanzo vipya vya nishati, kunahitaji innovation capabities and alike.
Nilikuwa na uhakika kuwa Ben Mkapa akiingia madarakani ataweza kustabilize uchumi na kupunguza inflation, which he did. Nilidhani kuwa atapigana na rushwa i was wrong.
Kwa hiyo inawezekana kabisa kuwa you are wrong on what you think about Lyatonga.
Mfano mzuri uko kwa magufuli, amejaribu kung'ara kwenye wizara ya ujenzi, kungia ardhi imekuwa kinyume ameuzia nyumba ndugu zake, kuna uwezekana hata Lyatonga angefanya hivyo.
Tayari una muhukumu Mrema kwa mambo amabayo unadhani yangetokea...Pathetic!Yani unasema kuwa mtu huyu hafai kwasababu nadhani angefanya hivi...What a great thinker!