Australia wakamata ngozi halisi za Simba na Chui zilizotengenezwa kama mazulia kutoka Tanzania. TAWA yasema inafanya uchunguzi

Australia wakamata ngozi halisi za Simba na Chui zilizotengenezwa kama mazulia kutoka Tanzania. TAWA yasema inafanya uchunguzi

Hakuna uhujumu wowote hapo, unafahamu maana ya uhujumu uchumi wewe?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga? Som hii nini?:

Ingekuwa halali na vibali vyote isingekamatwa! Umeona Press ya TAWA?
 
Hakuna uhujumu wowote hapo, unafahamu maana ya uhujumu uchumi wewe?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga? Som hii nini?:

Wamesomea usekretari!
 
Hakuna uhujumu wowote hapo, unafahamu maana ya uhujumu uchumi wewe?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga? Som hii nini?:

Kwa hiyo hao wanyama waliwindwa kihalali?
 
Ni nyara za serikali zilizokamatwa kwenye makasha makubwa kwenye uwanja wa ndege nchini Australia, inasemekana zimepakiwa kutoka KIA nchini Tanzania, nani anahusika na uhujumu huu? Serikali itoe tamko. Tazama video.

View attachment 2742926
Inatia uchungu sana....Jamaa anasema " sad sad...such a beautiful creature can be killed for someone to lie down on the floor"" . Hawa jamaa wamesikitika zaidi kuliko ata wale wenzetu waliopewa dhamana.
 
Serikali ya ccm imelaaniwa duniani na mbinguni.

Wazawa wakiua wanyama wa porini kwa ajili ya kitoweo, wanawafunga miaka 20 jela!! Halafu majitu kutoka nje, yanaua wanyama hao hao, na hayachukiliwi hatua yoyote ile.
 
Back
Top Bottom