Aunt Ezekiel anamaanisha nini kuonesha hii alama?

Umeanza
 
Wabongo tuna matatizo sana mnajaribu kumzungumzia mtu hadi kwenye kitu chake anavyopenda taabu kweli kweli.
 
Kwani akieka hivyo ndo anamaanisha ameaha ingia sasa mbona maisha take bado hayajawa kiiluminat
 
Daaaah mana apa Moro Kuna Noah flan inamabendera rangi nyekundu na namba za simu haha[emoji3]
Belive me sidhani kama ni wao...hawa watu are super rich. ..na huwa wana vipawa vya ajabu...huwa wakitaka kitu wanakipata. ..mind control strategies. ..wako kama waganga wa kienyeji wenye maono ya hali ya juu. ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…