mkuu
Augastine Mrema aliwahi kuwa afisa usalama katika wizaraya mambo ya ndani wakati huo Mzee Ali Hasan Mwinyi alikuwa waziri wa mambo ya ndani .... miaka ya 1980's kulitokea mauaji ya watu waliosadikika ni wachawi huko mwanza/shinyanga na Mwinyi kama waziri na Mrema walijiuzulu kupisha uchunguzi na uwajibikaji