EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Anatafuta watu maneno aisee[emoji851][emoji851][emoji851]Mzee ana balaa huyu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatafuta watu maneno aisee[emoji851][emoji851][emoji851]Mzee ana balaa huyu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
😄😄😄😄😄Anatafuta watu maneno aisee[emoji851][emoji851][emoji851]
Mhh! Umri wa uzee na kisukari, ataweza kweli kumpa kitu cha haja katika "matrimonial bed" na bi mdogo akaridhika!? Asije akaanza kuingia katika vita na machalii wa Kiraracha.#FAHAMU Mwenyekiti wa TLP Taifa Dk. Augustino Mrema ametangaza kufunga ndoa siku ya Alhamisi Machi 24,2022 katika Parokia ya Uwomboni kijijini kwake Kiraracha mkoani Kilimanjaro...
Mrema amesema amepata "binti mwenye umri mdogo" mweupe ambaye ni chaguo lake na watafunga pingu za maisha mara baada ya kufuata taratibu zote za kikanisa pamoja na ulipaji wa mahari .
Looh hawa mabinti wa kanda hii wana roho ngumu sana.Kwa katoto haka atagongewa saana tu hadi afe kwa presha halafu turithi mafaoView attachment 2158415
Ya R. Mengi yatamjuta soon tena hataacha hata kidLooh hawa mabinti wa kanda hii wana roho ngumu sana.
we picha, kwani shida nini unaleta story bila picha?#FAHAMU Mwenyekiti wa TLP Taifa Dk. Augustino Mrema ametangaza kufunga ndoa siku ya Alhamisi Machi 24,2022 katika Parokia ya Uwomboni kijijini kwake Kiraracha mkoani Kilimanjaro...
Usemacho ni kwelii ukilitazama kwa upande mwingine mzee kaona mbalii nani wa kumsaidia mambo yake binafsi kama si mke si jambo jema kwa mzee kama yule kuajiri mtu wa kumsaidia mambo yake mfano, magonjwa kufua nguo zake hususani za ndaniiNi sawa kabisa,mimi nadhani hili jambo jamii wanatakiwa walielewe maana ukiliangalia in Positive way,lina faida nyingi sana kuliko hasara!
Kama tu" Mke aliepatikana kweli amepatikna kwa Upendo toka ndani na wala si tamaa zake za mali.
No comments..Usemacho ni kwelii ukilitazama kwa upande mwingine mzee kaona mbalii nani wa kumsaidia mambo yake binafsi kama si mke si jambo jema kwa mzee kama yule kuajiri mtu wa kumsaidia mambo yake mfano, magonjwa kufua nguo zake hususani za ndanii