Australia wakamata ngozi halisi za Simba na Chui zilizotengenezwa kama mazulia kutoka Tanzania. TAWA yasema inafanya uchunguzi

Ni nyara za serikali zilizokamatwa kwenye makasha makubwa kwenye uwanja wa ndege nchini Australia, inasemekana zimepakiwa kutoka KIA nchini Tanzania, nani anahusika na uhujumu huu? Serikali itoe tamko. Tazama video.

View attachment 2742926
 

Attachments

  • 8F76CAA2-EFAA-4B4E-8733-0F34C2B22AD0.jpeg
    45.8 KB · Views: 2
Ni nyara za serikali zilizokamatwa kwenye makasha makubwa kwenye uwanja wa ndege nchini Australia, inasemekana zimepakiwa kutoka KIA nchini Tanzania, nani anahusika na uhujumu huu? Serikali itoe tamko. Tazama video.

View attachment 2742926
Silioni tatizo kama sheria na kanuni zilifatwa.

 
Ni nyara za serikali zilizokamatwa kwenye makasha makubwa kwenye uwanja wa ndege nchini Australia, inasemekana zimepakiwa kutoka KIA nchini Tanzania, nani anahusika na uhujumu huu? Serikali itoe tamko. Tazama video.

View attachment 2742926
Siku watakapoisha wanyama naamini waarabu watawakamata wale wakijani na kuwasindika Kisha kuwapeleka ughaibuni
 
Waarabu wamepewa KIA hakuna namna
Mbona video ya kutengeneza hii..sio uhalisia na ulichoandika!! Hiyo ngozi ya chui si ndio ile alievishwa samia na machifu?


Halafu.wazungu waache ujinga..simba ni simba na chui nichui wataitaje nyau wakubwa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sina uhakika kama Imeruhusiwa Kuvuna kwa kuua wanyama hao Simba na Chui.

Ila ninachojua ni kuwa Serikali huwa inatoa Vibali kila mwaka vya Uvunaji wa Wanyama pori kwa wageni na Wenyeji.

Ila kama Uvunaji na utoroshaji huo umefanyika bila kufuata sheria, basi Vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama vitakuwa havitusaidii.

Ni aibu ilioje Utajiri uliopo utumike na wachache kujinufaisha wakati wazawa tumelala Usingizi wa Pono 🙌
 
Ingekuwa ni magufuli waliohusika na uhujumu uchumi huo wote wangetiwa jambajamba kama si kuharisha kabisa. Nchi haiwezi kugeuzwa shamba la bibi kiasi hiki kila muhuni ajivunie mazao shambani anavyotaka
Hakuna uhujumu wowote hapo, unafahamu maana ya uhujumu uchumi wewe?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga? Som hii nini?:

 
JWTZ kazi yao ni kutishia raia nguo badala ya kulinda rasilimali za nchi.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…