Kinachoiua zaidi bongo movie ni instagram,wasanii hasa wa kike wana mashauzi sana wanapenda kujianika, maisha yao yote skendo zao hata za kipuuzi zote wanaweka mtandaoni(kuringishia watoto wao imekua fasheni),kiasi cha kuboa mashabiki,wakiambiwa ukweli wanajibu shobo na block juu. Nani anunue hizo kazi.
Kipindi insta haijawa maarufu sana bongo movie ziliuza kweli maana mashabiki wengi hawapendi kujua maisha binafsi ya wasanii wawapendao ila wasanii wetu wakaona kiki kujianika ili kuuza movie zao.
ILA KWENYE UKWELI TUWASIFIE BONGO MOVIE ACTRESS LAZIMA WAPATE TUZO YA KUJISILIBA MAKEUPS, KUVAA NGUO FUPI(PAJA NJE NJE). ACTORS WANAONGOZA KUWEKA DAWA NYWELE,PODA WANANISHINDA KUPAKA,WEUPE SASA SIJUI CAROLAIT ILE AU MAJI YA BETRI YALE.