AURA SPECIAL THREAD: Fanya muujiza wa kwanza na Rakims

AURA SPECIAL THREAD: Fanya muujiza wa kwanza na Rakims

Mkuu hacha kutumia maandiko ya Mungu Kwa nia ya kupotosha wale wasioelewa chochote. Unatumia lugha nyepesi kuwafundisha watu ushetani! Elimu ya Kikristo ina mipaka yake hakuna mahali watu wanaruhusiwa kujifunza ushetani ispokuwa walio upande wa shetani. Kila Elimu ina makusudi, malengo na chimbuko lake( Mungu au Shetani)
No man can perform Supernaturally by himself unless has got assist from either true God or Satan knowingly or unknowingly.
We nani kwani we nabii au

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaahh nashindwa hata nianze vp nafanya hili jaribio nikiwa nimekaa nimesimama au nimelala kama meditation ya pumzi au, alafu nit ipree emty vp akili yangu nisifikirie chochote il niweze focus kwenye hio karatasi...???
nihayo tu kwa sasa
 
Daaahh nashindwa hata nianze vp nafanya hili jaribio nikiwa nimekaa nimesimama au nimelala kama meditation ya pumzi au, alafu nit ipree emty vp akili yangu nisifikirie chochote il niweze focus kwenye hio karatasi...???
nihayo tu kwa sasa
Moja kati ya sheria za kutuliza akili na mawazo ni kutokutegemea kupata matokeo kwa muda huo basi hapo hapo utaona matokeo mkuu ikikushinda hiyo ya karatasi tumia ya kioo yaweza kuwa rahisi kwako, japo wengi huona inatisha kotukana na mwanga wa kwanza kabla ya kusoma aura,

Rakims

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua Kuitwa tapeli ni jambo la kawaida sana hasa na watu wasiojielewa hapa penyewe nina group zipo tatu zote zina watu wanaojifunza spirituals wanatuma text kama 50 kwa muda wa dk 1 binafsi naelekea ofisini saa moja subuhi hadi saa moja jioni ofisini kwangu napata muda wa kupokea simu za ofisi tu na narudi saa moja jioni foleni hadi kufika home saa 3 haya niambie huo muda saa ngapi utamaliza group tatu zote na ueleze watu waelewe saa ngapi utaingia jf saa ngapi utafanya family issues so ukiambiwa fanya subira basi subiri kweli so mi tapeli kweli tena sana kutokana na muda masaa mawili kwangu dk 20 taachaje kuitwa tapeli so m ploud kuonekana tapeli kwa wapumbavu wawili watatu huo ndio utapeli wangu kukosa muda tofautisha mtu anaekaa home kwenye sofa na kuangalia tv 24 seven na wewe
now na muda utumieni,, ila soon wa group watatoka tena watakuja kuniita tapeli......................!!! nawakaribisha

Rakims
Hizo group mkuu,vigezo gan hutumika ku enroll

jw library
 
Rakims,Uzi wako wa kumuita aliye mbali ndo umenileta huku ,Mimi huwa naziona hizo rangi za pemben mwa vitu au watu kirahisi tu maana muda mwingi napenda kukaa peke yangu just staring into space bila mawazo yoyote ila leo ndo nmejua ni AURA na zina maana duh!..kesho ntazingatia mchana nijue yangu ntakupa mrejesho then nirudi kwenye kutafutana unielekeze vzr
 
Rakims,Uzi wako wa kumuita aliye mbali ndo umenileta huku ,Mimi huwa naziona hizo rangi za pemben mwa vitu au watu kirahisi tu maana muda mwingi napenda kukaa peke yangu just staring into space bila mawazo yoyote ila leo ndo nmejua ni AURA na zina maana duh!..kesho ntazingatia mchana nijue yangu ntakupa mrejesho then nirudi kwenye kutafutana unielekeze vzr
asante na karibu mkuu

rakims
 
Rakims je njia ya kusafisha nyota ambayo ni rahisi mtu anayoweza hata kujifanyia mwenyewe nyumbani?
 
Rakims je njia ya kusafisha nyota ambayo ni rahisi mtu anayoweza hata kujifanyia mwenyewe nyumbani?
chumvi ya mawe unaweka ndani ya beseni na maji lita 7 saba u anafanya kwenye mwanga mweupe unahisi ile chumvi mawe inavyovuta chini unacommand kuwa unaondoa kila giza kwenye mwili wako mikosi na nuksizote kisha utaskia vichomi kwenye mwili hasa sehemu za tumbo vitauma vumilia ni uchawi baada ya hapo chukua maji safi na chumvi ya
 
chumvi ya mawe unaweka ndani ya beseni na maji lita 7 saba u anafanya kwenye mwanga mweupe unahisi ile chumvi mawe inavyovuta chini unacommand kuwa unaondoa kila giza kwenye mwili wako mikosi na nuksizote kisha utaskia vichomi kwenye mwili hasa sehemu za tumbo vitauma vumilia ni uchawi baada ya hapo chukua maji safi na chumvi ya
Bado hujamaliza maelezo mkuu umeishia kati
 
Back
Top Bottom