Autoimmune disease

Kwa akili yako unafikir kuna mganga wa kienyeji au mitishamba anaujua ugonjwa unaitwa chronic inflammatory demyelinating polyneuropathy mpaka ajue dawa ya kuutibu? Au huyo mganga anatibu ugonjwa ambao haujui wala hajawahi hata kuusikia?
Mkuu with all due respect unakosea kulinganisha namna tiba asili zinavyo tolewa na zile kisayansi za hospital.
Wao wamepata ujuzi kwa njia ya apprenticeship toka kwa mababu n.k.
Au kwa kujaribu mpaka wanapata tiba sahihi.
Hawafanyi diagnosis kama hospital.
 
Mkuu last seen yako tangu July mwaka jana kwema? nilitaka nikushauri kitu
 
Nitajie jina lake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…