Augustino Mrema kufunga ndoa Machi 24, 2022. Amepata kimwana mdogo

Augustino Mrema kufunga ndoa Machi 24, 2022. Amepata kimwana mdogo

Mwaka 2016 au 15 nilimuona Mrema akihojiwa kwenye TV akawa anaelezea juu ya ugonjwa wake, akaelezea juu ya vipimo mbalimbali alivyofanyiwa mpaka nyama ya sehemu ya kifuani kwake ikakatwa ili kufanyiwa uchunguzi.

Miaka 6 mbele Mrema anataka kuoa mimi TV niliyotumia kumtazama nimeuza na sina mpango wa kuoa. Vijana tufanye kuoa hawa mabinti la sivyo tutazidi kupoteza mababu katika jamii zetu.
 
#FAHAMU Mwenyekiti wa TLP Taifa Dk. Augustino Mrema ametangaza kufunga ndoa siku ya Alhamisi Machi 24,2022 katika Parokia ya Uwomboni kijijini kwake Kiraracha mkoani Kilimanjaro

View attachment 2157902
Kama ni mkatoliki.. Kwaresma huwa hazifungwi ndoa.. Mpaka usiku wa pasaka. Sijui zimetumika taratibu zipi?? Labda ni muangrikana.
 
Baba kampata mama nafikiri kutokana na ugonjwa unaomsumbua kwa muda mrefu ndio maana ameamua kuvuta jiko chap chap ili ampe uangalizi wa karibu ila sidhani kama ni kabinti kama wengi mnavyodhani atakua 50+.
 
Katika maisha unayoyapitia kumbana na shida zote ila sio shida ya umri umeenda ushajichokea afu eti upo mwenyewe yaani upo home alone utajuta!

Mzee wangu aliwahi nambia bora uwe na mke hata kama si mlieanza nae maisha ila usikose mke utakufa siku si zako hata kama kifo ni lazima.

Nikupe mf: alikuwepo mzee 1 pale Sirari aligoma kuoa akiwa kijana na mpaka uzee umemfika kauli yake ilikuwa ni ile ile NITAOA AMBAYE HANYI.

Katika umri kusonga akajikuta amezeeka bila kuoa shughuli kubwa ikabaki ni kuuza miwa, aamke asubuhi awahi shambani atake miwa aipakie kwenye baiskeli aikokote hadi center auze ifike jioni arudi home maisha yakawa ni hayo ikafika kipindi akaonyesha kuchoka mno, kumbe siku za mwishoni akifika home anajilaza ili apumzike kumbe ndo mpaka asubuhi kuna siku analala njaa uwezo wa kuwasha jiko ajipikie ukakosa njaa ndo ilimuua.

Hivi jiulize upo home mwenyewe uugue ghafla hata usiku itakuweje labda simu ikusaidie umpigie mshikaji lakini ujue kuna umri unafika huna washikaji.

Na niwahikikishie maisha ni magumu mno na wanawake ni pasua kichwa sana ila Mungu ana lengo lake kutaka uoe na kuolewa. Kuna vitu hata hela iwepo kama kazi bure.

Mzee Mrema kwa upande wangu yupo sahihi kabisa.

Hawa watoto wa siku hizi ni wajibu tu kuwazaa ila usiwategemee kwa lo lote labda waamue kuwa na wewe ila sio wewe ubweteke ninao watanisaidia.

Katika maisha ambayo umri umeenda ni vizuri kuwa na msaidizi hasa mwenzi wako! Asanteni ni ushauri tu
 
Ume
Katika maisha unayoyapitia kumbana na shida zote ila sio shida ya umri umeenda ushajichokea afu eti upo mwenyewe yaani upo home alone utajuta!
Mzee wangu aliwahi nambia bora uwe na mke hata kama si mlieanza nae maisha ila usikose mke utakufa siku si zako hata kama kifo ni lazima.
Nikupe mf: alikuwepo mzee 1 pale Sirari aligoma kuoa akiwa kijana na mpaka uzee umemfika kauli yake ilikuwa ni ile ile NITAOA AMBAYE HANYI.
Katika umri kusonga akajikuta amezeeka bila kuoa shughuli kubwa ikabaki ni kuuza miwa, aamke asubuhi awahi shambani atake miwa aipakie kwenye baiskeli aikokote hadi center auze ifike jioni arudi home maisha yakawa ni hayo ikafika kipindi akaonyesha kuchoka mno, kumbe siku za mwishoni akifika home anajilaza ili apumzike kumbe ndo mpaka asubuhi kuna siku analala njaa uwezo wa kuwasha jiko ajipikie ukakosa njaa ndo ilimuua.
Hivi jiulize upo home mwenyewe uugue ghafla hata usiku itakuweje labda simu ikusaidie umpigie mshikaji lakini ujue kuna umri unafika huna washikaji.
Na niwahikikishie maisha ni magumu mno na wanawake ni pasua kichwa sana ila Mungu ana lengo lake kutaka uoe na kuolewa. Kuna vitu hata hela iwepo kama kazi bure.
Mzee Mrema kwa upande wangu yupo sahihi kabisa.
Hawa watoto wa siku hizi ni wajibu tu kuwazaa ila usiwategemee kwa lo lote labda waamue kuwa na wewe ila sio wewe ubweteke ninao watanisaidia.
Katika maisha ambayo umri umeenda ni vizuri kuwa na msaidizi hasa mwenzi wako! Asanteni ni ushauri tu
Umesema kweli ukifika miaka 45 kuna upweke utapata bila ya mke utajuta
 
Naona ameamua kufuata njia za akina mengi..mwandu na wengineo wengi..kwa mwendo huu tlp wajiandae kutafuta mwenyekiti mwingine haraka iwezekanavyo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Sababu alizotoa ni genuine so nampa hongera mzee Lyatonga.
 
Katika maisha unayoyapitia kumbana na shida zote ila sio shida ya umri umeenda ushajichokea afu eti upo mwenyewe yaani upo home alone utajuta!
Mzee wangu aliwahi nambia bora uwe na mke hata kama si mlieanza nae maisha ila usikose mke utakufa siku si zako hata kama kifo ni lazima.
Nikupe mf: alikuwepo mzee 1 pale Sirari aligoma kuoa akiwa kijana na mpaka uzee umemfika kauli yake ilikuwa ni ile ile NITAOA AMBAYE HANYI.
Katika umri kusonga akajikuta amezeeka bila kuoa shughuli kubwa ikabaki ni kuuza miwa, aamke asubuhi awahi shambani atake miwa aipakie kwenye baiskeli aikokote hadi center auze ifike jioni arudi home maisha yakawa ni hayo ikafika kipindi akaonyesha kuchoka mno, kumbe siku za mwishoni akifika home anajilaza ili apumzike kumbe ndo mpaka asubuhi kuna siku analala njaa uwezo wa kuwasha jiko ajipikie ukakosa njaa ndo ilimuua.
Hivi jiulize upo home mwenyewe uugue ghafla hata usiku itakuweje labda simu ikusaidie umpigie mshikaji lakini ujue kuna umri unafika huna washikaji.
Na niwahikikishie maisha ni magumu mno na wanawake ni pasua kichwa sana ila Mungu ana lengo lake kutaka uoe na kuolewa. Kuna vitu hata hela iwepo kama kazi bure.
Mzee Mrema kwa upande wangu yupo sahihi kabisa.
Hawa watoto wa siku hizi ni wajibu tu kuwazaa ila usiwategemee kwa lo lote labda waamue kuwa na wewe ila sio wewe ubweteke ninao watanisaidia.
Katika maisha ambayo umri umeenda ni vizuri kuwa na msaidizi hasa mwenzi wako! Asanteni ni ushauri tu
Watoto wake wako wapi? Au kuna uhusiano gani wa kuoa na kuwa na watoto, tuelewashane hapo.
 
Back
Top Bottom