NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Pisii hii ya mzee Liyatonga na ile ya mzee Kapuya ipi inayofaa kuingia top ten?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gym tunaenda kama kawaVijana endeleeni kwenda gym mzee anaoaView attachment 2159788View attachment 2159790
Zifungulie uzi tuthaminishePisii hii ya mzee Liyatonga na ile ya mzee Kapuya ipi inayofaa kuingia top ten?
Anaenda kuchukua hela za mzee anakuletea maana ukimwambia mzee akupe hela hata kupa nimekuelewa sanaGym tunaenda kama kawa
Na sisi ndio tunawasaidiaga wazee kama hao kupga ngoma zao vzr ...
Hiyo kwetu ni fursa
Sent from my FTE171A using JamiiForums mobile app
Naunga mkono hojaAnaenda kuchukua hela za mzee anakuletea maana ukimwambia mzee akupe hela hata kupa nimekuelewa sana
Mkewe si kafariki jamani!Huyu anapenda utani Sana, anafunga ndoa na yuleyule mkewe wa kutoka ujanani.
Ngozi yake hii, mbona ni kama side effect ya madawa?Mkewe si kafariki jamani!
Hivi kapuya anaendeleaje na mkewe?Anamjibu Kapuya
DaahR.I.P , tunazika au tunasafirisha?