Aunt Ezekiel anamaanisha nini kuonesha hii alama?

Waache wajiunge huko kama wanataka ingawa sidhani ana mvutooo kihivyo kuwafanya wale jamaa wamchukue kwenye jamii zao.
Kwa wanamuziki kwa ishara zao ni kama watatu hivi nawahisi
Kwa bongo movie tangu alipotangulia yule mmoja sijaona mwingine.
 

Mbona hata mimi huwa nafumba jicho langu mara moja moja? Inawezekana na mimi ni Illuminati?[emoji84][emoji89]
 
nafikiri amemisss kukazwa,akikazwa halafu alafu apigwe dole la kati la kiluminati aturuka mwaaaa ndio atatuo hiyo mikono machoni.
 
Wote hao ulowataja illuminate, we unadhani maandiko ya kwenye vitabu vya Mungu unadhani Mungu alikosea?? ,"Tajiri kuingia ufalme wa mbingu ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu la sindano,Mungu anakupa utajili wa kawaida sasa wengine wanataka utajili wa kutisha na umaarufu usokuwa na maana ndo maana wanajiunga na dini za kishetani ,
 
Hiyvo vitabu viliandikwa na wajanja, hakuna kitabu cha mungu kuna vitabu vya binadamu na binadamu na roho yake ndio mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…