AURA SPECIAL THREAD: Fanya muujiza wa kwanza na Rakims

Tupe athari za kitu mkuu.isije ikawa ndo kufungulia mapepo
 

Mkuu jiangalie vizuri, wewe si mweusi na wala wazungu si weupe ni ujanja wanaotumia wazungu kutushusha na mwisho tujidhalau na wao tuone wako juu yetu. Hivyo let focus on ourselves, tujitahidi kwenye kazi zetu na tupigane kwaajili ya jamii zetu


Mkuuu plz naomba uni add katika hizo group nipate elimu hii adhim mkuu 0713522447

Au ni AURORA?

Angalia tena vizuri mkuu..

Rakims

Namba 2 ndo mnavyoeneza u-atheism wenu hivyo?
 
lakin me ntakuliza swali ambalo liko nje kidogo nahisi unaweza nisaidia samahan lakin.
ivi mtu kuzaliwa amsshikilia kinyama mkononi nin maana yake na husababishwa na nin???
 
Mkuu hacha kutumia maandiko ya Mungu Kwa nia ya kupotosha wale wasioelewa chochote. Unatumia lugha nyepesi kuwafundisha watu ushetani! Elimu ya Kikristo ina mipaka yake hakuna mahali watu wanaruhusiwa kujifunza ushetani ispokuwa walio upande wa shetani. Kila Elimu ina makusudi, malengo na chimbuko lake( Mungu au Shetani)
No man can perform Supernaturally by himself unless has got assist from either true God or Satan knowingly or unknowingly.
 
Hacha = Acha

Halafu mikwara haisaidii kitu. We kama hayakufai pita kule ukaanzishe uzi wako wenye kufundisha hayo unayodai ni ya Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…