Aunt Ezekiel: Tununue bongo movie, movie za mbele hazituhusu

Watu wengi wanazipotezea bongo movie kwasababu sio wabunifu wanatengeneza kazi mbovu yaani jambazi anavua viatu kuingia kufanya tukio!
Lazima uvue viatu iliusichafue nyumba zawatu[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
kuna watu huwa wanasema hivi "Muvi zenyewe hazina maadili si bora niangalie za mbele".
 
Mkuu unazungumzia wamuone rahisi Wa awamu ya ngapi
 
Suluhisho mtu makini kama Diamond Plutnumz aingie huko awachachafye kidogo kwenye movie huko naamini watachangamka na kutimiza wajibu wao....



Dunia Uwanja wa Fujo
 
Kama hiyo kichwani pake ni nywele yake asilia basi movie za 'mbele' naacha kabisa na nitanunua movies zake kwa double price.
 
Script writers wanaua bongo movie wala hakuna mchawi...
 
Kama ni lazima kuangalia bongo movies basi nitaangalia ile KIGODORO, angalau ndio ina uhalisia wa walichoigiza ilahizi nyingine za kujitia wafanyabiashara na matajiri hapana kwa kweli halafu wamekosa ubunifu kabisa, kil baba mwenye nyumba ni mfanyabiashara anaetoa magari bandarini, mweee! Hapana.
 
Kuna siku nimetoka mihangaikoni narudi uswahilini nikapita sehemu kula nikaona wameweka hizo muvi zenu . Shida ilikuwa pale wanapotaka kuonesha gari ilikuwa mwendo mkali sana na umbali mrefu nikichoka sana yaani ni kama vile walibonyeza Fast forward button hivi alafu kuonyesha gari ilitembea umbali mrefu wakarudia tena kipande kile.





NILICHOKA MPAKA LEO HATA UNIPE 5,000 SIWEZI ANGALIA.
 
Hivi huye aunti ezekieli ni mzima kweli yaaani nipoteze pesa na muda kuangali mlinda geti mchizi mchizi na pastor yule yule kila movie .Hizo movie wakauze pale lumumba makahaba wakubwa walizunguka ktk kampeni na njaaa zao kwenye rambo na hiii dhambi iwatafune tuuu kwa maana hakuna namna nyingene malabuku
 
Well said!
 
Mr t_bag nomaa naskia P.B season 5 inaanza mwez wa 3
 
Duh kweli bongo films ni shida, kuna takiwa zile faculties za kisanaa kule vyuo vikuu viwe na tafiti nyingi za kisanaa esp kwenye hizi sanaa za maigizo, na uendeshaji wa hizi sana kuanzia kwenye kufunza wasanii na wataalamu wa kuongoza hizo fani... changamoto kubwa ipo hapo, mbili na serikali nayo iwena sera madhubuti kuhusiana na soko hili ili ipate mapato...

Kwa wasanii wapunguze kuji delegate kila roles kwa mtu mmoja, mfano kuna picha nililicheki eti,
Casting;kigusi
Director; kigusi
Script writer; kigusi
Filming; kigusi*
Scenes; kigusi

Mengine mtaendelea mie hizo fani sio zangu
 
Ila nahisi tatizo lipo kwa directors zaidi bongo kuliko waigizaji kwa sababu kuna baadhi ya maigizo kama siri ya mtungi na kadhalika waigizaji ni wa bongo tu ila directors ni wadhungu na kazi ziko njema sana mbona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…