Augustino Mrema kufunga ndoa Machi 24, 2022. Amepata kimwana mdogo

Augustino Mrema kufunga ndoa Machi 24, 2022. Amepata kimwana mdogo

mzee naona ,anahamu ya kuondoka mapema.hajajifunza kwa tajiri wa ayipipi midia!!? Hako kabint katazaa mtt na msela wake ,halafu mzee asingiziwe wake. Baada yapo tujiandae kupata thread za ugomvi wa mirathi!! Hawa wazee wa Kanda maalum sijui vipi!!?
Kanda maalum hatuna upuuzi huo, labda kama unamaanisha Kanda ya kaskazini
 
Anaoaje wakati wa maombolezo ya mkewe alisema nanukuu
"Ni afadhali kwa namna nilivyokuwa nampenda mke wangu ningetangulia mm;
Je kama angetangulia yy je mkewe angepata mtu wa kumuoa?
Kuna mahali huyu mzee anamkosea mkewe na Mungu pia
 
Katika maisha unayoyapitia kumbana na shida zote ila sio shida ya umri umeenda ushajichokea afu eti upo mwenyewe yaani upo home alone utajuta!
Mzee wangu aliwahi nambia bora uwe na mke hata kama si mlieanza nae maisha ila usikose mke utakufa siku si zako hata kama kifo ni lazima.
Nikupe mf: alikuwepo mzee 1 pale Sirari aligoma kuoa akiwa kijana na mpaka uzee umemfika kauli yake ilikuwa ni ile ile NITAOA AMBAYE HANYI.
Katika umri kusonga akajikuta amezeeka bila kuoa shughuli kubwa ikabaki ni kuuza miwa, aamke asubuhi awahi shambani atake miwa aipakie kwenye baiskeli aikokote hadi center auze ifike jioni arudi home maisha yakawa ni hayo ikafika kipindi akaonyesha kuchoka mno, kumbe siku za mwishoni akifika home anajilaza ili apumzike kumbe ndo mpaka asubuhi kuna siku analala njaa uwezo wa kuwasha jiko ajipikie ukakosa njaa ndo ilimuua.
Hivi jiulize upo home mwenyewe uugue ghafla hata usiku itakuweje labda simu ikusaidie umpigie mshikaji lakini ujue kuna umri unafika huna washikaji.
Na niwahikikishie maisha ni magumu mno na wanawake ni pasua kichwa sana ila Mungu ana lengo lake kutaka uoe na kuolewa. Kuna vitu hata hela iwepo kama kazi bure.
Mzee Mrema kwa upande wangu yupo sahihi kabisa.
Hawa watoto wa siku hizi ni wajibu tu kuwazaa ila usiwategemee kwa lo lote labda waamue kuwa na wewe ila sio wewe ubweteke ninao watanisaidia.
Katika maisha ambayo umri umeenda ni vizuri kuwa na msaidizi hasa mwenzi wako! Asanteni ni ushauri tu
Sahihi kabisa mkuu, watu wengi hasa vijana hili bado hawajalijua ndio maana unaona wanambeza Mrema.

Ila kiukweli usaidizi iwe mke au mume kwa umri kama wa Mrema na hali yake aliyonayo watoto pekee hawawezi kutimiza majukumu yote ni lazima apate mtu wa karibu zaidi hasa wa faraghani kwa utamaduni wetu waafrica lakini.
 
Kwa katoto haka atagongewa saana tu hadi afe kwa presha halafu turithi mafao
IMG-20220320-WA0043.jpg
 
Kumbe Mrema hajiheshimu?
Na kisukari kile ukiongeza na uzee labda aile na meno.
Mara hii ameshasahau yaliyomkuta waziri mwenzake waliyekua nae kwenye Baraza?
 
Back
Top Bottom