Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 752
Msanii wa filamu Aunty ezeckiel Gwantwa Jujuman amefungua PUB yake nzuri maeneo ya Biafra-kinondoni,wote mnakaribishwa,Jana ndio imefunguliwa rasmi na wadau mbalimbali walialikwa kuja kupata chakula na vinywaji kwa wingi.
Irene na Chopa nao walikuepo kwenye ufunguzi huo
Keki ya pub ilikuwa hivi, sote tulikula

Mkurugenzi wa CREM Pub Aunty Ezeckiel akimlisha keki Rehema Macho
CP nae hakuwa mbali

TID naye ndani ya nyumbaaa
HONGERA SANA DADA ila kuna taarifa pia katika pub hiyo inayoitwa CREAM kuna saloon inayotoa huduma za nanihii hasa kama unataka huduma toka kwa mastaa nitajaribu kuitembelea hii pub na kuwajulisha kulikoni
Irene na Chopa nao walikuepo kwenye ufunguzi huo
Keki ya pub ilikuwa hivi, sote tulikula

Mkurugenzi wa CREM Pub Aunty Ezeckiel akimlisha keki Rehema Macho
CP nae hakuwa mbali

TID naye ndani ya nyumbaaa
HONGERA SANA DADA ila kuna taarifa pia katika pub hiyo inayoitwa CREAM kuna saloon inayotoa huduma za nanihii hasa kama unataka huduma toka kwa mastaa nitajaribu kuitembelea hii pub na kuwajulisha kulikoni
