Augustino Mrema: Behind the Scene

Alimpiga mkwara singa singa akafa kwa presha mjini Arusha, baada kutaka Yeye (mr singh) na wakili wake wamuone ndani ya siku saba ! Siku ilipofika Mrema akapokea summons ya Mahakama Kuu. Akamtaka radhi Wakili !

Tena akabadili safari za mabasi usiku zikawa mchana na kusaidia kupunguza ajali zilizokuwa zimeshamiri kwa kipindi hicho.
 
Ni mgombea rais wa kwanza wa upinzani kushinda lakini kura zake zikachakachuliwa na NEC 1995.
 

Aliwahi kutamka mwaka jana kuwa hii kazi ya usalama wa taifa bado analipwa na bado anaendelea nayo. Japo yupo kwenye chama cha upinzani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…